Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #41
Mimi siandiki kwa ajili ya kuonwa Ndugu yanguHongera kada
watakuona muda si mrefu.
safari hii badili text color ya number zako weka nyekundu zinaonekana kirahisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi siandiki kwa ajili ya kuonwa Ndugu yanguHongera kada
watakuona muda si mrefu.
safari hii badili text color ya number zako weka nyekundu zinaonekana kirahisi
Sawa Ndugu, Pambana.Mimi nasimamia ukweli na kuusema ukweli na kuwasilisha au kuweka hapa habari za ukweli na uhalisia tu
Nani kakwambia kuwa sina kazi. Kwa hiyo ningeishiji na kupata hata hela ya vocha bila kufanya kazi?Bro kiukweli hadi unatia huruma, kama huna kazi ni DM kuna kazi ya uhakika, najaribu kuiwaza kesho yako naona ina kiza kirefu sana. DM nitakupa kazi maana unatia aibu sasa
Nakubaliana nawe kabisaaa.Mimi siandiki kwa ajili ya kuonwa Ndugu yangu
Obviously mmeo/mkeo hana access na JamiiForumsNani kakwambia kuwa sina kazi. Kwa hiyo ningeishiji na kupata hata hela ya vocha bila kufanya kazi?
Siku hizi unaunga na mavi mkuu...akili yako ime eroded ndio mana ulipigwa K.O na wajumbe wa Kawe.Naunga mkono hoja
P
- Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
- Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...
- Bado kuna ubishi kuwa hiki ni chuma? Je, chuma hiki ni chuma kingine ila ni kama kile au chuma hiki ni kile kile kimerejea kivingine?
- Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli
- Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka!
Umri wangu hauruhusu!!Nasoma! Sijaona tatizo lake kipenda roho hula nyama mbichi.
Wewe mwenyewe siumeona umesoma bandiko lake.
Mheshimiwa Makonda ni mtu mnyenyekevu na mwenye huruma sana na ndio maana ulikuwa ukiona namna alivyokuwa akisaidia watu mbalimbali, wakiwemo wajane, yatima, watu wenye ulemavu,wagonjwa n.k. lakini pia kutofautiana katika uongozi ni jambo la kawaida.kikubwa mnatofatiana katika mambo ya msingi na juu ya njia za utekelezaji wa jambo fulani .na siyo masuala ya visasi na chuki binafsi .
Ndio maana kwa moyo wake huo wa upendo, unyenyekevu,subira,utulivu na uvumilivu tumeona na Taifa zima limeshuhudia Mheshimiwa Makonda akiinuka na kuinuliwa tena mbele ya macho ya maadui zake waliokuwa wamefurahi na wamemtangazia mwisho wa kisiasa lakini Mungu wa Mbinguni aliye hai akautangaza Mwanzo wenye kishindo kama cha wakoma waliolikimbiza jeshi la maadui.
Mimi nimewapeni ukweli na siyo propagandaUmejibu nin hapa. Propaganda hazitakufikisha popote zaidi ya kupata aibu humu.
[emoji1787][emoji1787]CCM muoneni Lucas anavyojituma na namba kawaekea jamani!![emoji23]
Kazi zinaendelea kufanywa kama kawaida na ukweli Tunaendelea kuusimamia na kuusema bila kuchokaDuh fanyeni kazi jamani naona tunabakia kuwa wasindikizaji na kuwsifia sifia wenzetu
Ova
Alikuwa anatubu kwa nani.Huyooo ....alikuwa anatubu kwa akivyokuwa kiburi na dharau akajitoa ubinadamu akawa juu zaidi hata malaika.....alichomfanyia Chongolo sio kabisaaa.....
Hongera mkuu kwa kutokata tamaa!kweli wewe unakipenda chama!Hapana mimi siandiki hapa kwa ajili ya kutaka kuonwa .pia asante sana kwa mada yako ya jkt maana inafurahisha sana .
Nakipenda sana chama changu,Taifa langu na serikali yangu kwa kuwa naamini Tanzania itaendelea kuwa salama ,tulivu na yenye mafanikio mikononi mwa CCM na Serikali yake.Hongera mkuu kwa kutokata tamaa!kweli wewe unakipenda chama!
sasa kuna aliyekuomba namba ya simu hapa!Hapana mimi siandiki hapa kwa ajili ya kutaka kuonwa .pia asante sana kwa mada yako ya jkt maana inafurahisha sana .
Ha ha ha yaani kujipendekeza nao ni ugonjwa wa akili !!!!CCM muoneni Lucas anavyojituma na namba kawaekea jamani!![emoji23]