Pauline Gekul ajibu tuhuma za kumdhuru na kumdhalilisha kijana

Pauline Gekul ajibu tuhuma za kumdhuru na kumdhalilisha kijana

Katemwa tayari, hakujua Kama cheo ni dhamana huyu.
IMG_20231125_202144.jpg
 
Katemwa tayari, hakujua Kama cheo ni dhamana huyu.View attachment 2825010
kifuatacho, iwe kama alivyofanywa sabaya. sweka rumande kabisa. viongozi wetu wakipata madaraka, huwa wanajisahau sana. huyu si alikuwa chadema anahangaishwa na kina mbowe juzi tu hapa, amehamia ccm wamempa ulaji amesahau yote. kweli mwanamke umwingizie mwanaume chupa kwenye sehemu za siri, ukatili gani huo? si asaidie ndugu zeke kule babati waache kukeketana hadi adhalilishe wanaume namna hii? au nia yake alitaka amgeuza kijana wa watu awe shoga? na ni Naibu waziri wa sheria. sheria inatakiwa ichukue mkondo wake.
 
Kupitia mtandao wa X, wakili wa kujitegemea Peter Madeleka aliandika: “Kitendo cha kishetani alichofanyiwa Hashimu Ally Philemoni kuingiziwa chupa sehemu ya haja kubwa, siyo siasa. Tunataka wote wanaotajwa kuhusika na ushetani huu, wawajibishwe bila kujali vyeo vyao.”

Mwanasiasa aliyewahi kuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob kupitia ukurasa wake wa X ameomba haki itendeke.

Maria Sarungi, ambaye ni mwanaharakati kupitia mtandao huo ametaka kufanyike uchunguzi dhidi ya tuhuma hizo.
Wanaccm wao walisemaje kuhusu hili tukio?

Au wao hayawahusu
 
kifuatacho, iwe kama alivyofanywa sabaya. sweka rumande kabisa. viongozi wetu wakipata madaraka, huwa wanajisahau sana. huyu si alikuwa chadema anahangaishwa na kina mbowe juzi tu hapa, amehamia ccm wamempa ulaji amesahau yote. kweli mwanamke umwingizie mwanaume chupa kwenye sehemu za siri, ukatili gani huo? si asaidie ndugu zeke kule babati waache kukeketana hadi adhalilishe wanaume namna hii? au nia yake alitaka amgeuza kijana wa watu awe shoga? na ni Naibu waziri wa sheria. sheria inatakiwa ichukue mkondo wake.
Ndio tabia zao. Yaani huko chini wanafanyia watu mambo mabaya sana.

Mambo ya Inya kuchomeka vitu inaonekana ni michezo yao ndio maana hawaoni kinyaa wala huruma
 
Back
Top Bottom