Hata usinisingizie. Saa ngapi nimesema hayo[emoji15]PM yangu ipo wazi ila imeunganishwa na mfumo wa NECTA! Kwa ambaye hakufaulu form four, itakataa kufunguka, maana ni kwa wale wenye cheti tu. Nakushauri urudie hata masomo matatu angalau upate angalau D mbili maana hata ukiwa na D moja, haitafunguka. Mrs Van kwa vile alishinda form four, kaingia kiulaini na amenituma nikupe salamu za pole na kukupa moyo wa kuanza QT. Una la ziada ? Bwaga index number yako hadharani inayoanza na P na wala si Sxxxx/xxxx/20xx
weeh Elimu ya bongo ni kisanga boss
Nimekuelewa sana Ali,Hujanielewa bado.
Hivi unadhani ukimchukua dogo wa form four aliyepata four ya 28 umpeleke India akapige MD miaka 6 na umchukue dogo wa form six points 7 ambaye O- level pia alipiga one umpeleke Muhimbili akapige MD miaka 5+1 yupi atakuwa bora zaidi?
Hapo
Angekuwa warumi asingeuliza,angetuhabarisha Paula anasomea niniWe jamaa mbea km marehemu warumi
Watanzania hata hamjui mnataka nn kila kitu Ni shida
Ila atakuwa anamgeza Sonia maana nae kaenda nje kusoma
Binti wa Sabaya.Paula ndiye nani huyu???
tena kubwa mnooNimekuelewa sana Ali,
Wewe unataka kuonyesha kuwa mtoto aliyefeli na aliyepata division I wote wana uwezo unaofanana kwa kigezo cha kusoma nje ya nchi tu? Yaani huoni kama hiyo ni dharau?
sijawahi kanyaga shule mm.Hivi umeishia darasa la ngapi? Mbona hata Kiswahili unashindwa kukiandika kiufasaha huku ukiwa busy ku judge maisha ya watu?
'nawasiwasi' ndiyo utumbo gani?
Siyo kweliOya!, sinasikia Rayvanny, mama yake anauza mboga mboga stand ya Mabasi Mbeya
Siyo kwelini kweli
MedicineKatika pita pita zangu huko Insta, nimeona Paula Kajala yuko uturuki kimasomo.
Hivi huyu form 4 si alifeligi au kaenda kusomea mambo gani huko uturuki?
Ndio nani huko daslamu?! Alafu huko mjini dar watu wote huwa mnafahamiana.?!Katika pita pita zangu huko Insta, nimeona Paula Kajala yuko uturuki kimasomo.
Hivi huyu form 4 si alifeligi au kaenda kusomea mambo gani huko uturuki?
Utapata watoto/ wajukuu wa kike, ulichotamka juu ya PAULA hakitakuacha salamaa kwenye uzao wako. Tubu omba msamahaKile kichwa na shule wapi na wapi?
Labda kama kaenda kusomea umalaya.