Paulo Makonda ni Waziri Mkuu Mtarajiwa

Paulo Makonda ni Waziri Mkuu Mtarajiwa

Wakuu JF wazima nimatumaini yangu,
Nianze kwa kusema hivi, Hakuna asiyemfahamu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kipindi cha Awamu ya Tano kabla ya uchaguzi wa 2020

Kwa Huruka yake unyanyasaji na ukatili kwa wapinzani na hadi kufikia kuvamia vituo vya Habari wote ni Mashaidi.
Akastaafu maneno ya kasemwa yeye akawa kimya hadi wengine walidriki kumshitaki lakini hakuwahi kusema chochote!

Mwishoni mwa mwaka jana 2023, Chama chake kikamteua kuwa Katibu itikadi na Uenezi Taifa! Watu wakaona kama hakustahili!maneno yakawa mengi huko na huku wakakutana na aliyekuwa Mkuu wa wolaya kipindi hicho akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam hadi aliwahi kumkalisha chini! ndiyo madaraka yalivyo ayajali umri!

Akamkuta ndiye ameshikilia kiti cha ukatibu Mkuu wa chama cha CCM ni Boss kweli! Tukapenyezwa kuwa Katibu Mkuu inaonyesha hapendi kufanya kazi na Makonda hata kwenye ziara za Mwenezi Katibu Mkuu haendi na hampi peza zakufanya mikutano lakini anashangaa kuona mambo yanaenda Paul anaendelea kufanya mikutano! Aikupita muda mrefu mitandao ya kijamii hasa X ukaibua kashifa za Katibu Mkuu akaamua kujiudhuru wadhifa wa katibu mkuu!

Ziara za Chiristian Paul Makonda zikashika moto nalianza kwa maagizo kwa Waziri mkuu watu wakashika vinywa!! lakini ndiyo hivyo,hakuishoa hapo na waziri wakawa wanapewa maagizo ya kero anazokutana nazo kutoka kwa wananchi! Nakweli kijana anafanyazi ya uenezi.

Kwa upande wangu niliona anachokifanya ni sahihi hii nchi inamatatizo makubwa sana wananchi wanateseka sana sasa Makonda ndiye amebaki kutatua kero za wananchi kana kwamba yeye ndiye Maakamo wa Rais au Ndiye Waziri Mkuu au naibu wake! Hadi kero za ardhi anatatua utadhani nchi hii aina mawziri husika!! Kwangu mimi hii nchi inahitaji watu kama Makonda.

Ukuangalia kwa undani style ya Makonda ni ya Hayati Magufuli kiutendaji kitu kimoja anatakiwa kukifanya nikujiepusha na ukatili dhidi ya wapinzani wake kwani hakuna kitu utamfanyia binadamu mwenziyo wewe ukabaki salama na hasa katika kazi za siasa kwani siyo za kudumu!Hivyo Makonda tutegemee kuwa katika nafasi ya Juu kiutendaji.
Acha kuota ndoto za mchana. Halafu chukua tahadhari, ukiona mlango wa choo usiingie waweza kata gogo kitandani.

Awe waziri mkuu wa familia yakonlabda au kijiji cha Kolomije. Anatumika tu ila punde si punde atakuwa dispensed kama used condom
 
Ni kweli GENTAMYCINE ila pia fahamu kuwa Makonda hana target ya hivyo vyeo, na kilichopo ni Makonda jinsi alivyo ndivyo alivyo, yaani upangiliaji wake wa hotuba na kauli unaona ni mtu fulani genius sana (najua unaweza kuwa na mtizamo wako labda unamfahamu zaidi) ila kwenye hadhira Makonda ni mwenye hekima na anaweza kuongea na watu wa hali zote na kueleweka (kwa sasa hakuna awaye yeyote kwa wanasiasa waliopo mwenye huo uwezo). Na eti alipoteuliwa Dotto Biteko wakasema eti amsaidie Mama kura kanda ya Ziwa sisi wachambuzi tulisema Biteko hana kabisa ushawishi hata hotuba zake hazina mvuto kabisa na hana uwezo wa ushawishi. Makonda hiyo kazi kaiweza pamoja na Dkt Nchimbi kumkemea akidhani Makonda atatetereka hapana kaendelea na msimamo wake. Kingine hakuna mwanasiasa aliyeenda kwenye kaburi la Dkt Magufuli na ku plege utiifu hata ktk umauti wake hakuna na ujue hicho kitu ktk ulimwengu mwingine kina nguvu sana. Kumbuka Dkt Magufuli alitakiwa kuwa wamemuua siku nyingi hao mafisadi ila walijaribu mara kadhaa wakashindwa na hatimaye kawa rais kwa hiyo jambo alilolipqnga Mungu binaadamu hawezi likwamisha
Huo u- genius mnafhamu kweli maana ya hilo neno? Kama Makonda ni genius basi Mungu hakuumba wapumbavu.

