Fifteen
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 512
- 594
Sema umegundua kua unabishana ili ushinde?Yaan Wewe nimekupima kwa Muda uliokua unanizuga nikajua tu hapa calculator inabinywabinywa huko hilo ni swali la kujibu kwa kichwa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema umegundua kua unabishana ili ushinde?Yaan Wewe nimekupima kwa Muda uliokua unanizuga nikajua tu hapa calculator inabinywabinywa huko hilo ni swali la kujibu kwa kichwa tu
Dah..nilikua namiliki mikate volume I & II, BS, Roger, reviews za masomo yote..PCB🙌 ni vile tu kwa kijana aliemaliza form four ni ngumu kumshauri aya mambo kwa mapana yake na uhalisia wa huko anakokuendea na hatma yake kwa ujumla huko chuoni (courses) & ajira..ni combination sumbufu sana na inaua ndoto za vijana ambao wangeweza kufanya vizur sana kwa masomo mengine..Ni mwendo wa kumeza mikate , huku Chandy , huku Nelkon ,huku Tlanta huku Tom Duncan huku Roger Muncaster (Kwa wazee wa Matango) aisee nyieee 🤣🤣🤣
Basi tufanye umepata na tufanye hujatumia calculator, umefurahi?Sema umegundua kua unabishana ili ushinde?
Niko sahihi kwanini nisifurahi ila siku ukiweza kupata ilo jibu kwa caluu naomba Mzee afu ulintajia combi nying umesoma apo nlivokupa Tu idea ya kusolve ungejua nimepata hii advance ndo ile ukipewa swali unasema limeisha kabla hujasolve coz unakua na idea tayariBasi tufanye umepata na tufanye hujatumia calculator, umefurahi?
Me CBG tu ilinikimbiza adi nikakondaaaaDah..nilikua namiliki mikate volume I & II, BS, Roger, reviews za masomo yote..PCB🙌 ni vile tu kwa kijana aliemaliza form four ni ngumu kumshauri aya mambo kwa mapana yake na uhalisia wa huko anakokuendea na hatma yake kwa ujumla huko chuoni (courses) & ajira..ni combination sumbufu sana na inaua ndoto za vijana ambao wangeweza kufanya vizur sana kwa masomo mengine..
Wasoma PCB wanaunga unga sana Physics na ndo inayofelisha majority..huwez kuta mwanafunz ana-master vizuri Physics akasoma PCB..utamkuta PCM & PGM.
Basi SawaNiko sahihi kwanini nisifurahi ila siku ukiweza kupata ilo jibu kwa caluu naomba Mzee afu ulintajia combi nying umesoma apo nlivokupa Tu idea ya kusolve ungejua nimepata hii advance ndo ile ukipewa swali unasema limeisha kabla hujasolve coz unakua na idea tayari
Pole sana..ila mtu anayemasta msuli wa PCB akisoma CBG, CBN anafaulu vizur sana..mm ilibaki kidogo nihamie HGE..nilikinai kabisa sayansiMe CBG tu ilinikimbiza adi nikakondaaaa
We wa wapi mkuu tosa au songeaHahaaaa watani wetu ninyi kumbe
Unajua kuna kujisahauuu nakumbuka kuna jamaaa alitoka PCM akaja CBG akapita kuleeee Mpak HGL😂😂😂😂Pole sana..ila mtu anayemasta msuli wa PCB akisoma CBG, CBN anafaulu vizur sana..mm ilibaki kidogo nihamie HGE..nilikinai kabisa sayansi
Mlichotizidi tosa ni kuwa nyie mpo mixer na watoto wale wa o level...🤣🤣🤣🤣ninyi watoto wa njos walaini sana ,ilibidi mletwe Tosamaganga kiumeni pale mpate akili ,pale hata mwalimu humuoni darasani qmamae ,utajijua mwenyewe ,na akija ni kuongea useng£ useng£ halafu anapotea
Ila shule nyingine za serikali nyingine mamaee sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Kama huko njoss mkuu..Aiseee pale watoto wa mama huwa wanakimbia shule
Kuna mhuni mmoja tulienda kureport naye akakaa wiki akatoroka na kupiga chini shule
Olevel kwa sasa ishafutwa , imebaki Advance TuMlichotizidi tosa ni kuwa nyie mpo mixer na watoto wale wa o level...
Sasa ishu kwetu ni boys tuu alafu show ya bard na viboko vile mmaeee so poa an...
Sema nyie mbwa mnakichafuaga kinoma
🤣🤣🤣🤣🤣yale maisha nikikumbuka huwa nacheka sanaKama huko njoss mkuu..
Ticha anakwambia hapa wanabaki wanaume tu
Huyu alijichanganya huyu..biology na geography zina vurugu nying sanaaa ni mwendo wa kumeza..kwa mtu wa mathematics kwake ni kero kabisaUnajua kuna kujisahauuu nakumbuka kuna jamaaa alitoka PCM akaja CBG akapita kuleeee Mpak HGL😂😂😂😂
Alivoenda hkunan huko msuli akwa hapigi akawa anarelax tu 😂😂Huyu alijichanganya huyu..biology na geography zina vurugu nying sanaaa ni mwendo wa kumeza..kwa mtu wa mathematics kwake ni kero kabisa
Ahahahah unavaa suruali 21 cm manina zao daaah🤣🤣🤣🤣🤣yale maisha nikikumbuka huwa nacheka sana
Geography niliona uchawi baada ya kuona jamaa wanachora graph kama utandu wa buibui ahahahHuyu alijichanganya huyu..biology na geography zina vurugu nying sanaaa ni mwendo wa kumeza..kwa mtu wa mathematics kwake ni kero kabisa
Ahahahah sasa assume pale njoss ni boys tuu tena ni advance so hapo hakuna ulele mama oyaa weeehOlevel kwa sasa ishafutwa , imebaki Advance Tu