Inasikitisha kama mpka leo kuna wanaume na wanawake tunaanzisha nyunzi hapa kumnanga binti ambae anahitaji msaada wetu positively ili kumsaidia kupambana zaidi katika elimu. Hebu tubadilike watanzania wenzangu. Paula bado ni mtoto tusimkatishe tamaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app