PCB siyo tahasusi ya mchezo

PCB siyo tahasusi ya mchezo

Yaani watu wapo Instagram, Twitter, diamond,zuchu halafu update AAA 😀 penzi hizo watu hawalali nyinyi mpo kubishana Simba yanga huwezi kupata hata c
 
😂😂😂😂Mkuu sio hawawezi chemistry hawapendi jichosha chemistry inaugumu gani? Physical,general na inorganic zote znaenda fresh organic watu huionea uvivu Tu ata sio ngumu sema ndo vile mentality kill majority wanaiacha .uyo two unakuta ana bios c,Chemia d ,phy E 😂😂chagua shule angalia weny two bios AF one pcm kukutoa phy b math b na chem ç kawaida Sana sasa uyo wa pcb huon bios ndo imembeba apo 😂😂 au mna physics na chemia yenu PCB angalia matokeo mengi mengi ndo uje ubishe kat ya phy na bios nini wanafaulu
Bios C halafu chem D na phy E? Hv umechanganyikiwa au!? Asilimia 95 ya pcb huwa wanafeli biology.
Ufaulu kwa PCB huwa ni:
1.Chem
2.phy
3.bios
 
Bios C halafu chem D na phy E? Hv umechanganyikiwa au!? Asilimia 95 ya pcb huwa wanafeli biology.
Ufaulu kwa PCB huwa ni:
1.Chem
2.phy
3.bios
Hahahaha em kaangalie matokeo mkuu izo assumption zako yn PCB ingekua ngumu Ivo ingekua one ya 9 unaenda muhimbili 😂😂😂
 
Acha story mtu aliyepata PCB two yeyote yupo vzr kuliko aliyepata PCM one ya 8 au 9!
Chemistry tu watu wa pcm hawawez bios itakuwaje? Halafu bios ni ngumu mara 3 ya chem
Nmetafta shule randomly tu
 

Attachments

  • IMG_20240727_215703.jpg
    IMG_20240727_215703.jpg
    473.9 KB · Views: 7
Hujawahi kabisa kuingia na calculator kwenye Pepa la Pure Maths? Km kweli hujawahi kuingia na calculator kwenye Pepa la Pure Maths basi nakubariana na Wewe kwamba Wewe ni Pure T.O Ila km uliingia na calculator Babu acha kujidanganya Wewe ni Cheater tu
Aisee advance Physics ni mziki.
Physics ndio usiseme hasa theory .
Kiufupi physics watu wengi advanced level enzi zetu wengi walikuwa wanalamba namba za viatu , miaka hiyo ya 2010-2013 aisee kupataC ya Physics advance wewe ni kidume.

Kiufupi watu tuliopitia advanced level ,tena hizi combinations za pcm na PCB ,tupewe maua yetu kabisa .
Si mchezo
 
Nini kingine apo mkuu Zaidi ya kutoa,kujumlsha kuzidsha na kusoma angles
Fikria tena Wewe maths umesoma kweli Wewe umesahau mpaka baadhi ya topics zinazohitajika kutumia calculator kweli na umemaliza six 2020 kweli bwamdogo Mimi niliemaliza 20+ years ago sijasahau Wewe ushasahau?
 
Siku hizi mitihani ni nyanya sana , kuna mwaka 2013 ,ule mwaka Tanzania nzima hakukuwa na A ya Advanced physics , na watu walizungusha Sana zero .
Yaani hata maths ilikuwa nyundo , watu walikula zero na four za kutosha .
Acha kabisa
Kama kuna mtu kamaliza Advanced level mwaka huo anajua cha moto
Kwahiyo siku hizi PCB div Ii point 11 mtu anahesabu kafeli ahsante mkuu nilikuwa silijui hili.
Yaani hizi combinations za Pcb na pcm Kula division zero ilikuwa ni kugusa tu
 
Aisee advance Physics ni mziki.
Physics ndio usiseme hasa theory .
Kiufupi physics watu wengi advanced level enzi zetu wengi walikuwa wanalamba namba za viatu , miaka hiyo ya 2010-2013 aisee kupataC ya Physics advance wewe ni kidume.

Kiufupi watu tuliopitia advanced level ,tena hizi combinations za pcm na PCB ,tupewe maua yetu kabisa .
Si mchezo
🤣🤣 Physics ni mziki mwingine Mzee
 
Fikria tena Wewe maths umesoma kweli Wewe umesahau mpaka baadhi ya topics zinazohitajika kutumia calculator kweli na umemaliza six 2020 kweli bwamdogo Mimi niliemaliza 20+ years ago sijasahau Wewe ushasahau?
Hakuna topic ya calculator nmeacha apo
 
Aisee advance Physics ni mziki.
Physics ndio usiseme hasa theory .
Kiufupi physics watu wengi advanced level enzi zetu wengi walikuwa wanalamba namba za viatu , miaka hiyo ya 2010-2013 aisee kupataC ya Physics advance wewe ni kidume.

Kiufupi watu tuliopitia advanced level ,tena hizi combinations za pcm na PCB ,tupewe maua yetu kabisa .
Si mchezo
Sasa balaa la physics km haujui ni Mwalimu
 
Back
Top Bottom