kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Yaani watu wapo Instagram, Twitter, diamond,zuchu halafu update AAA 😀 penzi hizo watu hawalali nyinyi mpo kubishana Simba yanga huwezi kupata hata c
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bios C halafu chem D na phy E? Hv umechanganyikiwa au!? Asilimia 95 ya pcb huwa wanafeli biology.😂😂😂😂Mkuu sio hawawezi chemistry hawapendi jichosha chemistry inaugumu gani? Physical,general na inorganic zote znaenda fresh organic watu huionea uvivu Tu ata sio ngumu sema ndo vile mentality kill majority wanaiacha .uyo two unakuta ana bios c,Chemia d ,phy E 😂😂chagua shule angalia weny two bios AF one pcm kukutoa phy b math b na chem ç kawaida Sana sasa uyo wa pcb huon bios ndo imembeba apo 😂😂 au mna physics na chemia yenu PCB angalia matokeo mengi mengi ndo uje ubishe kat ya phy na bios nini wanafaulu
Hii ndo shida ya PCB one ya 7 umefeli ila pcm one ya 7 om pilau linapikwa vyuo vyote vinakutakaPCB ni ngumu Division 1.9 lakini unaonekena msenge tu bora PCM aisee
Hahahaha em kaangalie matokeo mkuu izo assumption zako yn PCB ingekua ngumu Ivo ingekua one ya 9 unaenda muhimbili 😂😂😂Bios C halafu chem D na phy E? Hv umechanganyikiwa au!? Asilimia 95 ya pcb huwa wanafeli biology.
Ufaulu kwa PCB huwa ni:
1.Chem
2.phy
3.bios
Yaah unakuta mtu ana one d ya math ndo anaenda PCB ila anaefaulu ad math anawah zake pcmO level waliofaulu sana huenda PCM
Baadhi yao huenda PCB
Nmetafta shule randomly tuAcha story mtu aliyepata PCB two yeyote yupo vzr kuliko aliyepata PCM one ya 8 au 9!
Chemistry tu watu wa pcm hawawez bios itakuwaje? Halafu bios ni ngumu mara 3 ya chem
Ndio hio hio Wewe unachotakiwa kuelewa tu nilichokimaanisha ni Advanced maths hapo Vipi tupo sambamba au tupo sawasawia?Hakunaga Pure Mathematics ni ADVANCED MATHEMATICS
Aisee advance Physics ni mziki.Hujawahi kabisa kuingia na calculator kwenye Pepa la Pure Maths? Km kweli hujawahi kuingia na calculator kwenye Pepa la Pure Maths basi nakubariana na Wewe kwamba Wewe ni Pure T.O Ila km uliingia na calculator Babu acha kujidanganya Wewe ni Cheater tu
Fikria tena Wewe maths umesoma kweli Wewe umesahau mpaka baadhi ya topics zinazohitajika kutumia calculator kweli na umemaliza six 2020 kweli bwamdogo Mimi niliemaliza 20+ years ago sijasahau Wewe ushasahau?Nini kingine apo mkuu Zaidi ya kutoa,kujumlsha kuzidsha na kusoma angles
Yaani hizi combinations za Pcb na pcm Kula division zero ilikuwa ni kugusa tuKwahiyo siku hizi PCB div Ii point 11 mtu anahesabu kafeli ahsante mkuu nilikuwa silijui hili.
🤣🤣 Physics ni mziki mwingine MzeeAisee advance Physics ni mziki.
Physics ndio usiseme hasa theory .
Kiufupi physics watu wengi advanced level enzi zetu wengi walikuwa wanalamba namba za viatu , miaka hiyo ya 2010-2013 aisee kupataC ya Physics advance wewe ni kidume.
Kiufupi watu tuliopitia advanced level ,tena hizi combinations za pcm na PCB ,tupewe maua yetu kabisa .
Si mchezo
Kawaida sana ,na ana bahati sana huyo , miaka hii mitihani ni nyanya sana .Kuna dogo alikua na 1.7 O level juzi matokeo ya advance ana 3 ya ngapi sijui PCB. Nimeshangaa sana
Hakuna topic ya calculator nmeacha apoFikria tena Wewe maths umesoma kweli Wewe umesahau mpaka baadhi ya topics zinazohitajika kutumia calculator kweli na umemaliza six 2020 kweli bwamdogo Mimi niliemaliza 20+ years ago sijasahau Wewe ushasahau?
Sasa balaa la physics km haujui ni MwalimuAisee advance Physics ni mziki.
Physics ndio usiseme hasa theory .
Kiufupi physics watu wengi advanced level enzi zetu wengi walikuwa wanalamba namba za viatu , miaka hiyo ya 2010-2013 aisee kupataC ya Physics advance wewe ni kidume.
Kiufupi watu tuliopitia advanced level ,tena hizi combinations za pcm na PCB ,tupewe maua yetu kabisa .
Si mchezo
Aisee nikikumbuka ule moto wa shule ya Advanced level 💥💥💥💥Kwahiyo siku hizi PCB div Ii point 11 mtu anahesabu kafeli ahsante mkuu nilikuwa silijui hili.
Calculus mboni hujaitaja?Hakuna topic ya calculator nmeacha apo
Calculus unafanya nini na calculator? au mtihani wenu ulikua unakua machagulio?Calculus mboni hujaitaja?