Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #81
Kwani wewe unashindwa nini kuelezea kama unafahamu habari hizo unazotaka kueleza .wewe ndiye eleza kama unafahamu kituElezea na ishu ya clouds na ishu ya nape kuvamiwa.
Hili ni jukwaa huru kwa ajili ya kupashana na kupeana habari mbalimbali pamoja na kufanya mijadala mbalimbali.Huku unafanya nini na unatafuta nini
Kwani wapi niliposema na kuandika kuwa nimesema anipatie nafasi .Mbona kabla hajateuliwa hatukuona promo zako juu yake humu.
Ameteuliwa ndo promo zimeanza.
Uchawaaa.
Hawezi kukupa nafasi wewe
Weka hata namba yako tu mkuuKama hutaki kuonwa kwanini uweke jina na namba yako.
Chawa ni chawa tu
Mbona sasa ulichukua mtungi wa gas jana?wewe fuata ushauri wangu wa kuacha bangi
kikubwa umeelewa chief.Andika vizuri
Acha dharau mdogo wanguMbona sasa ulichukua mtungi wa gas jana?
Wewe wasema hayo lakini kila mtanzania anatambua uwezo mkubwa wa kiuongozi alionao Mh Makonda.Makonda anabebwa tu kwani sio kiongozi!
Hana ethics kabisa kama kiongozi.
Hana nidhamu, hekima wala busara za kiongozi.
Mjinga wewe rudisha modem ya Katibu anarudi muda siyo mrefu alikuwa kwa DAS ChunyaAcha dharau mdogo wangu
Acha utoto dogoMjinga wewe rudisha modem ya Katibu anarudi muda siyo mrefu alikuwa kwa DAS Chunya
Acha kuwabeza akina Mbowe, shauri yako
Una hela ya kuweka bando? posho zenu mpka tarehe 29 Joketi hataki mchezoAcha utoto dogo