Kama hujawahi kushangilia "mateso" ya wengine wanyoshee kidole!Wale mliokuwa mnashangilia vifo vya Askari waliouawa jana, mmoja huyo hapo angalieni picha yake wakati mnashangilia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hujawahi kushangilia "mateso" ya wengine wanyoshee kidole!Wale mliokuwa mnashangilia vifo vya Askari waliouawa jana, mmoja huyo hapo angalieni picha yake wakati mnashangilia.
Hamza kada wa ccm jana kawapa ccm wenzake msongo wa mawazo, hapo walipo ccm wamesahau jinsia zao[emoji16][emoji16]Polisi ni polisi tu, hata akiwa ndugu yako sio mtu mzuri huyo, wamejaa dhulma na uonevu.
Apumzike kwa amani shujaa wetu Hamza, tuliobaki tutaendelea kuwapukutisha polisi mdogomdogo.
Wale mliokuwa mnashangilia vifo vya Askari waliouawa jana, mmoja huyo hapo angalieni picha yake wakati mnashangilia.
Huko hakufai kabisaKimsingi hakuna sababu yoyote inayohalalisha mauaji/majeruhi na taharuki hasa kwa wasiohusika.
Tuache uchunguzi ufanyike. Tuamini haki ya mtu hapotei, japo mhusika amepoteza maisha.
Kwa mfuatiliaji mzuri wa Media, matukio ya aina hii yapo kwa wingi katika nchi zilizoendelea. Mfano, Brazil sio eneo la vita lakini inaongoza kwa mauaji ya vurugu za silaha (gun violance deaths) ikifuatiwa na USA..."Through the first five months of 2021, gunfire killed more than 8,100 people in the United States, about 54 lives lost per day, according to a Washington Post analysis of data from the Gun Violence Archive, a nonprofit research organization. That’s 14 more deaths per day than the average toll during the same period of the previous six years".
Wito kwa mamlaka husika, ipo haja ya kufanyika uchunguzi wa kina kwa wanaoomba kumiliki
Kuna mmoja alikuwa anawaponda polisi kama wewe, leo nimemkuta na mabarua ya kuomba kazi ya polisi ! Machadema bana!!Polisi ni polisi tu, hata akiwa ndugu yako sio mtu mzuri huyo, wamejaa dhulma na uonevu.
Apumzike kwa amani shujaa wetu Hamza, tuliobaki tutaendelea kuwapukutisha polisi mdogomdogo.
So smartAnaandika Christopher Cyrilo.
___
PC Emanuel Keralyo Waitara. Amezaliwa 24/12/1991, Kabila Mkurya. Ni askari wa kikosi cha FFU aliyeuawa kwa kushambuliwa na Bw.Hamza kwa kushtukiza.
Kabla ya tukio hilo, Hamza alionekana maeneo ya ufukweni akiwa na mawazo sana. Hata watu waliomsalimia hakuwajibu, ni kama vile alikuwa kwenye dunia yake tofauti. Labda alishaona dunia si mahali salama tena kwake.
Punde, akatoka ufukweni na kurudi uelekeo wa barabara kuu ya Ali Hassan Mwinyi. Akafika kwenye kibanda cha polisi kilichokuwa pembeni ya barabara, akachomoa bastola yake ndogo kutoka kiunoni, akawapiga risasi askari wawili waliokuwemo. Askari mmoja alikufa papo hapo, mwingine alikimbia kuelekea baharini.
Hamza alimvua silaha askari aliyekufa na kuivaa shingoni. Kisha akamfuata askari aliyekimbilia baharini ambaye alikuwa ameishiwa nguvu kutokana na jeraha la risasi. Akampiga risasi nyingine kummalizia kisha akachukua bunduki yake. Hapo akawa na bunduki mbili alizopora baada ya kuwaua Polisi.
Hamza akarudi barabarani na kuanza kuwatafuta askari wengine ili awaue. Alifanikiwa kumuona askari wa barabarani (trafic), akiongoza magari eneo la makutano ya barabara karibu na ubalozi wa Ufaransa. Akamfyatulia risasi na kumuua. Akayapita magari binafsi na daladala za abiria akitafuta askari wengine.
Akamuona askari wa kampuni binafsi ya ulinzi ya SGA, wanaolinda ofisi za Ubalozi wa Ufaransa. Yule askari akataka kukoki silaha kupambana na Hanza lakini akachelewa. Hamza akamuwahi, akampiga risasi na kumuua. Kisha akasogea eneo la ubalozini kupambana na askari wengine waliokuwepo. Lakini polisi wengine wakawa wamefika na katikati ya mapambano wakamuua.
Moja kati ya askari waliouawa na Hamza ni PC Emanuel Keralyo (pichani). Anatajwa kuwa mtu mwema asiye na shida na mtu. Anazungumzwa vizuri na askari wenzie hadi na jamaa waliosoma na kukua nae. Kijana mtulivu, mwenye kumheshimu kila mtu.
Zipo taarifa kuwa Hamza alidhulumiwa madini na askari. Lakini inadaiwa askari waliouawa sio wale waliomdhulumu. Kama ni hivyo, basi dhuluma ya askari wachache wasio waadilifu imegharimu maisha ya askari wasio na hatia. Mungu awapumzishe kwa amani.!View attachment 1909791
Na ndio tabia za police hizo, ila ujumbe wameupataHamza aliumizwa na huu ndo ukweli
Yule mama ni muongo kinoma, stori ameipika vilivyo ase.So wmeandika alichokisimulia yule maza aliyeenda baharini kujisaidia
Huyo anatumia haki yake ya kikatiba kuomba kujiunga na polisi wala sio kosa, tatizo lipo kwenye polisi wenyewe.Kuna mmoja alikuwa anawaponda polisi kama wewe, leo nimemkuta na mabarua ya kuomba kazi ya polisi ! Machadema bana!!
Kwahiyo ulitaka polisi wamzungumzie vibaya polisi mwenzao?
Hawa polisi wetu wengi wameshindwa kutumia kidogo chao kuzalisha kikubwa kwa kufanya biashara, ufugaji au kilimo badala yake wanaamua kuishi kwa kudhulumu matajiri na maskini
Ni basi tu, kuna muda inabidi tuwaheshimu... lakini hawajiheshimu...Askari wa bongo waoga sana, basi tu wanajua kuonea raia..
Pili niliona hata ulengaji wao wa shabaha ni wa mashaka sana.. jamaa alitoka wazi kweupe kabisa bila kizuizi ila ilichukua zaidi ya dakika mbili kwa risasi za askari kumpata, na milio iliyosikika ni zaidi ya risasi 50 zilipotea.