Pedeshee Erick Mandala akamatwa na kilo 200 za Cocaine


Jose Kongolo FBI ni mwanamke na anamiliki hoteli kubwa Sana kule Ufaransa.
Wasanii wakienda kule Ufaransa yeye ndo huwapatia homage pamoja na mambo mengine
 
Mkuu kula like yangu kwanza. safi. umenikumbusha mengi sana.
 

Usimsahau Hemedi Bakayoko. Ingawa sasa ni marehemu. Alikua waziri mkuu wa Ivory Coast.
Nilitaka nimtaje huyu pamoja na Teodoro Nguema Obiang raisi wa Gabon
 
Tshilamwina umemsahau
 
Naskia mwamba yuko mtaani anakula maisha km kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…