Nyinyi mnashangilia usanii wa Makonda?? Ni kero gani katatua so far?

Hakuna kitu hapo kwa Bashite. Niko wilaya ya Kinondoni ambapo last 20 days alitangaza hdharani kuwa atamkabidhi Mbunge Gwajima wa jimbo la kawe makatapila 20. Nimetembea na kuuliza kila mtaa, hakuna katapila lolote limepokelewa.

Kama kuna wafanyakazi wanatetemeka ujio wa Makonda basi ujuwe wafanyakazi hao ni MBURURA, yaani hawajitambui


Bashite ni Zerobrain, hakuna lolote atakisaidia CCM kwa hizo ziara
 
Acheni mzaha na mambo mazito jamani ndio maana hatutoki hapa tulipo kutokana na mizaha kuwa mingi!
Ili tuweze kutoaqka hapa tunatakiwa kuwa na watu wenye vision na sio hii mizaha ya akina makonda!
 
Wakuu JF wazima nimatumaini yangu,
Nianze kwa kusema hivi, Hakuna asiyemfahamu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kipindi cha Awamu ya Tano kabla ya uchaguzi wa 2020
Hivi kabla hujaleta huu upupu ulishirikisha kichwa chako kweli?
Hebu tupe elimu yako huenda ni ulimbukeni unakusumbua!
Hii sio mada ya kuleta kwa watu wenye akili!
 
Wakuu JF wazima nimatumaini yangu,
Nianze kwa kusema hivi, Hakuna asiyemfahamu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kipindi cha Awamu ya Tano kabla ya uchaguzi wa 2020

Kwa Huruka yake unyanyasaji na ukatili kwa wapinzani na hadi kufikia kuvamia vituo vya Habari wote ni Mashaidi.
Akastaafu maneno ya kasemwa yeye akawa kimya hadi wengine walidriki kumshitaki lakini hakuwahi kusema chochote!

Mwishoni mwa mwaka jana 2023, Chama chake kikamteua kuwa Katibu itikadi na Uenezi Taifa! Watu wakaona kama hakustahili!maneno yakawa mengi huko na huku wakakutana na aliyekuwa Mkuu wa wolaya kipindi hicho akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam hadi aliwahi kumkalisha chini! ndiyo madaraka yalivyo ayajali umri!

Akamkuta ndiye ameshikilia kiti cha ukatibu Mkuu wa chama cha CCM ni Boss kweli! Tukapenyezwa kuwa Katibu Mkuu inaonyesha hapendi kufanya kazi na Makonda hata kwenye ziara za Mwenezi Katibu Mkuu haendi na hampi peza zakufanya mikutano lakini anashangaa kuona mambo yanaenda Paul anaendelea kufanya mikutano! Aikupita muda mrefu mitandao ya kijamii hasa X ukaibua kashifa za Katibu Mkuu akaamua kujiudhuru wadhifa wa katibu mkuu!

Ziara za Chiristian Paul Makonda zikashika moto nalianza kwa maagizo kwa Waziri mkuu watu wakashika vinywa!! lakini ndiyo hivyo,hakuishoa hapo na waziri wakawa wanapewa maagizo ya kero anazokutana nazo kutoka kwa wananchi! Nakweli kijana anafanyazi ya uenezi.

Kwa upande wangu niliona anachokifanya ni sahihi hii nchi inamatatizo makubwa sana wananchi wanateseka sana sasa Makonda ndiye amebaki kutatua kero za wananchi kana kwamba yeye ndiye Maakamo wa Rais au Ndiye Waziri Mkuu au naibu wake! Hadi kero za ardhi anatatua utadhani nchi hii aina mawziri husika!! Kwangu mimi hii nchi inahitaji watu kama Makonda.

Ukuangalia kwa undani style ya Makonda ni ya Hayati Magufuli kiutendaji kitu kimoja anatakiwa kukifanya nikujiepusha na ukatili dhidi ya wapinzani wake kwani hakuna kitu utamfanyia binadamu mwenziyo wewe ukabaki salama na hasa katika kazi za siasa kwani siyo za kudumu!Hivyo Makonda tutegemee kuwa katika nafasi ya Juu kiutendaji.
visionary ideas in morden politics
 
