Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huyu mwendawazimu amesahau alivyokuwa anatukana watu akiwa RC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wajinga wenzake wanakuja kumteteaHata kama uchawa jamani ila kwa Bashite umezidi khaaaa. Yaani kwa kutuonaje yaani. Kwamba sisi woooooote hatuna macho ila wewe tu ndio unaona mambo kisha utusimulie?
Acha ujinga wako hapa wewe. Alimtukana nani. Sasa wewe kwa mibangi yako ulitaka usionywe kuacha uvutaji bangi na matumizi ya madawa ya kulevyaHuyu mwendawazimu amesahau alivyokuwa anatukana watu akiwa RC
Wewe ndiye mjinga sana mdogo wanguWapo wajinga wenzake wanakuja kumtetea
Akina mama mmefurahi mmepasa sauti kutoka kwa MakondaAcha ujinga wako hapa wewe. Alimtukana nani. Sasa wewe kwa mibangi yako ulitaka usionywe kuacha uvutaji bangi na matumizi ya madawa ya kulevya
Siwezi kuwa na kaka mwendawazimu kama wewe mshangilia kuongozwa na mzanzibar kama vile wanyakyusa hakuna wenye akili timamu, Mbeya ukimtoa Sugu na Mwambusi wengine wote hamna akili mmekalia kufungua makanisa ya kishirikina. Shame on youWewe ndiye mjinga sana mdogo wangu
Nakushauri sana mdogo wangu uachane na mibangi yakoSiwezi kuwa na kaka mwendawazimu kama wewe mshangilia kuongozwa na mzanzibar kama vile wanyakyusa hakuna wenye akili timamu, Mbeya ukimtoa Sugu na Mwambusi wengine wote hamna akili mmekalia kufungua makanisa ya kishirikina. Shame on you
Sawa dada anguNakushauri sana mdogo wangu uachane na mibangi yako
Lucas mwashambwa awe prezdar? Ukuu wa kata wameshindwa kumpa itakua uprezdar?Ndio maana nashangaa humu wanaokubeza na kukuita chawa ...hawajui one dei utakuwa TZ president 😂
Mheshimiwa Makonda ni mtu mwema sanaZilongwa mbali zitendwa mbali, wazee wa pwani husema.
Makonda anapaswa aanze yeye kwanza kuishi mahubiri yake.
wewe fuata ushauri wangu wa kuacha bangiJana UWT walikuwa wanagaiwa baiskel na mtungi wa gas kule Simiyu, ulipata?
Kama hutaki kuonwa kwanini uweke jina na namba yako.Hapana mimi siandiki hapa kwa ajili ya kutaka kuonwa .pia asante sana kwa mada yako ya jkt maana inafurahisha sana .
Wewe kauli yako ipi ina uungwana?Akina Mheshimiwa Mbowe wanajishusha wenyewe kwa matendo yao na kauli zao zilizokosa uungwana.
Mbona kabla hajateuliwa hatukuona promo zako juu yake humu.Mheshimiwa Makonda ni mtu mnyenyekevu na mwenye huruma sana na ndio maana ulikuwa ukiona namna alivyokuwa akisaidia watu mbalimbali, wakiwemo wajane, yatima, watu wenye ulemavu,wagonjwa n.k. lakini pia kutofautiana katika uongozi ni jambo la kawaida.kikubwa mnatofatiana katika mambo ya msingi na juu ya njia za utekelezaji wa jambo fulani .na siyo masuala ya visasi na chuki binafsi .
Ndio maana kwa moyo wake huo wa upendo, unyenyekevu,subira,utulivu na uvumilivu tumeona na Taifa zima limeshuhudia Mheshimiwa Makonda akiinuka na kuinuliwa tena mbele ya macho ya maadui zake waliokuwa wamefurahi na wamemtangazia mwisho wa kisiasa lakini Mungu wa Mbinguni aliye hai akautangaza Mwanzo wenye kishindo kama cha wakoma waliolikimbiza jeshi la maadui.
Huku unafanya nini na unatafuta niniNiende kwenye ofisi zao kufanya nini na kutafuta nini.
😂😂Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627
Elezea na ishu ya clouds na ishu ya nape kuvamiwa.Hao Marekani unaowaabudu siyo Mungu hao.kumbuka ni Marekani hao hao walisema ilaki chini ya saddamu Husseni ina silaha za maangamizi je hizo silaha za maangamizi walizikuta? Umewahi kuonyeshwa hizo silaha? Huoni zilikuwa ni hila tu za Marekani na uzushi wake.
Ni Marekani hao hao na walishiriki kumuua muamari Gadaffi kwa visingizio vya uongo .je libya ipo wapi kwa sasa? Tuhuma zao zilikuwa za kweli? Hujisikia hata Barack Obama akijuta kwa uamuzi wao na kusema walifanya makosa?
Marekani usiwaamini kwa kila jambo.wao siku zote watakuchafua kwa njia yoyote ile pale utakapogusa maslahi yao au mambo yao kama alivyo fanya Mheshimiwa Makonda kupiga vita habari za mashoga na ushoga katika mkoa wa Dar es salaam
Mheshimiwa Makonda ni muigizaji mzuri sana.Mheshimiwa Makonda ni mtu mwema sana
Andika vizuriMheshimiwa Makonda ni muigozaji mzuri sana.