Paulo Makonda ni Waziri Mkuu Mtarajiwa

Acha kuota ndoto za mchana. Halafu chukua tahadhari, ukiona mlango wa choo usiingie waweza kata gogo kitandani.

Awe waziri mkuu wa familia yakonlabda au kijiji cha Kolomije. Anatumika tu ila punde si punde atakuwa dispensed kama used condom
 
Huo u- genius mnafhamu kweli maana ya hilo neno? Kama Makonda ni genius basi Mungu hakuumba wapumbavu.

Nyinyi mnashangilia usanii wa Makonda?? Ni kero gani katatua so far?

Hakuna kitu hapo kwa Bashite. Niko wilaya ya Kinondoni ambapo last 20 days alitangaza hdharani kuwa atamkabidhi Mbunge Gwajima wa jimbo la kawe makatapila 20. Nimetembea na kuuliza kila mtaa, hakuna katapila lolote limepokelewa.

Kama kuna wafanyakazi wanatetemeka ujio wa Makonda basi ujuwe wafanyakazi hao ni MBURURA, yaani hawajitambui


Bashite ni Zerobrain, hakuna lolote atakisaidia CCM kwa hizo ziara
 
Acheni mzaha na mambo mazito jamani ndio maana hatutoki hapa tulipo kutokana na mizaha kuwa mingi!
Ili tuweze kutoaqka hapa tunatakiwa kuwa na watu wenye vision na sio hii mizaha ya akina makonda!
 
Wakuu JF wazima nimatumaini yangu,
Nianze kwa kusema hivi, Hakuna asiyemfahamu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam kipindi cha Awamu ya Tano kabla ya uchaguzi wa 2020
Hivi kabla hujaleta huu upupu ulishirikisha kichwa chako kweli?
Hebu tupe elimu yako huenda ni ulimbukeni unakusumbua!
Hii sio mada ya kuleta kwa watu wenye akili!
 
visionary ideas in morden politics
 
Kwa hiyo makonda kaenda mkuu
 
Makonda nina jambo naye muhimu sana,sijawah kupata nafasi ya ukaribu wa kumpa anacho takiwa kujua,,pamoja na yote siku akijua hiki hakika atafaha sana,angekuwa mtu wa kusoma comments ningempa mambo haya..
 
Makonda nina jambo naye muhimu sana,sijawah kupata nafasi ya ukaribu wa kumpa anacho takiwa kujua,,pamoja na yote siku akijua hiki hakika atafaha sana,angekuwa mtu wa kusoma comments ningempa mambo haya..

Mkuu nakusalimu ila nenda instagram mtafute anajulikana kama Babakeegan mDM
 
UVCCM mshaona MAJALIWA hafai?
 
Yaani Watanzania wengine akili zenu sijui nani anawashikia. Unaandika maneno mengi lumpamba huyu mhalifu
 
Watanzania wanajifanya wajuaji na Wana mihemuko.
 
Hii habari wengi wenu mnaweza msiipende lakini huu ndiyo ukweli wenyewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…