johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huo mzaha umeongezeka kwa Kiasi ganiSerikali imepunguza kodi ya PAYE kutoka 9% na sasa itakuwa 8%
Punguzo hili litasababisha mshahara kuongezeka kadhalika kodi kwenye marupurupu imeondolewa.
Kazi Iendelee!
Hebu piga hesabu uone hicho kiongezeko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Serikali imepunguza kodi ya PAYE kutoka 9% na sasa itakuwa 8%
Punguzo hili litasababisha mshahara kuongezeka kadhalika kodi kwenye marupurupu imeondolewa.
Kazi Iendelee!
Marupu rupu Khan ni watumishi gani wenye marupu rupuSerikali imepunguza kodi ya PAYE kutoka 9% na sasa itakuwa 8%
Punguzo hili litasababisha mshahara kuongezeka kadhalika kodi kwenye marupurupu imeondolewa.
Kazi Iendelee!
Asilimia moja ya shilingi laki moja ni shilingi elfu moja!Hebu piga hesabu uone hicho kiongezeko[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe huna marupurupu nje ya mshahara?Marupu rupu Khan ni watumishi gani wenye marupu rupu
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Serikali imepunguza kodi ya PAYE kutoka 9% na sasa itakuwa 8%
Punguzo hili litasababisha mshahara kuongezeka kadhalika kodi kwenye marupurupu imeondolewa.
Kazi Iendelee!
CCM hawa ambao hawakujipanga wataweza vipi kufanya mambo kama haya?Marupurupu hayakua na kodi miaka mingi tu.
Marupurupu kama hela ya nyumba, chakula, nauli, safari nk hayakua na kodi.
Hiyo ya 8% ni ya watu wa kima cha chini cha laki 270,000.
Tunataka kodi ipungue kwa ambao mishahara wa digiti 7.
Kikubwa zaidi kodi ya ongezeko la thamani ipungue kutoka 18% hadi 15%.
Pili kodi ya kuagiza magari ipungue, watanzania tunaendesha mikweche ya miaka 20, 17 iliyopita. Tunataka kodi ipungue tusukume gari kali za miaka ya karibuni.
Kodi nyingine msubiri Dr Mwigullu Nchemba bungeni!Marupurupu hayakua na kodi miaka mingi tu.
Marupurupu kama hela ya nyumba, chakula, nauli, safari nk hayakua na kodi.
Hiyo ya 8% ni ya watu wa kima cha chini cha laki 270,000.
Tunataka kodi ipungue kwa ambao mishahara wa digiti 7.
Kikubwa zaidi kodi ya ongezeko la thamani ipungue kutoka 18% hadi 15%.
Pili kodi ya kuagiza magari ipungue, watanzania tunaendesha mikweche ya miaka 20, 17 iliyopita. Tunataka kodi ipungue tusukume gari kali za miaka ya karibuni.