dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣div Bashite
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣div Bashite
Izo zilikua Moto wa kuotea mbali organic namba tumeisoma😅
Kipimo ni mtaaniMliochaguliwa combination Tajwa hapo juu Za science PCM(Engineering) na PCB(Doctor, Pharmacy etc) mjipange ,hazihitaji Ubishoo/usistaduuh..hata kidogo lasivyo mtarudi CBE miaka miwili ijayo kila la kheri..
Udaktari ni miaka 5 na internship mwaka mmoja sheikhPCM na PCB ni combinations ambazo mwanangu sitopenda asome in case nitakuwa na uchumi wa kati, labda niwe uchumi wa juu sana atasoma tu nitamuwezesha kuishi.
Chuo unatumia miaka minne kusoma udaktari, unatumia mwaka mmoja kufanya kazi bure sijui wanaita nini ile term nimesahau. Unatoka na deni la kama 20M kwenda kulipwa about 1.5M per month. Milioni moja na nusu inatafutwa kwa nguvu nyingi sana, haistahili ipatikane kwa jasho lote hilo.
Ukiona mtoto wa tajiri anasoma hivyo vitu ujue ni hobby tu ndio maana kuna Wahindi ni MDs ila wanauza maduka, alitaka asome kama kutimiza ndoto sio kutafuta maisha.
Pcb aisee nilikua nawaonea huruma maana bam nayo ilikua mziki kimtindoAdvance nilipambana kivyangu, sikusoma Tuition sijui za kina mgote, ngaiza etc
Nilianza kuwa serious na shule nilipoona form six wanafanya mtihani.
Still Mungu alinisaidia nikachomoka na Division Two ya PCB.
Nikaiokosa MD, lakini bado maisha yanasonga.
Kinachofanya Bam inakuwa mziki ni ile kutoipa time au kuidharau.Pcb aisee nilikua nawaonea huruma maana bam nayo ilikua mziki kimtindo
Hahahaha, unasema kweli.PCM na PCB ni combinations ambazo mwanangu sitopenda asome in case nitakuwa na uchumi wa kati, labda niwe uchumi wa juu sana atasoma tu nitamuwezesha kuishi.
Chuo unatumia miaka minne kusoma udaktari, unatumia mwaka mmoja kufanya kazi bure sijui wanaita nini ile term nimesahau. Unatoka na deni la kama 20M kwenda kulipwa about 1.5M per month. Milioni moja na nusu inatafutwa kwa nguvu nyingi sana, haistahili ipatikane kwa jasho lote hilo.
Ukiona mtoto wa tajiri anasoma hivyo vitu ujue ni hobby tu ndio maana kuna Wahindi ni MDs ila wanauza maduka, alitaka asome kama kutimiza ndoto sio kutafuta maisha.
Dunia imebadilika sanaaaa haiitaji pcm/pcbMliochaguliwa combination Tajwa hapo juu Za science PCM(Engineering) na PCB(Doctor, Pharmacy etc) mjipange ,hazihitaji Ubishoo/usistaduuh..hata kidogo lasivyo mtarudi CBE miaka miwili ijayo kila la kheri..
Absolutely hasa pcm/pcb za bongoDunia imebadilika sanaaaa haiitaji pcm/pcb
Jipe moyo Kuna Dp world , petroleum and gas kusini huko ,plus hospital za kutosha Tena za Rufaa😅😅Dunia imebadilika sanaaaa haiitaji pcm/pcb
Passport iko kwenye system na vyeti vya kitaaluma viko kwenye system. Hayo makaratasi umekabidhiwa tu utembee nayo ila data zako zote wanazo hivo huwezi muuzia mtu makaratasi matupuNajua haihusiani Nauza hati yangu ya kusafiria na vyeti vyangu vya kitaaluma
Kosa gani nimefanya sijui hapo wakati mimi mwenyewe nilitakiwa nisukumizwe kwenye udaktari. Nilikula kona moja na sijawahi jutiaUdaktari ni miaka 5 na internship mwaka mmoja sheikh