Kwa hiyo makonda kaenda mkuu
Ni kweli GENTAMYCINE ila pia fahamu kuwa Makonda hana target ya hivyo vyeo, na kilichopo ni Makonda jinsi alivyo ndivyo alivyo, yaani upangiliaji wake wa hotuba na kauli unaona ni mtu fulani genius sana (najua unaweza kuwa na mtizamo wako labda unamfahamu zaidi) ila kwenye hadhira Makonda ni mwenye hekima na anaweza kuongea na watu wa hali zote na kueleweka (kwa sasa hakuna awaye yeyote kwa wanasiasa waliopo mwenye huo uwezo). Na eti alipoteuliwa Dotto Biteko wakasema eti amsaidie Mama kura kanda ya Ziwa sisi wachambuzi tulisema Biteko hana kabisa ushawishi hata hotuba zake hazina mvuto kabisa na hana uwezo wa ushawishi. Makonda hiyo kazi kaiweza pamoja na Dkt Nchimbi kumkemea akidhani Makonda atatetereka hapana kaendelea na msimamo wake. Kingine hakuna mwanasiasa aliyeenda kwenye kaburi la Dkt Magufuli na ku plege utiifu hata ktk umauti wake hakuna na ujue hicho kitu ktk ulimwengu mwingine kina nguvu sana. Kumbuka Dkt Magufuli alitakiwa kuwa wamemuua siku nyingi hao mafisadi ila walijaribu mara kadhaa wakashindwa na hatimaye kawa rais kwa hiyo jambo alilolipqnga Mungu binaadamu hawezi likwamisha
 
Makonda nina jambo naye muhimu sana,sijawah kupata nafasi ya ukaribu wa kumpa anacho takiwa kujua,,pamoja na yote siku akijua hiki hakika atafaha sana,angekuwa mtu wa kusoma comments ningempa mambo haya..
Wakuu JF wazima nimatumaini yangu,
Nianze kwa kusema hivi, Hakuna asiyemfahamu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kipindi cha Awamu ya Tano kabla ya uchaguzi wa 2020

Kwa Huruka yake unyanyasaji na ukatili kwa wapinzani na hadi kufikia kuvamia vituo vya Habari wote ni Mashaidi.
Akastaafu maneno ya kasemwa yeye akawa kimya hadi wengine walidriki kumshitaki lakini hakuwahi kusema chochote!

Mwishoni mwa mwaka jana 2023, Chama chake kikamteua kuwa Katibu itikadi na Uenezi Taifa! Watu wakaona kama hakustahili!maneno yakawa mengi huko na huku wakakutana na aliyekuwa Mkuu wa wolaya kipindi hicho akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam hadi aliwahi kumkalisha chini! ndiyo madaraka yalivyo ayajali umri!

Akamkuta ndiye ameshikilia kiti cha ukatibu Mkuu wa chama cha CCM ni Boss kweli! Tukapenyezwa kuwa Katibu Mkuu inaonyesha hapendi kufanya kazi na Makonda hata kwenye ziara za Mwenezi Katibu Mkuu haendi na hampi peza zakufanya mikutano lakini anashangaa kuona mambo yanaenda Paul anaendelea kufanya mikutano! Aikupita muda mrefu mitandao ya kijamii hasa X ukaibua kashifa za Katibu Mkuu akaamua kujiudhuru wadhifa wa katibu mkuu!

Ziara za Chiristian Paul Makonda zikashika moto nalianza kwa maagizo kwa Waziri mkuu watu wakashika vinywa!! lakini ndiyo hivyo,hakuishoa hapo na waziri wakawa wanapewa maagizo ya kero anazokutana nazo kutoka kwa wananchi! Nakweli kijana anafanyazi ya uenezi.

Kwa upande wangu niliona anachokifanya ni sahihi hii nchi inamatatizo makubwa sana wananchi wanateseka sana sasa Makonda ndiye amebaki kutatua kero za wananchi kana kwamba yeye ndiye Maakamo wa Rais au Ndiye Waziri Mkuu au naibu wake! Hadi kero za ardhi anatatua utadhani nchi hii aina mawziri husika!! Kwangu mimi hii nchi inahitaji watu kama Makonda.

Ukuangalia kwa undani style ya Makonda ni ya Hayati Magufuli kiutendaji kitu kimoja anatakiwa kukifanya nikujiepusha na ukatili dhidi ya wapinzani wake kwani hakuna kitu utamfanyia binadamu mwenziyo wewe ukabaki salama na hasa katika kazi za siasa kwani siyo za kudumu!Hivyo Makonda tutegemee kuwa katika nafasi ya Juu kiutendaji.
 
Makonda nina jambo naye muhimu sana,sijawah kupata nafasi ya ukaribu wa kumpa anacho takiwa kujua,,pamoja na yote siku akijua hiki hakika atafaha sana,angekuwa mtu wa kusoma comments ningempa mambo haya..

