Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
of course, kuna tuhuma nyingine kadhaa huyu mama alishatuhumiwa nazo. kwani ana shida gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kifuatacho, iwe kama alivyofanywa sabaya. sweka rumande kabisa. viongozi wetu wakipata madaraka, huwa wanajisahau sana. huyu si alikuwa chadema anahangaishwa na kina mbowe juzi tu hapa, amehamia ccm wamempa ulaji amesahau yote. kweli mwanamke umwingizie mwanaume chupa kwenye sehemu za siri, ukatili gani huo? si asaidie ndugu zeke kule babati waache kukeketana hadi adhalilishe wanaume namna hii? au nia yake alitaka amgeuza kijana wa watu awe shoga? na ni Naibu waziri wa sheria. sheria inatakiwa ichukue mkondo wake.Katemwa tayari, hakujua Kama cheo ni dhamana huyu.View attachment 2825010
Wanaccm wao walisemaje kuhusu hili tukio?Kupitia mtandao wa X, wakili wa kujitegemea Peter Madeleka aliandika: “Kitendo cha kishetani alichofanyiwa Hashimu Ally Philemoni kuingiziwa chupa sehemu ya haja kubwa, siyo siasa. Tunataka wote wanaotajwa kuhusika na ushetani huu, wawajibishwe bila kujali vyeo vyao.”
Mwanasiasa aliyewahi kuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob kupitia ukurasa wake wa X ameomba haki itendeke.
Maria Sarungi, ambaye ni mwanaharakati kupitia mtandao huo ametaka kufanyike uchunguzi dhidi ya tuhuma hizo.
Ndio tabia zao. Yaani huko chini wanafanyia watu mambo mabaya sana.kifuatacho, iwe kama alivyofanywa sabaya. sweka rumande kabisa. viongozi wetu wakipata madaraka, huwa wanajisahau sana. huyu si alikuwa chadema anahangaishwa na kina mbowe juzi tu hapa, amehamia ccm wamempa ulaji amesahau yote. kweli mwanamke umwingizie mwanaume chupa kwenye sehemu za siri, ukatili gani huo? si asaidie ndugu zeke kule babati waache kukeketana hadi adhalilishe wanaume namna hii? au nia yake alitaka amgeuza kijana wa watu awe shoga? na ni Naibu waziri wa sheria. sheria inatakiwa ichukue mkondo wake.
🤣🤣🤣shumileta
au hajawahi kuzaa...hana uchungu wa mtotoIla iwepo hizo tuhuma zitathibitika kuwa kweli aisee ni kashfa mbaya sana.
Ni kitendo kibaya sana kufanyia watoto wa wenzio [emoji24][emoji24]
kwa sababu tunamuonea wivu au?Kuchafuana tu,,
🖕Hakuna mwanasiasa mtakatifu, ukiambiwa kuwa Tundu Lissu amewahi kuua huwezi amini
Labda alikuua wewe.Hakuna mwanasiasa mtakatifu, ukiambiwa kuwa Tundu Lissu amewahi kuua huwezi amini
Sio vizuri yan wanawake wakipata vyeo wanakuaga wana roho mbaya wanakuaga wanawasikiliza wale wanaowakaza vizuri tu, madam roho mbaya huwa haijengi…