PC Emanuel Keralyo Waitara, mmoja wa askari aliyeuawa na Hamza

PC Emanuel Keralyo Waitara, mmoja wa askari aliyeuawa na Hamza

mwingine huyo mburu

image0 (1).jpeg


image0.jpeg
 
Kuna ulazima wa kubadilisha mitaala ya jeshi la polisi ili liendane na wakati wa sasa.

Hili la sasa, halina tofauti kubwa na lile la Mkoloni tulilo lisoma kwenye vitabu vya Historia. Limejaa vitendo vingi vya uonevu, dhuluma, kubambikia kesi raia wema, kupenda sana rushwa, kutumiwa na dola (ccm) kunyima watu haki zao za msingi, nk.
very true
 
Naomba wahusika wawaangalie watu kama wewe. Nadhani wewe ni mmojawapo wa magaidi yanayojificha ndani ya jAMIIfORUMS YAKICHAFUA JINA LA JAMIforums. Naomba JamiiForums itoe jina lakop nje ili ushughulikiwe kwa kutmia vibaya mtandao.
Na mimi naomba wahusika wawaangalie hawa Polisi-CCM.Nadhani Polisi-CCM ni moja ya taasisi haramu zinazofichwa na serikali ili kulichafua jina la Tanzania.Naomba wananchi wawaibue hawa Polisi-CCM na kuwashughulikia kwa kutumia taasisi hii vibaya.
 
Haujawahi kupitia kwenye mateso na kadhia za polisi. Ukishapitia kwenye kadhia ya hawa watu, kama unaroho nyepesi lazima uwe kama Hamza tu.

Ujiulize, kwanini hakuua raia wakati walikuwa wengi?

Kesho sikiliza kipindi cha Leo tena Clouds.

Mtu unafungwa miaka 10 halafu unabainika hauna hatia. Huo muda nani anaufidia?

Siyo huyo tu yupo mwingine naye alisingiziwa ameua, amekaa jera zaidi ya miaka 10 akaachiwa huru. Huo muda nani anafidia?

Uchunguzi gani unafanyika zaidi ya miaka 10?
We jamaa yaan maelezo yako yote sizani kama ni sahihi
Ipo ivi yule jamaa lzm atakuwa ni terrorist, miaka ya nyuma kituo cha polis staki shari kilivamiwa na majamaa yalikuwa yana piga polisi tu na kukwapua silaha yali target ma polisi tu je pia walizulumiwa madini ?

Sababu yangu yengine ya kuamin yule jamaa ni terrorist tazama jinsi alivyo kuwa anajua kutumia ile silaha, mzee AK47 ni silaha ya kivita ile sio pisto ..yule jamaa lzm ali pitia mafunzo ya utayari wa mapigano ya silaha, ata ww hapo uki setiwa ile silaha ukapewa utumie sizan kama utaweza kui manage vizuri bila changamoto yoyote
Pia tazama yule jamaa alivyo kuwa hodar ktk kujilinda alikuwa ana jilinda vizuri, alikuwa hakurupuki kurupuki ..tazama alivyo wapa mtihan askar wetu wazalendo ...chief yule hakuwa muuza madini itoshe kuamin yule ni gaidi hakuna haja ya kusikikiza leo tena wala kesho tena ..lile jambo ni sensitive mnoo maisha ya watu 4 wale ni bora sana
 
Polisi wetu hawana weledi. Humbleness ni key ingredient ya mwana usalama sababu wale ni law enforcement agents!

Wale wanatakiwa watufundishe kuishi ndani ya sheria ila kinyume chake wao wanatumia sheria kama chombo cha kutukomesha. Yani anajua kwamba kwa kufanya hivi utakuwa umevunja sheria ila hawaenezi awareness kwenye jamii wala hawana special programes za kuhimiza watu kuzitambua sheria na haki zao.

Anakuvizia ili uingie kwenye mtego wa kuvunja hio sheria ili kusudia atengeneze mazingira ya rushwa! Ukijaribu kumuelewesha au kujieleza hataki na anakuwa violent ghafla atakutishia ama atakushambulia na kukubambikia kesi ya uongo ili tu uswekwe ndani au upigwe mafaini ya kukomolewa!

Kimsingi mapolisi wakiafrika wako kukomoa watu na kujipatia hela (rushwa) kwa dhuluma na sio kwa kuelekeza watu wanaishi vipi bila kuvunja sheria na kutoa maonyo! Wao ni akukamate saingine alazimishe kuwa umevunja sheria flani na sio akuonye basi hapo on the spot akuzonge umpe hongo akuachie au akupige penalty!

Unaanzaje kumpenda mtu wa namna hii?

Na ukibishana nao sana , atakuitia wenzie wakushambulie, Hongera Hamza
 
We jamaa yaan maelezo yako yote sizani kama ni sahihi
Ipo ivi yule jamaa lzm atakuwa ni terrorist, miaka ya nyuma kituo cha polis staki shari kilivamiwa na majamaa yalikuwa yana piga polisi tu na kukwapua silaha yali target ma polisi tu je pia walizulumiwa madini ?

Sababu yangu yengine ya kuamin yule jamaa ni terrorist tazama jinsi alivyo kuwa anajua kutumia ile silaha, mzee AK47 ni silaha ya kivita ile sio pisto ..yule jamaa lzm ali pitia mafunzo ya utayari wa mapigano ya silaha, ata ww hapo uki setiwa ile silaha ukapewa utumie sizan kama utaweza kui manage vizuri bila changamoto yoyote
Pia tazama yule jamaa alivyo kuwa hodar ktk kujilinda alikuwa ana jilinda vizuri, alikuwa hakurupuki kurupuki ..tazama alivyo wapa mtihan askar wetu wazalendo ...chief yule hakuwa muuza madini itoshe kuamin yule ni gaidi hakuna haja ya kusikikiza leo tena wala kesho tena ..lile jambo ni sensitive mnoo maisha ya watu 4 wale ni bora
Sio kosa kujua kutumia Bastola kwa watu wa madini ni kitu cha kawaida kama wanavyosema alikua ni mfanyabiashara wa dhahabu hawezi kukosa silaha ndogo , pia hao kila siku wanacheza na mabomu mgodini kulipua madini

harufurahii Askari kuuliwa bila hatia tunasikitika dhulma aliyotendewa Hamza
 
Anaandika Christopher Cyrilo.
___
PC Emanuel Keralyo Waitara. Amezaliwa 24/12/1991, Kabila Mkurya. Ni askari wa kikosi cha FFU aliyeuawa kwa kushambuliwa na Bw.Hamza kwa kushtukiza.

Kabla ya tukio hilo, Hamza alionekana maeneo ya ufukweni akiwa na mawazo sana. Hata watu waliomsalimia hakuwajibu, ni kama vile alikuwa kwenye dunia yake tofauti. Labda alishaona dunia si mahali salama tena kwake.

Punde, akatoka ufukweni na kurudi uelekeo wa barabara kuu ya Ali Hassan Mwinyi. Akafika kwenye kibanda cha polisi kilichokuwa pembeni ya barabara, akachomoa bastola yake ndogo kutoka kiunoni, akawapiga risasi askari wawili waliokuwemo. Askari mmoja alikufa papo hapo, mwingine alikimbia kuelekea baharini.

Hamza alimvua silaha askari aliyekufa na kuivaa shingoni. Kisha akamfuata askari aliyekimbilia baharini ambaye alikuwa ameishiwa nguvu kutokana na jeraha la risasi. Akampiga risasi nyingine kummalizia kisha akachukua bunduki yake. Hapo akawa na bunduki mbili alizopora baada ya kuwaua Polisi.

Hamza akarudi barabarani na kuanza kuwatafuta askari wengine ili awaue. Alifanikiwa kumuona askari wa barabarani (trafic), akiongoza magari eneo la makutano ya barabara karibu na ubalozi wa Ufaransa. Akamfyatulia risasi na kumuua. Akayapita magari binafsi na daladala za abiria akitafuta askari wengine.

Akamuona askari wa kampuni binafsi ya ulinzi ya SGA, wanaolinda ofisi za Ubalozi wa Ufaransa. Yule askari akataka kukoki silaha kupambana na Hamza lakini akachelewa. Hamza akamuwahi, akampiga risasi na kumuua. Kisha akasogea eneo la ubalozini kupambana na askari wengine waliokuwepo. Lakini polisi wengine wakawa wamefika na katikati ya mapambano wakamuua.

Moja kati ya askari waliouawa na Hamza ni PC Emanuel Keralyo (pichani). Anatajwa kuwa mtu mwema asiye na shida na mtu. Anazungumzwa vizuri na askari wenzie hadi na jamaa waliosoma na kukua nae. Kijana mtulivu, mwenye kumheshimu kila mtu.

Zipo taarifa kuwa Hamza alidhulumiwa madini na askari. Lakini inadaiwa askari waliouawa sio wale waliomdhulumu. Kama ni hivyo, basi dhuluma ya askari wachache wasio waadilifu imegharimu maisha ya askari wasio na hatia. Mungu awapumzishe kwa amani.!View attachment 1909791
Zipo taarifa kuwa Hamza alidhulumiwa madini na askari. Lakini inadaiwa askari waliouawa sio wale waliomdhulumu. Kama ni hivyo, basi dhuluma ya askari wachache wasio waadilifu imegharimu maisha ya askari wasio na hatia. Mungu awapumzishe kwa amani.![emoji848][emoji2827]
 
Kimsingi hakuna sababu yoyote inayohalalisha mauaji/majeruhi na taharuki hasa kwa wasiohusika.

Tuache uchunguzi ufanyike. Tuamini haki ya mtu hapotei, japo mhusika amepoteza maisha.

Kwa mfuatiliaji mzuri wa Media, matukio ya aina hii yapo kwa wingi katika nchi zilizoendelea. Mfano, Brazil sio eneo la vita lakini inaongoza kwa mauaji ya vurugu za silaha (gun violance deaths) ikifuatiwa na USA..."Through the first five months of 2021, gunfire killed more than 8,100 people in the United States, about 54 lives lost per day, according to a Washington Post analysis of data from the Gun Violence Archive, a nonprofit research organization. That’s 14 more deaths per day than the average toll during the same period of the previous six years".

Wito kwa mamlaka husika, ipo haja ya kufanyika uchunguzi wa kina kwa wanaoomba kumiliki silaha.
Huko ni kwa sababu silaha/bunduki ununuliwa kiurahisi hivyo raia wengi sana wanazimiliki... kwa uonevu wa maaskari wetu huku kama raia tungekuwa na hizo silaha hali ingekuwa mbaya zaidi ya hiyo marekani
 
Askari wengi ni watu poa Sana,
Sema tu Kuna wachache flan vichwa panzi wakishakula mjani wanawewuka!

Bado kijana mdogo Sana R.I.P
 
We jamaa yaan maelezo yako yote sizani kama ni sahihi
Ipo ivi yule jamaa lzm atakuwa ni terrorist, miaka ya nyuma kituo cha polis staki shari kilivamiwa na majamaa yalikuwa yana piga polisi tu na kukwapua silaha yali target ma polisi tu je pia walizulumiwa madini ?

Sababu yangu yengine ya kuamin yule jamaa ni terrorist tazama jinsi alivyo kuwa anajua kutumia ile silaha, mzee AK47 ni silaha ya kivita ile sio pisto ..yule jamaa lzm ali pitia mafunzo ya utayari wa mapigano ya silaha, ata ww hapo uki setiwa ile silaha ukapewa utumie sizan kama utaweza kui manage vizuri bila changamoto yoyote
Pia tazama yule jamaa alivyo kuwa hodar ktk kujilinda alikuwa ana jilinda vizuri, alikuwa hakurupuki kurupuki ..tazama alivyo wapa mtihan askar wetu wazalendo ...chief yule hakuwa muuza madini itoshe kuamin yule ni gaidi hakuna haja ya kusikikiza leo tena wala kesho tena ..lile jambo ni sensitive mnoo maisha ya watu 4 wale ni bora sana
Gaidi angeua wale raia wote kwenye daladala, magaidi wakifanya tukio wanajitahidi liwe la ukubwa wa kusikika dunia nzima, gaidi anakuwa na bastola ndogo!!!!!.. magaidi lazima wawe na mabomu akilipua hamna msalia mtume.
 
Anaandika Christopher Cyrilo.
___
PC Emanuel Keralyo Waitara. Amezaliwa 24/12/1991, Kabila Mkurya. Ni askari wa kikosi cha FFU aliyeuawa kwa kushambuliwa na Bw.Hamza kwa kushtukiza.

Kabla ya tukio hilo, Hamza alionekana maeneo ya ufukweni akiwa na mawazo sana. Hata watu waliomsalimia hakuwajibu, ni kama vile alikuwa kwenye dunia yake tofauti. Labda alishaona dunia si mahali salama tena kwake.

Punde, akatoka ufukweni na kurudi uelekeo wa barabara kuu ya Ali Hassan Mwinyi. Akafika kwenye kibanda cha polisi kilichokuwa pembeni ya barabara, akachomoa bastola yake ndogo kutoka kiunoni, akawapiga risasi askari wawili waliokuwemo. Askari mmoja alikufa papo hapo, mwingine alikimbia kuelekea baharini.

Hamza alimvua silaha askari aliyekufa na kuivaa shingoni. Kisha akamfuata askari aliyekimbilia baharini ambaye alikuwa ameishiwa nguvu kutokana na jeraha la risasi. Akampiga risasi nyingine kummalizia kisha akachukua bunduki yake. Hapo akawa na bunduki mbili alizopora baada ya kuwaua Polisi.

Hamza akarudi barabarani na kuanza kuwatafuta askari wengine ili awaue. Alifanikiwa kumuona askari wa barabarani (trafic), akiongoza magari eneo la makutano ya barabara karibu na ubalozi wa Ufaransa. Akamfyatulia risasi na kumuua. Akayapita magari binafsi na daladala za abiria akitafuta askari wengine.

Akamuona askari wa kampuni binafsi ya ulinzi ya SGA, wanaolinda ofisi za Ubalozi wa Ufaransa. Yule askari akataka kukoki silaha kupambana na Hamza lakini akachelewa. Hamza akamuwahi, akampiga risasi na kumuua. Kisha akasogea eneo la ubalozini kupambana na askari wengine waliokuwepo. Lakini polisi wengine wakawa wamefika na katikati ya mapambano wakamuua.

Moja kati ya askari waliouawa na Hamza ni PC Emanuel Keralyo (pichani). Anatajwa kuwa mtu mwema asiye na shida na mtu. Anazungumzwa vizuri na askari wenzie hadi na jamaa waliosoma na kukua nae. Kijana mtulivu, mwenye kumheshimu kila mtu.

Zipo taarifa kuwa Hamza alidhulumiwa madini na askari. Lakini inadaiwa askari waliouawa sio wale waliomdhulumu. Kama ni hivyo, basi dhuluma ya askari wachache wasio waadilifu imegharimu maisha ya askari wasio na hatia. Mungu awapumzishe kwa amani.!View attachment 1909791
Mkatoliki, mseminari mpiga kinanda. Pole Emma. Mungu akupumzishe vizuri. Uliamka uko salama hujui nini kitatokea kazini kwako. Pole mdogo wangu.
 
Anaandika Christopher Cyrilo.
___
PC Emanuel Keralyo Waitara. Amezaliwa 24/12/1991, Kabila Mkurya. Ni askari wa kikosi cha FFU aliyeuawa kwa kushambuliwa na Bw.Hamza kwa kushtukiza.

Kabla ya tukio hilo, Hamza alionekana maeneo ya ufukweni akiwa na mawazo sana. Hata watu waliomsalimia hakuwajibu, ni kama vile alikuwa kwenye dunia yake tofauti. Labda alishaona dunia si mahali salama tena kwake.

Punde, akatoka ufukweni na kurudi uelekeo wa barabara kuu ya Ali Hassan Mwinyi. Akafika kwenye kibanda cha polisi kilichokuwa pembeni ya barabara, akachomoa bastola yake ndogo kutoka kiunoni, akawapiga risasi askari wawili waliokuwemo. Askari mmoja alikufa papo hapo, mwingine alikimbia kuelekea baharini.

Hamza alimvua silaha askari aliyekufa na kuivaa shingoni. Kisha akamfuata askari aliyekimbilia baharini ambaye alikuwa ameishiwa nguvu kutokana na jeraha la risasi. Akampiga risasi nyingine kummalizia kisha akachukua bunduki yake. Hapo akawa na bunduki mbili alizopora baada ya kuwaua Polisi.

Hamza akarudi barabarani na kuanza kuwatafuta askari wengine ili awaue. Alifanikiwa kumuona askari wa barabarani (trafic), akiongoza magari eneo la makutano ya barabara karibu na ubalozi wa Ufaransa. Akamfyatulia risasi na kumuua. Akayapita magari binafsi na daladala za abiria akitafuta askari wengine.

Akamuona askari wa kampuni binafsi ya ulinzi ya SGA, wanaolinda ofisi za Ubalozi wa Ufaransa. Yule askari akataka kukoki silaha kupambana na Hamza lakini akachelewa. Hamza akamuwahi, akampiga risasi na kumuua. Kisha akasogea eneo la ubalozini kupambana na askari wengine waliokuwepo. Lakini polisi wengine wakawa wamefika na katikati ya mapambano wakamuua.

Moja kati ya askari waliouawa na Hamza ni PC Emanuel Keralyo (pichani). Anatajwa kuwa mtu mwema asiye na shida na mtu. Anazungumzwa vizuri na askari wenzie hadi na jamaa waliosoma na kukua nae. Kijana mtulivu, mwenye kumheshimu kila mtu.

Zipo taarifa kuwa Hamza alidhulumiwa madini na askari. Lakini inadaiwa askari waliouawa sio wale waliomdhulumu. Kama ni hivyo, basi dhuluma ya askari wachache wasio waadilifu imegharimu maisha ya askari wasio na hatia. Mungu awapumzishe kwa amani.!View attachment 1909791
Ujumbe wako Muhimu niliouona hapa na ambao umeusisitiza ( japo Kimafumbo ) ni kwamba Muuaji Hamza Mohammed hakuwa Gaidi kama tunavyodanganywa kwa Kulazimishwa, bali alichokifanya ni Kulipiza tu Kisasi kwa Mapolisi kutokana na Kumdhulumu Kwao Dhahabu yake.

Huku Kwingineko sijui huyu Police alikuwa ni Mtu mwema Kijamii ( Uraiani ) ni Mbwembwe tu kwani sijawahi kuona Mtu yoyote hasifiwi pale akifa hata kama alikuwa ni Mchawi au Muiba Kuku na Bata maarufu Mitaani.

Kilichonishangaza zaidi ni kwanini Police hao kama kweli huko Chuoni Kwao waliiva Kimedani walishindwa Kumshtukia mapema kwa Jicho la Saikolojia huyu Muuaji hadi akawawahi na kwanini Option yao ( Police ) ilikuwa ni Kukimbia ili Kujificha na siyo Kupambana vilivyo na Adui Hamza Mohammed?

Police Tanzania watumie Tukio hili katika Kujitathmini na Kubadilika upesi kwani hata kama tutamlaumu Muuaji Hamza Mohammed ila nao ( PT ) wana Mapungufu makubwa ya Kiuweledi ambayo ni kwa bahati sana huwa yanafichwa katika Kivuli cha Kuwakamata Wapinzani na Kutishatisha tu Watu hovyo.
 
Sio kosa kujua kutumia Bastola kwa watu wa madini ni kitu cha kawaida kama wanavyosema alikua ni mfanyabiashara wa dhahabu hawezi kukosa silaha ndogo , pia hao kila siku wanacheza na mabomu mgodini kulipua madini

harufurahii Askari kuuliwa bila hatia tunasikitika dhulma aliyotendewa Hamza
Mimi. AK47 sio pisto kijana wala sio baruti za mlipuko AK47 ni kitu kingine mzee unless useme hufahamu chochote
 
Gaidi angeua wale raia wote kwenye daladala, magaidi wakifanya tukio wanajitahidi liwe la ukubwa wa kusikika dunia nzima, gaidi anakuwa na bastola ndogo!!!!!.. magaidi lazima wawe na mabomu akilipua hamna msalia mtume.
Sasa ndio ujiulize kama sio gair alijuaje matumiz ya silaha kubwa kama AK47 .... Na rudia tena hata Kenya chokochoko zilianza kamaniv magaid walikuwa wana piga polisi ktk vituo vya polisi kisha sasa waka hamia kuwa ua raia
 
Zipo taarifa kuwa Hamza alidhulumiwa madini na askari. Lakini inadaiwa askari waliouawa sio wale waliomdhulumu. Kama ni hivyo, basi dhuluma ya askari wachache wasio waadilifu imegharimu maisha ya askari wasio na hatia. Mungu awapumzishe kwa amani.![emoji848][emoji2827]
masoko ya madini yapo

Mtu anadhulumiwaje?
 
Gaidi angeua wale raia wote kwenye daladala, magaidi wakifanya tukio wanajitahidi liwe la ukubwa wa kusikika dunia nzima, gaidi anakuwa na bastola ndogo!!!!!.. magaidi lazima wawe na mabomu akilipua hamna msalia mtume.
SIO lazma.

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Bwana mdogo kapoteza uhaki angali mdogo, kama ilivyo kwa Hamza...
 
Back
Top Bottom