Paul Makonda: Wananchi walioikimbia Dar warudi, Mauti hauikimbii. Siku ya Jumapili, kila mtu afanye fujo awezavyo na kupiga kelele na vigeregere!

Sisi tuliopetaza ndugu zetu kwa ugonjwa huu tunajua machungu yake, mh kauli yako naiona kama kejeli kwetu tuliokumbwa na dhahama hii. Kumbuka Mungu halali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku ya jumapili itakuwa siku ya send off party ya kuiaga corona Tanzania na kuifungisha virago forever iende kwa mumewe shetani

Makanisa mengi yatafanya hiyo ibada ya send off .Tunaomba kila mmoja ahudhurie ibada siku hiyo

Upatapo tangazo hili mtaarifa na mwingine tufike kwa wingi makanisani JUMAPILI HII ya tarehe 24 May 2020
 
Tutaona na kuyasikia mengi mwaka huu, tumeishinda corona wakati hatujui takwimu ziko vipi
Katika hizo takwimu kuna za familia au ukoo wako?

Senti bai yuzingi tecno T301
 

Hiyo ndio siku ya kujua kipimo cha ujinga wa mtu mweusi.
 
Mtuambie na bajeti mliyoandaa kwa ajili ya huo ujinga, manake nimesikia mahali pesa mlizowapa hao "mitume" na "manabii" wenu ni za ajabu.

Ndio maana kuna wawili siku hizi hawaachi kupiga kelele kila siku, wanaisema sana Chadema; kumbe mmeshawalipa, halafu mbaya zaidi wanawatumia mpaka waumini wao kwenye mambo yao binafsi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ndio siku ya kujua kipimo cha ujinga wa mtu mweusi.
Akili ni kitu kinachoonekana kipimo cha akili kwenye corona ni kufungisha virago corona kwenye nchi na kutoweka lockdown na corona kukosa uwezo wa kujitutumua pamoja na kutoweka lockdown.Tanzania tumeweza hatujaweka lockdown na corona imeshindwa kujitutumua na jumapili send off yake rasmi
 
Mabeberu yanashangaa sana yandhani labda ni movie

This is how we do
Mabeberu hawana hata habari. Wanapambana na hali zao saa hizi.

Mabeberu hao hao unasome wanashangaa.. hao hao wakija kwetu tunawaita wawekazaji.. watalii.. tunawaita majina kibao.

Bado magari.. madawa.. mifumo yote tunanunua kwao.

Corona is a bitch who will slap you on your face when you take it forgranted.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii corona itakuwa na yenyewe inashangaa, shout out kwa watu wote wenye kinga madhubuti naona mnaenda kufanya party la kuwaangamiza wenye weak immune, kmmk hakuna nchi kuna maselfish kama Tanzania. SHANGILIENI TU ILA MWISHO WAKE UNAKUJA


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huku ni kuchanganyikiwa.
 
Hatujaweka lockdown yes? But also hatupimi. So utajuaje kama hatuna cases za corona kama hatupimi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
acha hasira kijana, ulitaka watu wafe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
YEHODAYA, Corona is not a hoax .. it is real.
Fear is not real.. but danger is real. Learn to differentiate this two things.
If it was a hoax i beleive the number of peoples we have lost could be 0.
But then again who knows.. the truth..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…