Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
kweli yaani wale wenye akili leo watakuja kuwaomba kazi wale waliowazidi kufaulu na waliokimbia PCM na ,PCBElimu ya Tanzania ni kichekesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli yaani wale wenye akili leo watakuja kuwaomba kazi wale waliowazidi kufaulu na waliokimbia PCM na ,PCBElimu ya Tanzania ni kichekesho
Kwa sasa sijui, mambo ya elimu yamebadilika sanavipi lakini anaweza kutoboa?
wewe umechelewa, sisi kipindi hicho hata Mwenye Div 2 ya 10 au 11 ilikua uhakika MUHAS, cha msingi cutting point ya 7Dah ndo maana nikauliza, kipindi Chetu ukipata 1.7 muhas medicine ni uhakika!!! Kupiga div 1 mbinde kwelikweli, nashangaa juzi naona matokeo form 6 karibia wote wana div 1
wanavuta mashati kivipi?Hususani hizi kada za Afya na uhandisi
Wakaze tu hamna namna au waende technica collegeSasa unawashauri vipi vijana Zaid ya 50 wanaoenda Pugu au Azania?
Sipati picha elimu yetu itakuwaje baada ya miaka kumi ijayo 🤔🤔wewe umechelewa, sisi kipindi hicho hata Mwenye Div 2 ya 10 au 11 ilikua uhakika MUHAS, cha msingi cutting point ya 7
Ndio. Ni kazi ambayo unatakiwa uwe busy kuliko kile unachoingiza mfukoni wakati investment uliyoweka ni kubwa na risk uliyoingia kufeli ni kubwa sana, wao wanaambiwa ni wito. Na wanaosema ni wito wao wanapokea mamilioni mengi kwa mwezi.Ulikimbia udaktarini?😀
Sure mkuu!PCM na PCB ni combinations ambazo mwanangu sitopenda asome in case nitakuwa na uchumi wa kati, labda niwe uchumi wa juu sana atasoma tu nitamuwezesha kuishi.
Chuo unatumia miaka minne kusoma udaktari, unatumia mwaka mmoja kufanya kazi bure sijui wanaita nini ile term nimesahau. Unatoka na deni la kama 20M kwenda kulipwa about 1.5M per month. Milioni moja na nusu inatafutwa kwa nguvu nyingi sana, haistahili ipatikane kwa jasho lote hilo.
Ukiona mtoto wa tajiri anasoma hivyo vitu ujue ni hobby tu ndio maana kuna Wahindi ni MDs ila wanauza maduka, alitaka asome kama kutimiza ndoto sio kutafuta maisha.
Hujui usemalo. Waulize wanaokutawala na kukuingiza kwenye mikataba mibovu walisoma comb gani. Ujinga mtupu. Heri kunyamaza kuliko kubwabwaja usiololijua wala lisilojulikana.Mliochaguliwa combination Tajwa hapo juu Za science PCM(Engineering) na PCB(Doctor, Pharmacy etc) mjipange ,hazihitaji Ubishoo/usistaduuh..hata kidogo lasivyo mtarudi CBE miaka miwili ijayo kila la kheri..
Kweli kabisa. Hasa hasa DITAanze diploma MUST,ATC,DIT atakuwa muhandisi mzuri tu
Elimu yetu imepata mushkeli kidogo! Inahitaji ReformationDah ndo maana nikauliza, kipindi Chetu ukipata 1.7 muhas medicine ni uhakika!!! Kupiga div 1 mbinde kwelikweli, nashangaa juzi naona matokeo form 6 karibia wote wana div 1
Vitengo vya maana wanawekana wenyewe kutoka nje zile nafas za pesa ndogo ndo wanawapa wabongo au unakuta kwenye hizo nafas za juu wanaweka wabongo wachache wengine wanakua wanapiga kazi kama deiwaka, maisha ya kitaa ya watu wa hizo combi tunayaona wengine hadi wanakimbilia kazi zisizokua zako, miaka mi5 kitaa utapataje experience ya kufanya kazi za nafasi za juu kwenye hizo kampuni???Jipe moyo Kuna Dp world , petroleum and gas kusini huko ,plus hospital za kutosha Tena za Rufaa😅😅
Pgm kozi zenye Geography ni rahisi mnoNa PGM je au huifahamu?
Bam nilinusurika FPcb aisee nilikua nawaonea huruma maana bam nayo ilikua mziki kimtindo
Msuli tembo matokeo sisimizi, tulikua tunawaita hivyo [emoji1]Sure kisaikolojia wanafunz weng wa serikali hawapo vizur na wengi hawajui mbinu za kugaulu.. mtu anasoma kama chizi full kukesha matokeo yakija sasa[emoji28]
Unaambiwa kula vizuri fanya mazoezi madogo wanaosomea udaktari wanakopiana assignments, wanabet na wanashinda kidimbwi[emoji1][emoji1] ukitaka kuamini nenda hospital kutana na daktari kijana utatamani ukimbie.Elimu yetu imepata mushkeli kidogo! Inahitaji Reformation
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Hii inachanganya kabisa...Nawahurumia vijana waliopelekwa shule mpyaa kabisa(wanafungua ukurasa form five) Kwan wakifik huko wanakosa direction na kujiona vipangaa..