Pre GE2025 Paul Makonda: Usimbeze mtu maana kesho anaweza kuwa Bosi wako

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Duh fanyeni kazi jamani naona tunabakia kuwa wasindikizaji na kuwsifia sifia wenzetu

Ova
 
Jina leo kwa mara ya kwanza au vipi.. nimekupa kopa za macho.. kwa kusoma aliyoyatamka.. 🤗
 

Umejibu nin hapa. Propaganda hazitakufikisha popote zaidi ya kupata aibu humu.
 
Huyooo ....alikuwa anatubu kwa akivyokuwa kiburi na dharau akajitoa ubinadamu akawa juu zaidi hata malaika.....alichomfanyia Chongolo sio kabisaaa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…