STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
Mtoeni Mbowe au mtatesekaWale mliokuwa mnashangilia vifo vya Askari waliouawa jana, mmoja huyo hapo angalieni picha yake wakati mnashangilia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoeni Mbowe au mtatesekaWale mliokuwa mnashangilia vifo vya Askari waliouawa jana, mmoja huyo hapo angalieni picha yake wakati mnashangilia.
Aise bado dogo sanaWale mliokuwa mnashangilia vifo vya Askari waliouawa jana, mmoja huyo hapo angalieni picha yake wakati mnashangilia.
Inauma sana nikiona gaidi roho hunitetemeka
Hawa polisi wanajiona kama wamefika, kuna mmoja alinifanyia mambo fulani ya hovyo sana halafu siku moja akaniomba zawadi za nilikotoka, nikampa soda za takeaway katoni moja, akaanza kuzinywa palepale tena kwa ulafi. Imagine ningeamua kumwekea sumu siku nyingine si angekufaMkuu jana wametoka kumpiga dereva wangu wa daladala hapo banana bila sababu, eti wana haraka kwanini anasabisha foleni, walivyojibiwa kuna ajali, kuna gar zimepigana pasi, ndo wanashangaa wakati wameshamuumiza mkono hadi umevimba balalaa na kidonda juu. Wanatumia nguvu nyingi, akili kidogo
🙁🙁🙁Polisi ni polisi tu, hata akiwa ndugu yako sio mtu mzuri huyo, wamejaa dhulma na uonevu.
Apumzike kwa amani shujaa wetu Hamza, tuliobaki tutaendelea kuwapukutisha polisi mdogomdogo.
Shida ya polisi wetu wameshindwa kufanya majukumu yao wako busy na CHADEMA.Gaidi wa kwenye keyboard, nyumbu mkubwa wewe
Haujawahi kupitia kwenye mateso na kadhia za polisi. Ukishapitia kwenye kadhia ya hawa watu, kama unaroho nyepesi lazima uwe kama Hamza tu.Ivi kuna justification gani ya kusema huyo jamaa alidhulumiwa na polisi ? Na kama alidhulumiwa ndio ajichukulia sheria mkononi ? Personally naamini yule jamaa ni jangiri tu wala sio muuza madini. Mnataka kuwaonea polisi bure
MkuuHawa polisi wanajiona kama wamefika, kuna mmoja alinifanyia mambo fulani ya hovyo sana halafu siku moja akaniomba zawadi za nilikotoka, nikampa soda za takeaway katoni moja, akaanza kuzinywa palepale tena kwa ulafi. Imagine ningeamua kumwekea sumu siku nyingine si angekufa
Muiraq anakuambiaMkuu
Punguza chuki
Ova
Askari wa bongo waoga sana, basi tu wanajua kuonea raia..Yaani mtu una silaha, umejeruhiwa unakimbilia ufukweni, huo muda anamvua askari mwingine silaha we unakimbia, anakufuata ulipokimbilia anakufyatulia risasi, anachukua tena silaha yako...
Hii habari kama haijapikwa... basi kama ni kweli... ni uzembe wa huyo askari aliyekimbia.... wadau wanasema kaacha dona kizembe sana....
Hizo nguvu za kukimbia ni bora angejihami, mbinu bora ya kujilinda ni kushambulia... any way RIP wazee, acheni tamaa...
Wamezoea kuwadaka kina Zitto wasio na silaha, sasa wamekutana na kidume kikawapa tuition kidogoYaani mtu una silaha, umejeruhiwa unakimbilia ufukweni, huo muda anamvua askari mwingine silaha we unakimbia, anakufuata ulipokimbilia anakufyatulia risasi, anachukua tena silaha yako...
Hii habari kama haijapikwa... basi kama ni kweli... ni uzembe wa huyo askari aliyekimbia.... wadau wanasema kaacha dona kizembe sana....
Hizo nguvu za kukimbia ni bora angejihami, mbinu bora ya kujilinda ni kushambulia... any way RIP wazee, acheni tamaa...
Aisee!!!Mimi nasikitika na kuumia sana kuwa Hamza ameua hawa polisi-CCM wachache sana,alipaswa kuua wengi zaidi.View attachment 1909802
Aah! Mfia nchi mmoja.Kajificha kichwa tu, huku mata..ko na mkvndv wake viko nje. We mwache baada ya siku 3 hutomuona tena hapa jukwaani na haitohitajika mtu yoyote kuuliza kuhusu kupotea kwake.
🤣🤣🤣👆👆👆 Mnatengeza scenario ya kumfanya Hamza innocent, pumbavu kabisaAnaandika Christopher Cyrilo.
___
PC Emanuel Keralyo Waitara. Amezaliwa 24/12/1991, Kabila Mkurya. Ni askari wa kikosi cha FFU aliyeuawa kwa kushambuliwa na Bw.Hamza kwa kushtukiza.
Kabla ya tukio hilo, Hamza alionekana maeneo ya ufukweni akiwa na mawazo sana. Hata watu waliomsalimia hakuwajibu, ni kama vile alikuwa kwenye dunia yake tofauti. Labda alishaona dunia si mahali salama tena kwake.
Punde, akatoka ufukweni na kurudi uelekeo wa barabara kuu ya Ali Hassan Mwinyi. Akafika kwenye kibanda cha polisi kilichokuwa pembeni ya barabara, akachomoa bastola yake ndogo kutoka kiunoni, akawapiga risasi askari wawili waliokuwemo. Askari mmoja alikufa papo hapo, mwingine alikimbia kuelekea baharini.
Hamza alimvua silaha askari aliyekufa na kuivaa shingoni. Kisha akamfuata askari aliyekimbilia baharini ambaye alikuwa ameishiwa nguvu kutokana na jeraha la risasi. Akampiga risasi nyingine kummalizia kisha akachukua bunduki yake. Hapo akawa na bunduki mbili alizopora baada ya kuwaua Polisi.
Hamza akarudi barabarani na kuanza kuwatafuta askari wengine ili awaue. Alifanikiwa kumuona askari wa barabarani (trafic), akiongoza magari eneo la makutano ya barabara karibu na ubalozi wa Ufaransa. Akamfyatulia risasi na kumuua. Akayapita magari binafsi na daladala za abiria akitafuta askari wengine.
Akamuona askari wa kampuni binafsi ya ulinzi ya SGA, wanaolinda ofisi za Ubalozi wa Ufaransa. Yule askari akataka kukoki silaha kupambana na Hanza lakini akachelewa. Hamza akamuwahi, akampiga risasi na kumuua. Kisha akasogea eneo la ubalozini kupambana na askari wengine waliokuwepo. Lakini polisi wengine wakawa wamefika na katikati ya mapambano wakamuua.
Moja kati ya askari waliouawa na Hamza ni PC Emanuel Keralyo (pichani). Anatajwa kuwa mtu mwema asiye na shida na mtu. Anazungumzwa vizuri na askari wenzie hadi na jamaa waliosoma na kukua nae. Kijana mtulivu, mwenye kumheshimu kila mtu.
Zipo taarifa kuwa Hamza alidhulumiwa madini na askari. Lakini inadaiwa askari waliouawa sio wale waliomdhulumu. Kama ni hivyo, basi dhuluma ya askari wachache wasio waadilifu imegharimu maisha ya askari wasio na hatia. Mungu awapumzishe kwa amani.!View attachment 1909791
Una amini mimi mrangiMuiraq anakuambia
Ukikutana na nyoka na Mrangi porini. Piga Mrangi