Pre GE2025 Paul Makonda: Wahuni wameingia tena msituni nini? Siyo kwa ukimya huu

Pre GE2025 Paul Makonda: Wahuni wameingia tena msituni nini? Siyo kwa ukimya huu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hiyo Bashite ni timu Kiroboto a. k. a balozi wa Cuba. Naona Anawananga Wahuni. Kiroboto voice 🤔
 
Kweli, lakini tahadhali muhimu pia kwa wazalendo

Kama huyo muuaji na alitekuwa akiteka, kutesa na kupoteza watu wasio na hatia, akiondoka, hilo si litakuwa jambo jema kwa nchi na Dunia nzima?

Nyoka muuaji wa watu akiondoka, si shangwe kwa wote waliokuwa kwenye hatari ya kuuliwa na wale ambao nyoka huyo aliwaondolea haki ya kuishi ndugu zao?

Tunaomba sana Mungu, atuepushe na mtu huyu muuaji katika Taifa letu analoendelea kulitoa unajisi na hao washirika wake.

Mungu wa mbinguni, tunaomba sana kisasi cha kumpoteza Ben Sanane, Azory, kumshambulia Lisu na wengine wengi kiwe juu yako kwa hawa waovu wote, hata wasisimame na kujigamba kujivunia uovu wao. Wajue kila uovu dhidi ya nafsi una majuto makuu.
 
Mi naona Makonda akipata nafasi kama aliyokuwa nayo JPM, Tanzania itaendelea kwa haraka sana kuliko wakati wowote katika historia ya nchi yetu

Makonda ni mtaalam mzoefu wa kuua, kuteka na kupoteza watu, ni mzoefu wa kupora mali za watu; hivyo unamaanisha nchi itaendelea na kuwa kinara wa kuua na kuwapoteza watu?

Huyu shetani tunaomba yeye na kizazi chake walaanike pamoja na hao waliowaletea wananchi jitu jambazi na muuaji eti awe msamaji wao.
 
Kwa mjibu wa katibu mwenezi wa CCM Taifa, ndugu Paul C. Makonda, Taifa letu lina viongozi wazalendo ambao wakipewa kazi wanafanya kazi kuhakikisha nchi inapiga hatua kimaendeleo.

Lakini kwa bahati mbaya pia kuna WAHUNI ambao wakipewa kazi, wanaliibia Taifa hili na kukalia kupiga majungu! Lakini mbaya zaidi ni kwamba hawa wahuni wanaonekana wako "smart" zaidi kulinganisha na wazalendo kwa sababu, wao mara nyingi wakiona maslahi yao yanaingiliwa basi hufanya kukaa kimya na kuanza kushughulika n wazalendo wanaoingilia maslahi yao na familia zao kichini-chini.

Hili lilishawekwa wazi na Katibu Mwenezi wa CCM Taifa, wa zamani, ndugu Humphrey Polepole ambaye alisema ndani ya Chama na serikali kuna WAHUNI ambao wakiona umenyooka, basi wanakutafutia zengwe, au wanakutafutia namna ya kukuroga, au kukua iwe kwa ajali, sumu n.k. Kwa sehemu nakubaliana naye kwa sababu wakati wa utawala wa JPM pia aliwahi kukiri kupewa sumu. Lakini pia wakati wa ziara yake kule kusini (?Lindi), Kuna kipindi alitumiwa moshi ambao hata haujulikani ulitokea wapi (kwa wabishi Ingia youtube utaona)!

Sasa huu ukimya wa hawa "panya road" waliovishwa makoti ya uongozi kwa sasa umerudi tena kama ilivyokuwa kabla ya Mzalendo (JPM) kulala. Haikosi kuna jambo baya watakuwa wanalipanga juu ya viongozi wazalendo na watetezi wa wanyonge wa Chama na Serikali akiwemo ndugu Paul Christian Makonda.

Mungu ibariki Tanzania.

Mungu wabariki viongozi wetu wazalendo lakini wale wezi wanaolitesa Taifa hili, uwalaani wao na vizazi vyao.

Amin.
Kwa viongozi Hawa WA CCM ....Mungu aendelee kuingilia kati hata waishe wote ...sioni wa kuponywa mule. Aingilie Kati Kwa kweli afute kile kizazi chote ikibidi. Eeh Mungu utusikie.
 
Kwa mjibu wa katibu mwenezi wa CCM Taifa, ndugu Paul C. Makonda, Taifa letu lina viongozi wazalendo ambao wakipewa kazi wanafanya kazi kuhakikisha nchi inapiga hatua kimaendeleo.

