bazl
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 444
- 593
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo uhakika anautoa wp??Ila "mtaji wa maisha" anao mkononi mwake wewe unajidanganya tu mwenzio mpaka uhakika wa maisha anao 100%
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaweza pia kwenda advance kwa shule za privateKwa ufaulu huo anaenda chuo hivi vya elimu ya kati,na akikaza buti anaweza fika chuo kikuu na kama atendelea kielimu zaidi pia anaweza fika kiwango kingine cha elimu(hata kuwa profesa) kama ana mpango huo.
Hahahanilipata zero form 4 lakini sasa nimeajili wasomi 6 wenye degree zao. shikamooooo maisha
we kazana kumsoma mgunduzi wa ziwa victoria , wakat watu awana habari nae na wanamiliki boat kama mia za uvuvi.
Zitakazoumia ni sehemu zake za si.....Beauty with no brain
Jr[emoji769]
Wengine wakuu wa mikoa mikubwa sasa hivi tena wengine ni washauri wakubwa wa raisiKufeli mtihani sio kufeli maisha,waliopata div zero wakati nasoma wengi wao Sasa hivi wapo mbali sana kimaisha