Mkuu nakusalimu ila nenda instagram mtafute anajulikana kama Babakeegan mDM
 
Wakuu JF wazima nimatumaini yangu,
Nianze kwa kusema hivi, Hakuna asiyemfahamu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kipindi cha Awamu ya Tano kabla ya uchaguzi wa 2020

Kwa Huruka yake unyanyasaji na ukatili kwa wapinzani na hadi kufikia kuvamia vituo vya Habari wote ni Mashaidi.
Akastaafu maneno ya kasemwa yeye akawa kimya hadi wengine walidriki kumshitaki lakini hakuwahi kusema chochote!

Mwishoni mwa mwaka jana 2023, Chama chake kikamteua kuwa Katibu itikadi na Uenezi Taifa! Watu wakaona kama hakustahili!maneno yakawa mengi huko na huku wakakutana na aliyekuwa Mkuu wa wolaya kipindi hicho akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam hadi aliwahi kumkalisha chini! ndiyo madaraka yalivyo ayajali umri!

Akamkuta ndiye ameshikilia kiti cha ukatibu Mkuu wa chama cha CCM ni Boss kweli! Tukapenyezwa kuwa Katibu Mkuu inaonyesha hapendi kufanya kazi na Makonda hata kwenye ziara za Mwenezi Katibu Mkuu haendi na hampi peza zakufanya mikutano lakini anashangaa kuona mambo yanaenda Paul anaendelea kufanya mikutano! Aikupita muda mrefu mitandao ya kijamii hasa X ukaibua kashifa za Katibu Mkuu akaamua kujiudhuru wadhifa wa katibu mkuu!

Ziara za Chiristian Paul Makonda zikashika moto nalianza kwa maagizo kwa Waziri mkuu watu wakashika vinywa!! lakini ndiyo hivyo,hakuishoa hapo na waziri wakawa wanapewa maagizo ya kero anazokutana nazo kutoka kwa wananchi! Nakweli kijana anafanyazi ya uenezi.

Kwa upande wangu niliona anachokifanya ni sahihi hii nchi inamatatizo makubwa sana wananchi wanateseka sana sasa Makonda ndiye amebaki kutatua kero za wananchi kana kwamba yeye ndiye Maakamo wa Rais au Ndiye Waziri Mkuu au naibu wake! Hadi kero za ardhi anatatua utadhani nchi hii aina mawziri husika!! Kwangu mimi hii nchi inahitaji watu kama Makonda.

Ukuangalia kwa undani style ya Makonda ni ya Hayati Magufuli kiutendaji kitu kimoja anatakiwa kukifanya nikujiepusha na ukatili dhidi ya wapinzani wake kwani hakuna kitu utamfanyia binadamu mwenziyo wewe ukabaki salama na hasa katika kazi za siasa kwani siyo za kudumu!Hivyo Makonda tutegemee kuwa katika nafasi ya Juu kiutendaji.
UVCCM mshaona MAJALIWA hafai?
 
Wakuu JF wazima nimatumaini yangu,
Nianze kwa kusema hivi, Hakuna asiyemfahamu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kipindi cha Awamu ya Tano kabla ya uchaguzi wa 2020

Kwa Huruka yake unyanyasaji na ukatili kwa wapinzani na hadi kufikia kuvamia vituo vya Habari wote ni Mashaidi.
Akastaafu maneno ya kasemwa yeye akawa kimya hadi wengine walidriki kumshitaki lakini hakuwahi kusema chochote!

Mwishoni mwa mwaka jana 2023, Chama chake kikamteua kuwa Katibu itikadi na Uenezi Taifa! Watu wakaona kama hakustahili!maneno yakawa mengi huko na huku wakakutana na aliyekuwa Mkuu wa wolaya kipindi hicho akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam hadi aliwahi kumkalisha chini! ndiyo madaraka yalivyo ayajali umri!

Akamkuta ndiye ameshikilia kiti cha ukatibu Mkuu wa chama cha CCM ni Boss kweli! Tukapenyezwa kuwa Katibu Mkuu inaonyesha hapendi kufanya kazi na Makonda hata kwenye ziara za Mwenezi Katibu Mkuu haendi na hampi peza zakufanya mikutano lakini anashangaa kuona mambo yanaenda Paul anaendelea kufanya mikutano! Aikupita muda mrefu mitandao ya kijamii hasa X ukaibua kashifa za Katibu Mkuu akaamua kujiudhuru wadhifa wa katibu mkuu!
Yaani Watanzania wengine akili zenu sijui nani anawashikia. Unaandika maneno mengi lumpamba huyu mhalifu
 
Hii habari wengi wenu mnaweza msiipende lakini huu ndiyo ukweli wenyewe!
 
Back
Top Bottom