Pcm/pcb mmoja ni sawa na hkl hamsini

Hakika umenena vyema kabisa Mr Pixel3a PCM/PCB 1 ni sawa kabisa na HKL/HGL 50 yaani uwiano wa 1:50. Kwa mfano wakati niko session ya Applied Mathematics nakumbuka lecture husika (mwanamama) alitushauri (na sio vitisho) ya kwamba kawaambieni wadogo zenu waliokimbia hesabu na science na waikimbie hivyo hivyo katika course selection za vyuo, wasije kutusumbua.
 
Mliochaguliwa combination Tajwa hapo juu Za science PCM(Engineering) na PCB(Doctor, Pharmacy etc) mjipange ,hazihitaji Ubishoo/usistaduuh..hata kidogo lasivyo mtarudi CBE miaka miwili ijayo kila la kheri..
Kibaya tukukutana kazin mshahara mmoja
 
Tuition ya english na ya physics wap patajaa😅😅
 
Bila kupepesa macho
 
Ishu ni kwamba mkishamaliza masomo mwisho wa siku kwenye jamii utafanya kazi gani ya kukupatia hela ya kutosha na ziada?

PCM wengi huishia Ualimu, hiyo engineering sio rahisi kama unavyoweza kuzani.

Na hata ukienda engineering sio guarantee ya kuja kupata hela ya kutosha na ziada ktk kuja kufanya kazi kwako.
 
Engineers wengi wanahangaika kwenye jamii wengine wachoka ile mbaya [emoji108][emoji108]

Wengine hawataki watoto wasome walichosoma wazazi wao.

Wengi wamekuwa wakifungua kampuni kama fashion.

Yaani tuache tu.
 
Hiyo PCB nayo inategemea,

Madaktari nchini kulipwa kwao sio Kwa kuridhisha kama nchi nyingine za jirani Na kusini mwa Africa ,

Daktari unamkuta amechoka kiuchumi kiasi kwamba ukimpa shilingi 10,000/- ya lunch anaona kama miujiza ? ! [emoji848]

Mimi zamani nilikuwa siamini.

Nilizani kwa Nesi labda lakini hata madaktari na Ndiyo maana wanalazimika kufanya kazi masaa mengi kuongeza kipato wanachoka acha kabisa.
 
Hayo mambo ya zamani Mimi nimesoma HKL ila nina Maarifa Makubwa Sana kwa sababu natumia MUDA wangu kusoma vitabu ambvyo vipo katika lugha ya kingereza kitu ambacho mtu aliyesoma PCM atapata shida Sana ataishia kusoma tittle tu na kukimbia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…