Aigoo
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 3,124
- 2,819
Tunamchangiaga kupitia BIKO haujui kwaniView attachment 1004372
Nyuzi sita kisa paula kajala utadhani ulikua unawasaidia wazazi wake kulipa ada
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunamchangiaga kupitia BIKO haujui kwaniView attachment 1004372
Nyuzi sita kisa paula kajala utadhani ulikua unawasaidia wazazi wake kulipa ada
Ukiwa supastar lazima ubebe mzigo wa mwiba ndo kama hiviUjinga wenu so paula hana kosa
This was the useless post I told u about it,View attachment 1004372
Nyuzi sita kisa paula kajala utadhani ulikua unawasaidia wazazi wake kulipa ada
This was the useless post I told u about it,
Ungepata 4 ungeweza kuandika "interior" badala ya "enterior" sio?nilipata zero form 4 lakini sasa nimeajili wasomi 6 wenye degree zao. shikamooooo maisha
we kazana kumsoma mgunduzi wa ziwa victoria , wakat watu awana habari nae na wanamiliki boat kama mia za uvuvi.
Ukweli kapata division 2 Cheni kumnyanyapaa mtoto wa mwenzio angekuwa wako ungejisikiaje?Beauty with no brain
Jr[emoji769]
Pamoja na hayo unaonekana hauna akili.nilipata zero form 4 lakini sasa nimeajili wasomi 6 wenye degree zao. shikamooooo maisha
we kazana kumsoma mgunduzi wa ziwa victoria , wakat watu awana habari nae na wanamiliki boat kama mia za uvuvi.
ivi so ndo uyo mwenye clip yake ili vuja Hance Mtanashati
Mtoto wa kike akisha fail ni basi hana option nyingine kwa maisha ya sasa hivi, biashara hawawezi, labla atokee kigogo amuoe...Hamna mzee,ajifunze alipokosea tu
Asirudi nyuma tu,kupambana ndo kilichobaki
Kiungo pendwa kupata milage sana!Beauty with no brain
Jr[emoji769]