CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,840
- 15,918
270,000 hukatwi kodi ya PAYEHivi jamani nisaidieni nyie vijana wenye macho makali.....1% ya ya makato ya 9% ya mshahara wa sisi wanyonge wa 270,000/= ni kiasi gani....???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
270,000 hukatwi kodi ya PAYEHivi jamani nisaidieni nyie vijana wenye macho makali.....1% ya ya makato ya 9% ya mshahara wa sisi wanyonge wa 270,000/= ni kiasi gani....???
Tufanye subra mwakani mambo mazuri bestyyyy. Tena package itakuwa ya uhakikaAiseeee[emoji848][emoji848][emoji848]
Hapo kwenye marupurupu ndo inamaanisha allowances?Serikali imepunguza kodi ya PAYE kutoka 9% na sasa itakuwa 8%
Punguzo hili litasababisha mshahara kuongezeka kadhalika kodi kwenye marupurupu imeondolewa.
Kazi Iendelee!
Uko sahihi ukiangalia table za TRA zinaonyesha ndio hao waliokuwa wakikatwa asilimia 9 ni wa kima cha chini zisizozidi 520,000Hiyo ya 8% ni ya watu wa kima cha chini cha laki 270,000.
MzahaAsilimia moja ya shilingi laki moja ni shilingi elfu moja!
Mzaha au siyo mzaha?
10,000[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huo mzaha umeongezeka kwa Kiasi gani
Muombe radhi mkuu tafadhali ,maana umemtusi kwa kiwango cha S.G.RWewe na shetani tofauti yenu ni kidogo sana
Kumbuka hii kitu inaitwa PAYE ( Pay As You Earn )Serikali imepunguza kodi ya PAYE kutoka 9% na sasa itakuwa 8%
Punguzo hili litasababisha mshahara kuongezeka kadhalika kodi kwenye marupurupu imeondolewa.
Kazi Iendelee!
Kwani hapo aliposema Mimi na nyinyi tutakatwa 8 badala ya 9 anamaanisha mshahara wa raisi ulikuwa unakatwa 9?Kumbuka hii kitu inaitwa PAYE ( Pay As You Earn )
Hilo punguzo la kodi kama hupati kima cha chini cha mshahara halikuhusu, utaendelea kukatwa 18% na kuendelea.
Ila nimpongeze Rais anaonekana no mkweki na nia ipo.
Maana nadhani kuna wengine deni la bodi limeisha leo baada ya RF ya 6% kuondolewa.
Wafanyakazi masikini kupunguziwa 1% kwenye PAYE.
Madaraja, na Ajira ( Kama itakuwa kweli )
Kwa kuanzia tu, siyo mbaya sana.
😂😂😂😂😂 Hyo mwakani anakuja na mbinu mpya ya kuwapooza. HV wanasiasa mnawajua vzuri au mnajisahaulisha tu.Kodi kwenye marupurupu itaangaliwa bado haijaondolewa
Ccm Hongera sana kwa kuongeza MishaharaKwani hapo aliposema Mimi na nyinyi tutakatwa 8 badala ya 9 anamaanisha mshahara wa raisi ulikuwa unakatwa 9?View attachment 1770009
Ndio maana ya msemo jiongeze akili kidogo. HV unategemea kwel anayelipwa million tano akatwe asilimia nane sawa na walaki nne?Mbona kasema kwa wote?
Inakatwa kuanzia mshahara wa kiasi gani....??270,000 hukatwi kodi ya PAYE
Mbona umepatwa na mshangao ndugu.....??Duh!.
Asante ndugu....imeongezeka kilo ya unga na fungu la dagaa.....sio mbaya.....Elfu mbili na mia saba
Mbili elfu na mia saba
2,700/=
Shilingi ya kitanzania.
Mama kaanza vizuri kwa kuonyesha kuwa anajali masurufu ya mfanyakazi. Punguzo hili la PAYE litawagusa wafanyakazi wote, yaani wa umma na hata wale wa sekta binafsi. Ingawaje punguzo hili la 1% bado ni kiasi kiduchu kuweza kumpa ahueni na unafuu zaidi mfanyakazi aliyenyimwa nyongeza yake kwa miaka mitano mfululizo.Serikali imepunguza kodi ya PAYE kutoka 9% na sasa itakuwa 8%
Punguzo hili litasababisha mshahara kuongezeka kadhalika kodi kwenye marupurupu imeondolewa.
Kazi Iendelee!
Unafanya kazi wapi?Marupurupu hayakua na kodi miaka mingi tu.
Marupurupu kama hela ya nyumba, chakula, nauli, safari nk hayakua na kodi.
Hiyo ya 8% ni ya watu wa kima cha chini cha laki 270,000.
Tunataka kodi ipungue kwa ambao mishahara wa digiti 7.
Kikubwa zaidi kodi ya ongezeko la thamani ipungue kutoka 18% hadi 15%.
Pili kodi ya kuagiza magari ipungue, watanzania tunaendesha mikweche ya miaka 20, 17 iliyopita. Tunataka kodi ipungue tusukume gari kali za miaka ya karibuni.
Kodi za gari Tanzania ni za ajabu Dunia. Nashukuru yule kamishna wa kodi za nje mlimtimua pale TRA, alikua anamshauri Magufuli ujinga. Mpumbavu sana. Alikua anajipangia kuongeza CIF ya magari ambayo alikua anajua anapoitoa mwenyewe. Nashukuru Magufuli alimshtukia baadaed akamuondoa pale.
Haiwezekani watanzania tunaendesha magari ambayo huko kwa wenzetu yamepigwa marufuku. Gari ya miaka 20?
Punguza kodi za gari punguza ajali, punguza uchafuzi wa mazingira, okoa maisha.
Hivi nani Ana uhakika na rate ya mapato inayotumika sass hivi, mi kwangu nikifanya calculation napata 18%Mama kaanza vizuri kwa kuonyesha kuwa anajali masurufu ya mfanyakazi. Punguzo hili la PAYE litawagusa wafanyakazi wote, yaani wa umma na hata wale wa sekta binafsi. Ingawaje punguzo hili la 1% bado ni kiasi kiduchu kuweza kumpa ahueni na unafuu zaidi mfanyakazi aliyenyimwa nyongeza yake kwa miaka mitano mfululizo.
Ahadi ni deni, Mama kaahidi kuongeza, tofauti na mwendazake ambaye alikuwa wala hana nia wala ndoto ya kuongeza. Tuzidi kuomba ya kuwa Mama asipite katika njia za Rai's aliyemtangulia.