Lakini kwa bahati mbaya pia kuna WAHUNI ambao wakipewa kazi, wanaliibia Taifa hili na kukalia kupiga majungu! Lakini mbaya zaidi ni kwamba hawa wahuni wanaonekana wako "smart" zaidi kulinganisha na wazalendo kwa sababu, wao mara nyingi wakiona maslahi yao yanaingiliwa basi hufanya kukaa kimya na kuanza kushughulika n wazalendo wanaoingilia maslahi yao na familia zao kichini-chini.

Hili lilishawekwa wazi na Katibu Mwenezi wa CCM Taifa, wa zamani, ndugu Humphrey Polepole ambaye alisema ndani ya Chama na serikali kuna WAHUNI ambao wakiona umenyooka, basi wanakutafutia zengwe, au wanakutafutia namna ya kukuroga, au kukua iwe kwa ajali, sumu n.k. Kwa sehemu nakubaliana naye kwa sababu wakati wa utawala wa JPM pia aliwahi kukiri kupewa sumu. Lakini pia wakati wa ziara yake kule kusini (?Lindi), Kuna kipindi alitumiwa moshi ambao hata haujulikani ulitokea wapi (kwa wabishi Ingia youtube utaona)!

Sasa huu ukimya wa hawa "panya road" waliovishwa makoti ya uongozi kwa sasa umerudi tena kama ilivyokuwa kabla ya Mzalendo (JPM) kulala. Haikosi kuna jambo baya watakuwa wanalipanga juu ya viongozi wazalendo na watetezi wa wanyonge wa Chama na Serikali akiwemo ndugu Paul Christian Makonda.

Mungu ibariki Tanzania.

Mungu wabariki viongozi wetu wazalendo lakini wale wezi wanaolitesa Taifa hili, uwalaani wao na vizazi vyao.

Amin.
Kataa Wahuni @# Makonda @# Polepole !
Ni kweli Wahuni wapo tena wana maguvu na Sauti kupitia kwenye pesa zao Haramu !!
Lakini pia Mungu yupo mwenye uwezo usiowezwa 🙏🙏🙏
 
Magufuli alisema yeye ni MZALENDO haigopi kufa na yeye Bashite Aseme hivyo hivyo hiyo ndio kauli ya KIZALENDO
Ni kweli kabisa kama upo kwenye kusimamia Haki hupaswi kuogopa mtu !!
Kufa kupo tu hata ukiogopa utakufa tu !
It’s better to die standing than to live kneeling 🧎‍♀️!!
 
Kwa viongozi Hawa WA CCM ....Mungu aendelee kuingilia kati hata waishe wote ...sioni wa kuponywa mule. Aingilie Kati Kwa kweli afute kile kizazi chote ikibidi. Eeh Mungu utusikie.
Duh 🙄!!
🙏🙏
 
Kwa mjibu wa katibu mwenezi wa CCM Taifa, ndugu Paul C. Makonda, Taifa letu lina viongozi wazalendo ambao wakipewa kazi wanafanya kazi kuhakikisha nchi inapiga hatua kimaendeleo.

Lakini kwa bahati mbaya pia kuna WAHUNI ambao wakipewa kazi, wanaliibia Taifa hili na kukalia kupiga majungu! Lakini mbaya zaidi ni kwamba hawa wahuni wanaonekana wako "smart" zaidi kulinganisha na wazalendo kwa sababu, wao mara nyingi wakiona maslahi yao yanaingiliwa basi hufanya kukaa kimya na kuanza kushughulika n wazalendo wanaoingilia maslahi yao na familia zao kichini-chini.

Hili lilishawekwa wazi na Katibu Mwenezi wa CCM Taifa, wa zamani, ndugu Humphrey Polepole ambaye alisema ndani ya Chama na serikali kuna WAHUNI ambao wakiona umenyooka, basi wanakutafutia zengwe, au wanakutafutia namna ya kukuroga, au kukua iwe kwa ajali, sumu n.k. Kwa sehemu nakubaliana naye kwa sababu wakati wa utawala wa JPM pia aliwahi kukiri kupewa sumu. Lakini pia wakati wa ziara yake kule kusini (?Lindi), Kuna kipindi alitumiwa moshi ambao hata haujulikani ulitokea wapi (kwa wabishi Ingia youtube utaona)!

Sasa huu ukimya wa hawa "panya road" waliovishwa makoti ya uongozi kwa sasa umerudi tena kama ilivyokuwa kabla ya Mzalendo (JPM) kulala. Haikosi kuna jambo baya watakuwa wanalipanga juu ya viongozi wazalendo na watetezi wa wanyonge wa Chama na Serikali akiwemo ndugu Paul Christian Makonda.

Mungu ibariki Tanzania.

Mungu wabariki viongozi wetu wazalendo lakini wale wezi wanaolitesa Taifa hili, uwalaani wao na vizazi vyao.

Amin.
Anaogopa kivuli chake mwenyewe, alitaka wenye akili wajibizane naye?
 
Back
Top Bottom