Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasomeka vyema mkuu labda mtu ajitoe ufahamu tuSijali wala nini mkuu, kuna traffic alinisababishia kuwekwa mahabusu kwa makusudi ili anidhalilishe, najua yeye amesahahu maana ni miaka 3 sasa imepita lakini nakuahidi lazima nimuue kwa kumgonga na gari. Ukisikia askari kagongwa na gari kafa ujue mimi.
Terrible kubwa ni Polisi wa Tanzania kukitumikia chama cha CCM badala ya wananchi[emoji116]View attachment 1909809
Kwanini thsichange hela sanamu ya Hamza iwekwe juu ya mlima Kilimanjaro?
Mnakamata Mbowe wkt Gaidi wa Jana Ni mwana CCM mwenzenu.Gaidi wa kwenye keyboard, nyumbu mkubwa wewe
Kwenye mikutano ya wapinzani tu ndio utawaona wakijitutumua 😁Yaani mtu una silaha, umejeruhiwa unakimbilia ufukweni, huo muda anamvua askari mwingine silaha we unakimbia, anakufuata ulipokimbilia anakufyatulia risasi, anachukua tena silaha yako...
Hii kama sio chai... basi kama ni kweli... ni uzembe wa huyo askari aliyekimbia.... wadau wanasema kaacha dona kizembe sana....
Roho ikutetemeke tu hujaingia bado kwenye kumi na nane zao, polisi ni dhulumati sana sura siyo roho kumbuka hilo!Inauma sana nikiona gaidi roho hunitetemeka
Sure the guy looks innocent aisee sura inaonesha kabisaWale mliokuwa mnashangilia vifo vya Askari waliouawa jana, mmoja huyo hapo angalieni picha yake wakati mnashangilia.
Kwa hiyo wapinzani Ni dhaifu kuliko Hamza....Kwenye mikutano ya wapinzani tu ndio utawaona wakijitutumua [emoji16]
Wale mliokuwa mnashangilia vifo vya Askari waliouawa jana, mmoja huyo hapo angalieni picha yake wakati mnashangilia.
Hawana silahaKwa hiyo wapinzani Ni dhaifu kuliko Hamza....
Hawa watu wanakera mkuuUnasomeka vyema mkuu labda mtu ajitoe ufahamu tu