Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kumsahau Jagii Sharufa1. Tchatcho Mbala
2. Kiki Toure
3. Dikembe Mutombo
4. Didi Kunuani
5. Kongolu Mobutu (SADAM HUSSEIN)
6. Jose Kongolo
7. Kayembe ChezNtemba
8. Shebedee Tabu Fatu
9. Erick Mandala
10. Adam Bombole
11. Jonii Mayala
12. Zakarida Babasu
13. Freddy Nelson
Huyu mwamba Eric Mandala ameimbwa sana kwenye ngoma za Congo pamoja na hao wajuba wengine ndo mapedeshee wa Congo wa enzi hizo hadi sasa bado wanasumbua
Hao ni patrol wamevuka upedeshee1. Tchatcho Mbala
2. Kiki Toure
3. Dikembe Mutombo
4. Didi Kunuani
5. Kongolu Mobutu (SADAM HUSSEIN)
6. Jose Kongolo
7. Kayembe ChezNtemba
8. Shebedee Tabu Fatu
9. Erick Mandala
10. Adam Bombole
11. Jonii Mayala
12. Zakarida Babasu
13. Freddy Nelson
Huyu mwamba Eric Mandala ameimbwa sana kwenye ngoma za Congo pamoja na hao wajuba wengine ndo mapedeshee wa Congo wa enzi hizo hadi sasa bado wanasumbua
Ni suala la muda tu kama sio kweli atazeeka unamuonaSafi sanaaa! Siku atakayokamatwa Director J nitafurahi.
Ma slay wengi ndio wanawependa jamaa wa hivyoKama wewe ni mfuatiliaji wa muziki wa Rhumba hasa kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, bila shaka utakuwa umewahi kumsikia sana ‘pedeshee’ Eric Mandala.
Lakini je, unamjua huyo Mandala ni nani na ana ushawishi kiasi gani mpaka aimbwe na mastaa wa rhumba na dansi ndani na nje ya DRC?
Pedeshee huyo ambaye jina lake kamili ni Eric Mandala Kinzenga, ni mfanyabiashara mkubwa mwenye asili ya DRC ambaye anamiliki mkwanja wa ‘kufa mtu’.
Sasa habari mpya ni kwamba mwamba amekamatwa akiwa na dawa za kulevya, Cocaine kilo 200! Kama hesabu zinakupiga chenga, kilo 200 ni sawa na uzito wa mifuko minne ya cement.
Ilikuwaje? Unaambiwa jamaa alikuwa anasafirisha mzigo huo kutoka Ecuador ambako mzigo ulipakiwa kwenye meli mpaka Bandari ya Algeciras nchini Hispania akiwa na lengo la kuuvusha mpaka Morocco lakini kumbe ‘wazee’ wakawa wameshatonywa.
Mamlaka ya kuzuia dawa za kulevya nchini Hispania (DEA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Kuzuia Uhalifu Hispania (Udyco) wakamuwekea mtego uliofanikisha kumnasa akiwa ameubeba mzigo huo kwenye gari.
Pamoja naye, amekamatwa mwanamke mmoja wa Colombia waliyekuwa pamoja na walipopekuliwa, walikutwa na Cocaine kilo 200 pamoja na fedha taslimu dola 50,000 za Marekani ambazo ni sawa na shilingi milioni 127 za Kibongo.
Chanzo: Global Publishers
Ndo kwaaaanza safari anaianza,...stay tuned....hizo biashara ni watu wazito❗Mwendo ameumaliza.
The Prince!!The formula: The end justifies the means...!!!!
Fred Nelson ameimbwa na Extra Musica1. Tchatcho Mbala
2. Kiki Toure
3. Dikembe Mutombo
4. Didi Kunuani
5. Kongolu Mobutu (SADAM HUSSEIN)
6. Jose Kongolo
7. Kayembe ChezNtemba
8. Shebedee Tabu Fatu
9. Erick Mandala
10. Adam Bombole
11. Jonii Mayala
12. Zakarida Babasu
13. Freddy Nelson
Huyu mwamba Eric Mandala ameimbwa sana kwenye ngoma za Congo pamoja na hao wajuba wengine ndo mapedeshee wa Congo wa enzi hizo hadi sasa bado wanasumbua
Kwa Spain ninayoijua mimi hiyo kesi ni hotcake tu. Sana sana unakula mvua 4 ukitoka maisha yanaendelea.
Bahati yake ni Hispania.Mamlaka ya kuzuia dawa za kulevya nchini Hispania (DEA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Kuzuia Uhalifu Hispania (Udyco) wakamuwekea mtego uliofanikisha kumnasa akiwa ameubeba mzigo huo kwenye gari.
Kwamba alikuwa hajui jamaa anapush mzigo🤣🤣🤣🤣Fally baada ya kusikia mwamba kadakwa na sembe akakimbilia insta kufuta picha zote alizopiga akiwa na Eric mandala
Usimsahau Hemedi Bakayoko. Ingawa sasa ni marehemu. Alikua waziri mkuu wa Ivory Coast.1. Tchatcho Mbala
2. Kiki Toure
3. Dikembe Mutombo
4. Didi Kunuani
5. Kongolu Mobutu (SADAM HUSSEIN)
6. Jose Kongolo
7. Kayembe ChezNtemba
8. Shebedee Tabu Fatu
9. Erick Mandala
10. Adam Bombole
11. Jonii Mayala
12. Zakarida Babasu
13. Freddy Nelson
Huyu mwamba Eric Mandala ameimbwa sana kwenye ngoma za Congo pamoja na hao wajuba wengine ndo mapedeshee wa Congo wa enzi hizo hadi sasa bado wanasumbua
Kwann ufurahi?Safi sanaaa! Siku atakayokamatwa Director J nitafurahi.
Hata huko mbele ni mipango tu, kwamfano hao wazee wa hispania wakiambiwa kuna migodi ipo kongo wafanye exchange na huyo mwamba, unahisi watakataaIngekuwa Africa sawa, sio mbele