Pre GE2025 Paul Makonda: Ukimchukia Rais Samia unamkosea Mungu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukiona mtu anasifiwa na chama kile pendwa, ujue anayesifiwa ni bomu.
 
Kwahiyo Makonda anataka kutuambua kwamba Samia ni MTAKATIFU!
 
Akiwa angani Kuna siku molaatafanta yake, tubakie na Mpango wetu!
 
Damu za nani? Acha kuropoka ujinga usio na ushahidi nao. ukiambiwa ulete ushahidi utaleta?
Ushahidi nilete kwenye vyombo hivi hivi vinavyotumika kulinda wahalifu? Ni hivi, ni muhalifu aliyehusika kumwaga damu za watu, hitaki jinyonge.
 
Ushahidi nilete kwenye vyombo hivi hivi vinavyotumika kulinda wahalifu? Ni hivi, ni muhalifu aliyehusika kumwaga damu za watu, hitaki jinyonge.
Nenda mahakamani kafungue mashitaka na siyo kuchafua watu hapa na kuandika uzushi wako hapa.
 
Nenda mahakamani kafungue mashitaka na siyo kuchafua watu hapa na kuandika uzushi wako hapa.
Mahakama zipo, hizi zilizokaa na kesi ya kina Mdee miaka zaidi ya mitatu huku vielelezo vyote vikiwepo? Labda ya mahakama za nje. Mahakama ziko Kenya, sio hii taasisi ya ccm.
 
Mahakama zipo, hizi zilizokaa na kesi ya kina Mdee miaka zaidi ya mitatu huku vielelezo vyote vikiwepo? Labda ya mahakama za nje. Mahakama ziko Kenya, sio hii taasisi ya ccm.
Nenda na hivyo vielelezo vyako mahakamani maana wenzio walishakwenda na vielelezo wakaishia kudondokea pua baada ya kukosa hoja zenye mashiko.
 
Huyu Mwasambwa. Basha wake atakuwa amesafiri maana ana ashki kwenye Tigo yake.
 
Mmeanza kumdhiaki tena Mungu, bado mjaridhika alipowatwalia jiwe wenu! Makonda na wenzake ni mashetani, Makonda alitaka kumtanguliza T.Lissu yy na washilika wake lakini ALLAH aliepusha hilo ingawa Mh: L, hadi leo tukimuona tunabubujikwa na machozi, Leo hii nami nikimshuhudia Makonda na washirika wake ni lazima nitatokwa na machozi kwa kukutwa na kumbukumbu ya maovu yao.
 
Nenda na hivyo vielelezo vyako mahakamani maana wenzio walishakwenda na vielelezo wakaishia kudondokea pua baada ya kukosa hoja zenye mashiko.
Kwa mahakama hizi ulitegemea tofauti na hukumu hizo? Huwa nawaelewa sana wazungu kwa kutumia mahakama za nje , vinginevyo wangekuwa wanashindwa Kila kesi kwenye hizi mahakama za kimagumashi.
 
Acha kuandalia vitu usivyo na ushahidi navyo.
 
Kwa mahakama hizi ulitegemea tofauti na hukumu hizo? Huwa nawaelewa sana wazungu kwa kutumia mahakama za nje , vinginevyo wangekuwa wanashindwa Kila kesi kwenye hizi mahakama za kimagumashi.
Nenda popote pale kafungue kesi unaapoona una imani napo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…