PAYE kwa Wafanyakazi imepunguzwa kutoka 9% hadi 8%. Kodi kwenye marupurupu imeondolewa; hatua hii itaongeza mshahara!

Serikali imepunguza kodi ya PAYE kutoka 9% na sasa itakuwa 8%

Punguzo hili litasababisha mshahara kuongezeka kadhalika kodi kwenye marupurupu imeondolewa.

Kazi Iendelee!
Je. Wale wanaotozwa zaidi ya 9% ya PAYE wao wamepunguziwa kiasi gani!?
 
watanzania wengi weupe sana kwenye kuanalyse mambo,sasa retention fee inaogeza vipi mshahara?
Nadhani ni kwa kuwa ameongea kwa mjumuisho, lakini kama retention fee itaondolewa kwenye jumla ya deni, kiasi cha deni kwa wengine kitaisha kabisa. Kwa kuondoa makato ya deni husika kwenye mshahara wa mhusika basi mshahara wake wa kwenda nao nyumbani utaongezeka.
 
Upo sahii Sasa , marupurupu Sio ya wafanyakazi ngazi za chini

Nadhani pia tunahitaji kufanya tathmini, marupurupu ni yapi? Kama hii itahusisha malipo masaa ya ziada basi itasaidia pia. Kwa wale wanaojua, ukifanya masaa ya ziada makato yake ni mzigo kwa wahusika.
 
Nadhani pia tunahitaji kufanya tathmini, marupurupu ni yapi? Kama hii itahusisha malipo masaa ya ziada basi itasaidia pia. Kwa wale wanaojua, ukifanya masaa ya ziada makato yake ni mzigo kwa wahusika.
Vipi sector ambazo mtu kufanya masaa ya ziada ni ngum wanakaa nafasi ipi, lazima kuangalia pande zote, Hapa labda lingikuepo fungu moja likaitwa KWA vyovyote lakini wakapata watumishi wote au Basi marupurupu yaondolewe maana watumishi wote wanategemeana kuanzia mfagiaji wa ofisi mkuu
 
UPUUZI MTUPU! Watu hawajaongezewa mishahara kwa miaka 6 halafu unaongeza elfu tu hahahahahaha elfu kwa wastani wa miaka sita ni upuuzi MTUPU!
Ni upumbavu mkubwa...

Lakini subiri...

Dawa yaake ishaiva.. Soonn..
 
Reactions: BAK

Hii ndo hulka ya mwanadamu. Ukipata hiki, tunauliza kule. Hapa mkulima naye atauliza wapi mmenijumuisha? Maana twajizungumzia wafanyakazi tuu? Kuna wafanyabiashara?

Tukubaliana na ishara hii ya leo, muungwana akikupa pole kwa ulichopoteza ipokee, usiseme hata hakutoa mchango? Hujui anapitia nini.
 
Asibadilike tu jamani SASHA wetu mweeh[emoji22][emoji22]
 
Kuhusu kuongezewa mishahara watumishi subirini Tena[emoji38]
Tuendelee kujifukiza[emoji23][emoji23]
Maadam Mshauri wa Jiwe kwenye Fedha alikuwa Mh : Mpango . Basi tusishangae sana kinachotokea Leo hii
 
Mbona hukukumbuka kumuambia jiwe hivyo?
 
Move on
 
Itapunguza deni la bodi au kumaliza kwa wale waliokuwa wanadaiwa kidogo.
inapunguza deni haiongezi mshahara kwa wakati had umalize deni,vip kwa mtu asiyekua na deni bodi yan mtu wa daraja C nesi,sekretar etc stop ya retention inamsaidia nini kwenye mshahara wake?
 
hii ni hadi umalize deni,na deni ni la minimum 5yrs,sisi tunaongelea mshahara kupanda kila mwaka na increment pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…