PAYE kwa Wafanyakazi imepunguzwa kutoka 9% hadi 8%. Kodi kwenye marupurupu imeondolewa; hatua hii itaongeza mshahara!

PAYE kwa Wafanyakazi imepunguzwa kutoka 9% hadi 8%. Kodi kwenye marupurupu imeondolewa; hatua hii itaongeza mshahara!

Serikali imepunguza kodi ya PAYE kutoka 9% na sasa itakuwa 8%

Punguzo hili litasababisha mshahara kuongezeka kadhalika kodi kwenye marupurupu imeondolewa.

Kazi Iendelee!
Hapo kwenye marupurupu ndo inamaanisha allowances?

Na hii ni kwa watumishi wa serikali tu au kwa wote? Maana PAYE inakula kwenye kila kitu ya mfanyakazi wa taasisi binafsi
 
Serikali imepunguza kodi ya PAYE kutoka 9% na sasa itakuwa 8%

Punguzo hili litasababisha mshahara kuongezeka kadhalika kodi kwenye marupurupu imeondolewa.

Kazi Iendelee!
Kumbuka hii kitu inaitwa PAYE ( Pay As You Earn )

Hilo punguzo la kodi kama hupati kima cha chini cha mshahara halikuhusu, utaendelea kukatwa 18% na kuendelea.

Ila nimpongeze Rais anaonekana no mkweki na nia ipo.

Maana nadhani kuna wengine deni la bodi limeisha leo baada ya RF ya 6% kuondolewa.

Wafanyakazi masikini kupunguziwa 1% kwenye PAYE.

Madaraja, na Ajira ( Kama itakuwa kweli )

Kwa kuanzia tu, siyo mbaya sana.
 
Kumbuka hii kitu inaitwa PAYE ( Pay As You Earn )

Hilo punguzo la kodi kama hupati kima cha chini cha mshahara halikuhusu, utaendelea kukatwa 18% na kuendelea.

Ila nimpongeze Rais anaonekana no mkweki na nia ipo.

Maana nadhani kuna wengine deni la bodi limeisha leo baada ya RF ya 6% kuondolewa.

Wafanyakazi masikini kupunguziwa 1% kwenye PAYE.

Madaraja, na Ajira ( Kama itakuwa kweli )

Kwa kuanzia tu, siyo mbaya sana.
Kwani hapo aliposema Mimi na nyinyi tutakatwa 8 badala ya 9 anamaanisha mshahara wa raisi ulikuwa unakatwa 9?
Screenshot_20210501-140650.jpg
 
Bwashee tupeni ajira basi na sisi tusionazo tu enjoy hizo punguzo na nyongeza.
 
Assad alishasema 60% ya watumishi wa umma ni incompetent!

Utakuta MATAGA halijui hesabu hiyo 1% limeona ni punguzo kumbe ni kituko...

MATAGA nawapeni homework tafuteni 1% ya 100k ndio mtajua...
 
Serikali imepunguza kodi ya PAYE kutoka 9% na sasa itakuwa 8%

Punguzo hili litasababisha mshahara kuongezeka kadhalika kodi kwenye marupurupu imeondolewa.

Kazi Iendelee!
Mama kaanza vizuri kwa kuonyesha kuwa anajali masurufu ya mfanyakazi. Punguzo hili la PAYE litawagusa wafanyakazi wote, yaani wa umma na hata wale wa sekta binafsi. Ingawaje punguzo hili la 1% bado ni kiasi kiduchu kuweza kumpa ahueni na unafuu zaidi mfanyakazi aliyenyimwa nyongeza yake kwa miaka mitano mfululizo.

Ahadi ni deni, Mama kaahidi kuongeza, tofauti na mwendazake ambaye alikuwa wala hana nia wala ndoto ya kuongeza. Tuzidi kuomba ya kuwa Mama asipite katika njia za Rai's aliyemtangulia.
 
Marupurupu hayakua na kodi miaka mingi tu.

Marupurupu kama hela ya nyumba, chakula, nauli, safari nk hayakua na kodi.

Hiyo ya 8% ni ya watu wa kima cha chini cha laki 270,000.

Tunataka kodi ipungue kwa ambao mishahara wa digiti 7.

Kikubwa zaidi kodi ya ongezeko la thamani ipungue kutoka 18% hadi 15%.

Pili kodi ya kuagiza magari ipungue, watanzania tunaendesha mikweche ya miaka 20, 17 iliyopita. Tunataka kodi ipungue tusukume gari kali za miaka ya karibuni.

Kodi za gari Tanzania ni za ajabu Dunia. Nashukuru yule kamishna wa kodi za nje mlimtimua pale TRA, alikua anamshauri Magufuli ujinga. Mpumbavu sana. Alikua anajipangia kuongeza CIF ya magari ambayo alikua anajua anapoitoa mwenyewe. Nashukuru Magufuli alimshtukia baadaed akamuondoa pale.

Haiwezekani watanzania tunaendesha magari ambayo huko kwa wenzetu yamepigwa marufuku. Gari ya miaka 20?

Punguza kodi za gari punguza ajali, punguza uchafuzi wa mazingira, okoa maisha.
Unafanya kazi wapi?
Mbona sisi tunakatwa ,isipokuwa tu hela pango,maji na mawasiliano.
 
Mama kaanza vizuri kwa kuonyesha kuwa anajali masurufu ya mfanyakazi. Punguzo hili la PAYE litawagusa wafanyakazi wote, yaani wa umma na hata wale wa sekta binafsi. Ingawaje punguzo hili la 1% bado ni kiasi kiduchu kuweza kumpa ahueni na unafuu zaidi mfanyakazi aliyenyimwa nyongeza yake kwa miaka mitano mfululizo.

Ahadi ni deni, Mama kaahidi kuongeza, tofauti na mwendazake ambaye alikuwa wala hana nia wala ndoto ya kuongeza. Tuzidi kuomba ya kuwa Mama asipite katika njia za Rai's aliyemtangulia.
Hivi nani Ana uhakika na rate ya mapato inayotumika sass hivi, mi kwangu nikifanya calculation napata 18%
 
Back
Top Bottom