Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Kufeli mtihani sio kufeli maisha,waliopata div zero wakati nasoma wengi wao Sasa hivi wapo mbali sana kimaishaHa ha ha ha ha nimesikia mtoto wa Pfunky Majani na Kajala Masanja, Paula amepata division zero katika matokeo yake ya kidato cha nne yaliyotangazwa jana.
Unaambiwa tangu matokeo yatangazwe Paula hana amani kabisa,kula hali hana furaha kabisa yani kutokana na kuvurunda katika matokeo yake.
Nitawajuza zaidi ngoja niendelee kupeleleza zaidi na zaidi.
View attachment 1004347
Sent using Jamii Forums mobile app
Hasara tupuuuKufeli mtihani sio kufeli maisha,waliopata div zero wakati nasoma wengi wao Sasa hivi wapo mbali sana kimaisha
Katoto kanashinda insta walahi mama yake anakivalisha vichupi unazani kitaipatia wapi dv one,Ha ha ha ha ha nimesikia mtoto wa Pfunky Majani na Kajala Masanja, Paula amepata division zero katika matokeo yake ya kidato cha nne yaliyotangazwa jana.
Unaambiwa tangu matokeo yatangazwe Paula hana amani kabisa,kula hali hana furaha kabisa yani kutokana na kuvurunda katika matokeo yake.
Nitawajuza zaidi ngoja niendelee kupeleleza zaidi na zaidi.
View attachment 1004347
Sent using Jamii Forums mobile app
Beauty with no brainHa ha ha ha ha nimesikia mtoto wa Pfunky Majani na Kajala Masanja, Paula amepata division zero katika matokeo yake ya kidato cha nne yaliyotangazwa jana.
Unaambiwa tangu matokeo yatangazwe Paula hana amani kabisa,kula hali hana furaha kabisa yani kutokana na kuvurunda katika matokeo yake.
Nitawajuza zaidi ngoja niendelee kupeleleza zaidi na zaidi.
View attachment 1004347
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1004372
Nyuzi sita kisa paula kajala utadhani ulikua unawasaidia wazazi wake kulipa ada
Hasara tupuArudie tu,kufeli ni kawaida sana.
Ajikaze arudi tena ulingoni
She is cute..
Penye ukweli lazima pasemwe.View attachment 1004372
Nyuzi sita kisa paula kajala utadhani ulikua unawasaidia wazazi wake kulipa ada
Hamna mzee,ajifunze alipokosea tu
Ha ha ha, hasara tupuKatoto kanashinda insta walahi mama yake anakivalisha vichupi unazani kitaipatia wapi dv one,
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasema mtoto wa nyoka ni nyokaKatoto kanashinda insta walahi mama yake anakivalisha vichupi unazani kitaipatia wapi dv one,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna hasara yoyote, bado mdogo hatuwezi kumjudge