Angekamatiwa Morocco ndio ingekuwa analia, ila spain washikaji wengi.....
😁😁😁hope na ufaransa ni the sameEspaña bila mazabe nchi haiendi, ile nchi mpaka viongozi wa serikali ni magumashi. Spain isn't for the beginners, ndio maana wanaija huwatoi pale
😁😁😁hope na ufaransa ni the same
1. Tchatcho Mbala
2. Kiki Toure
3. Dikembe Mutombo
4. Didi Kunuani
5. Kongolu Mobutu (SADAM HUSSEIN)
6. Jose Kongolo
7. Kayembe ChezNtemba
8. Shebedee Tabu Fatu
9. Erick Mandala
10. Adam Bombole
11. Jonii Mayala
12. Zakarida Babasu
13. Freddy Nelson
Huyu mwamba Eric Mandala ameimbwa sana kwenye ngoma za Congo pamoja na hao wajuba wengine ndo mapedeshee wa Congo wa enzi hizo hadi sasa bado wanasumbua
Mkuu kula like yangu kwanza. safi. umenikumbusha mengi sana.1. Tchatcho Mbala
2. Kiki Toure
3. Dikembe Mutombo
4. Didi Kunuani
5. Kongolu Mobutu (SADAM HUSSEIN)
6. Jose Kongolo
7. Kayembe ChezNtemba
8. Shebedee Tabu Fatu
9. Erick Mandala
10. Adam Bombole
11. Jonii Mayala
12. Zakarida Babasu
13. Freddy Nelson
Huyu mwamba Eric Mandala ameimbwa sana kwenye ngoma za Congo pamoja na hao wajuba wengine ndo mapedeshee wa Congo wa enzi hizo hadi sasa bado wanasumbua
Rizi_mokoThe Prince!!
Mkuu kula like yangu kwanza. safi. umenikumbusha mengi sana.
1. Tchatcho Mbala
2. Kiki Toure
3. Dikembe Mutombo
4. Didi Kunuani
5. Kongolu Mobutu (SADAM HUSSEIN)
6. Jose Kongolo
7. Kayembe ChezNtemba
8. Shebedee Tabu Fatu
9. Erick Mandala
10. Adam Bombole
11. