PC Emanuel Keralyo Waitara, mmoja wa askari aliyeuawa na Hamza

Yaani Hawa ndugu zetu huwa wanawaza kutoboa maisha yao kwa kudhulumu,kuwalinda illegal dealers traders, drug dealers,yaani hela ya bure jamaa wanaipenda Sana.
Binafsi Kama mwanaume umeumia umepata chako afu msenge anakuja kukichukua k.v naye amehusika kukivujia jasho ni kufa naye.
Hawa jamaa na tra wanaudhi Sana.
Tra walimtoa mzee wangu since 1995 like 2+M mpaka Leo nakumbuka msala ule.
 
Jamani hamza ni gaidi msilete story eti za kuzulumiwa dhahabu, huyo ni gaidi wa jihad
Gaidi amefanya Nini. Why aue Askari tu na ni kwa Nini alikuwa anawapita raia wa kawaida.
Sema hujui uchungu wa kupigana like 10yrs above afu msenge anakuja kuchukua mavuno yako yote ya 10 yrs uanze zero Tena.
Ni Kama uwe na degree afu ghafula mtu anaosha kichwa chako unarudi kuwa zero ndo uanze naseri. Utakubali kweli
 
Drill ya askari mwenye silaha aliyekuwa Gadi ni haruhusiwi yaani ni marufuku kuruhusu mtu yeyote kumsogelea uelekeo wake bila kujitambulisha... "hapo hapo ulipo simama jitambulishe!!!" hii ni command yaani hata awe General Mabeyo lazima atii ndo mengine yafuate la sivyo anaruhusiwa kushoot.


Askari upo Gadi mtu mwenye muonekano ule wa Hamza ambaye kwa jamii yetu tulivyo aminishwa watu wa Somalia ni very extremists, askari wetu waliruhusu vipi kusogelewa karibu kiasi cha kushambuliwa.

Hamza alikuwa na Pisto (shotgun) alihitaji kuitoa sehemu alipoweka kama ni kiunoni au wapi God knows, kisha aanze kushoot askari wawili kwa mpigo!!! Tena askari wenye assault Riffle sub machine gun (SMG) kwa haraka na kuwadhuru bila yeye kujeruhiwa!! Huyu Hamza atakuwa ni Ranger marksman mzuri sanaaa!!

Hili tukio lina questions Marks?? nyingi sanaaa.. Wahusika wawe makini katika kutoa taarifa aisee
 
Daaah so sad huyo police namfahamu vizuri nimesoma naye Airwing nyumbani kwao ni ukonga Moshi bar
 
Imebakia hapa nyamongo maana polisi wanachukuwa tu vitu vya watu hasa mawe ya dhahabu kwa watu huku wakisema yametoka mgodini halafu Cha ajabu wao wanaenda kuuza bila kuyapeleka kituoni, hii michezo michafu na kupenda rushwa na madili ya kupata hela haraka kama askari wa Kenya italigharimu hili jeshi la polisi
 
Kumbe wewe ni wa boomgate. Huko nyamongo vijana wa nyamongo wamekula chipsi Sana. Hebu waiteni watt wenu wa mamkubwa wa baba yenu wawasaidie
 
Walituzulumu madini ya milioni 40.
Wakataka rushwa tukawapa laki 4 pesa wakalamba na madini wakalamba pia.
Hizi dhuluma thus wanakufa vibaya.
Chukua kidogo mwachie na mwenzio apate pa kuanzia.
Sio wewe tu ndo una shida na pesa.
Wengine umuachia Mungu, wengine uenda kuloga,hii staili ya hamza ni mpya.
Sisi tulimuachia Mungu.
 
Kumbe wewe ni wa boomgate. Huko nyamongo vijana wa nyamongo wamekula chipsi Sana. Hebu waiteni watt wenu wa mamkubwa wa baba yenu wawasaidiemuda sana ila vijana wengi
sasa iv kule sasa ivi wamepoa sana ila polisi ndo tabia zao

Pole sana mkuu hawa polisi Mimi ninajua michezo yao halafu hayo madini wala huwa hawayapeleki kituoni wala kuyarudisha mgodini ila ipo siku yao
 
Poleni sana.
 
Kumbe wewe ni wa boomgate. Huko nyamongo vijana wa nyamongo wamekula chipsi Sana. Hebu waiteni watt wenu wa mamkubwa wa baba yenu wawasaidie
Mkuu hawa mziki wa huku hawauwezi sema tu ni vile watu wanaamua kuacha vitu moyoni ili maisha mengine yaendelee maana ukichukuwa maamuzi ya kiume ndo inakuwa kama hamza tena ila raia wengi Wana malalamiko juu ya hili jeshi kikubwa wabadilike tu
 
Dah Ema rafiki yangu sana , sitamsahau kwa ushauri wake. Apumzike kwa amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…