financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Ulikimbia udaktarini?😀Kosa gani nimefanya sijui hapo wakati mimi mwenyewe nilitakiwa nisukumizwe kwenye udaktari. Nilikula kona moja na sijawahi jutia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikimbia udaktarini?😀Kosa gani nimefanya sijui hapo wakati mimi mwenyewe nilitakiwa nisukumizwe kwenye udaktari. Nilikula kona moja na sijawahi jutia
Organic ndo ilikuwa kitonga sasa,nguvu kubwa sana ilitumika kupata huo uteleziOrganic sijawahi kuipenda, inorganic niliilewa balaa, paper 2 zote nilikua napiga maswali yote ya inorganic sijawahi liache, afu Kule section a nagusa Moja namalizia na Moja la organic
Huu ni ujinga na ushamba. Mimi ni mhandisi ila naheshimu kila mchepuo. Kila mchepuo una umuhimu wake! Heshimu michepuo ya watu, heshimu fani za watu.Mliochaguliwa combination Tajwa hapo juu Za science PCM(Engineering) na PCB(Doctor, Pharmacy etc) mjipange ,hazihitaji Ubishoo/usistaduuh..hata kidogo lasivyo mtarudi CBE miaka miwili ijayo kila la kheri..
Alisikika mtu mmoja kutoka chama cha kijani,nmemnukuu tu Don't panicHuu ni ujinga na ushamba. Mimi ni mhandisi ila naheshimu kila mchepuo. Kila mchepuo una umuhimu wake! Heshimu michepuo ya watu, heshimu fani za watu.
Hahaha wewe mzee Kikwete unafeli mno sometimes...! Unadharau fani za watu.Alisikika mtu mmoja kutoka chama cha kijani,nmemnukuu tu Don't panic
Aisee organic sijawahi kuipenda, kumeza reactions zote zileOrganic ndo ilikuwa kitonga sasa,nguvu kubwa sana ilitumika kupata huo utelezi
Izo zilikua Moto wa kuotea mbali organic namba tume
Mambo ya differenciation na integration 🙌Kinachofanya Bam inakuwa mziki ni ile kutoipa time au kuidharau.
Binafsi hadi leo sijui Bam tulikuwa tunasoma majitu gani.
Sikuipa time kwenye time table yangu.
Aanze diploma MUST,ATC,DIT atakuwa muhandisi mzuri tuNina mwanangu anapenda sana uinjinia au udokta ufaulu wake kapata 2 namasomo ya sayansi kapata c yote isipokuwa bioz kapata A vp nimpambanie ndoto yake anaweza kutoboa?
asiende form 5?Aanze diploma MUST,ATC,DIT atakuwa muhandisi mzuri tu
Diploma kuvutana mashati sana mkuu na wazaz wajipange Kwan Ada sio kidogoAanze diploma MUST,ATC,DIT atakuwa muhandisi mzuri tu
Mwaka Gani? Maana miaka ya ivi karibuni unakuta darasa zima Wana 1.3Hakuna kitu kigumu wala kirahisi, inategemea na akili ya mtu tu.
Binafsi nimesoma PCB,mziki wake ni wa kuotea mbali endapo utakuwa unaisoma kwa bahati mbaya (maybe kulingana na uwezo wako haukutakiwa kusoma but ufaulu wako ambao umeupata kwa njia unayoijua wewe ukawa umefaulu vizuri na kupangiwa PCB).
Cha kuzingatia ni kukomaa mwanzo mwisho,na ikumbukwe sahivi kozi za afya competition ni kubwa sana.
Mimi na 1.7 form six nilikosa udaktari kwenye application za round ya kwanza na pili but thanks God round ya tatu nikachaguliwa kozi hiyo (MD) ambayo ndio mara nyingi inakuwaga primary dream kwa wana~PCB
Mwaka huuMwaka Gani? Maana miaka ya ivi karibuni unakuta darasa zima Wana 1.3
Hapan Mkuu nliandika vile kuonyesha uzito wa hizo combination tu ,Hahaha wewe mzee Kikwete unafeli mno sometimes...! Unadharau fani za watu.
Hususani hizi kada za Afya na uhandisiDiploma kuvutana mashati sana mkuu na wazaz wajipange Kwan Ada sio kidogo
Miaka hii ambayo asilimia 89 ya watahiniwa wanapata div 1 kupata div 2 ni ukilaza tu, kipindi Cha jk asimilia 89 walikula Division 4 na zero form 4, kipindi Hiko hata div III anaheshimikaNina mwanangu anapenda sana uinjinia au udokta ufaulu wake kapata 2 namasomo ya sayansi kapata c yote isipokuwa bioz kapata A vp nimpambanie ndoto yake anaweza kutoboa?
Dah ndo maana nikauliza, kipindi Chetu ukipata 1.7 muhas medicine ni uhakika!!! Kupiga div 1 mbinde kwelikweli, nashangaa juzi naona matokeo form 6 karibia wote wana div 1Mwaka huu
Mm mpaka leo hua sielewi wale jamaa wa single Digit niliosoma nao uboyzini miaka hiyo ilikuaje wakapata three na four za PCB na PCM,Mliochaguliwa combination Tajwa hapo juu Za science PCM(Engineering) na PCB(Doctor, Pharmacy etc) mjipange ,hazihitaji Ubishoo/usistaduuh..hata kidogo lasivyo mtarudi CBE miaka miwili ijayo kila la kheri..
vipi lakini anaweza kutoboa?Miaka hii ambayo asilimia 89 ya watahiniwa wanapata div 1 kupata div 2 ni ukilaza tu, kipindi Cha jk asimilia 89 walikula Division 4 na zero form 4, kipindi Hiko hata div III anaheshimika