Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema unapendaaga kufatilia mambo ya watu wewe utakuwa ndio wale wanaume wa darHa ha ha ha ha nimesikia mtoto wa Pfunky Majani na Kajala Masanja, Paula amepata division zero katika matokeo yake ya kidato cha nne yaliyotangazwa jana.
Unaambiwa tangu matokeo yatangazwe Paula hana amani kabisa,kula hali hana furaha kabisa yani kutokana na kuvurunda katika matokeo yake.
Nitawajuza zaidi ngoja niendelee kupeleleza zaidi na zaidi.
View attachment 1004347
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Life Style aliyoishi amejitahidi hata hiy ZERO.Ha ha ha ha ha nimesikia mtoto wa Pfunky Majani na Kajala Masanja, Paula amepata division zero katika matokeo yake ya kidato cha nne yaliyotangazwa jana.
Unaambiwa tangu matokeo yatangazwe Paula hana amani kabisa,kula hali hana furaha kabisa yani kutokana na kuvurunda katika matokeo yake.
Nitawajuza zaidi ngoja niendelee kupeleleza zaidi na zaidi.
View attachment 1004347
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe hupendi kufuatilia mambo ya watu?Sema unapendaaga kufatilia mambo ya watu wewe utakuwa ndio wale wanaume wa dar
Sent using Jamii Forums mobile app
kama hupendi kufatilia maisha ya watu ,huku jukwaa la umbeya umefata nini?Yatanisaidia nn vingine inatakiwa unyamaze maana huyo mtoto hujamchangia hata mia ya ada wewe kinakuuma nn akifeli
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mtu anayeshinda ana mfatilia mwenye mikato ya kike yeye atakuwaje? hahahahaSema mleta hii mada huwa nashindwa kukuelewaga yani. Unamikato ya kike sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
unajifanya upendi ukuda halafu unazunguaka kwenye hili jukwaa? acha uongo na unafiki uende mbinguniHuyo ni mtoto wazee,mbona jamii forum imekua ya kikuda hivi!?
Atabaki kuwa mtoto tu,watoto hatuwazungumzii katika lugha hii imetumika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Malezi tu ndo tatizo.yule wa Monalisa kapata div 1.Ha ha ha ha ha nimesikia mtoto wa Pfunky Majani na Kajala Masanja, Paula amepata division zero katika matokeo yake ya kidato cha nne yaliyotangazwa jana.
Unaambiwa tangu matokeo yatangazwe Paula hana amani kabisa,kula hali hana furaha kabisa yani kutokana na kuvurunda katika matokeo yake.
Nitawajuza zaidi ngoja niendelee kupeleleza zaidi na zaidi.
View attachment 1004347
Sent using Jamii Forums mobile app
Thibitisha. Usijekuwa unajitapa tu wewe ndugu yake bashitinilipata zero form 4 lakini sasa nimeajili wasomi 6 wenye degree zao. shikamooooo maisha
we kazana kumsoma mgunduzi wa ziwa victoria , wakat watu awana habari nae na wanamiliki boat kama mia za uvuvi.
Mfano hai ni bashiteKufeli mtihani sio kufeli maisha,waliopata div zero wakati nasoma wengi wao Sasa hivi wapo mbali sana kimaisha
Wengine wakuu wa mikoa et ee?Kufeli mtihani sio kufeli maisha,waliopata div zero wakati nasoma wengi wao Sasa hivi wapo mbali sana kimaisha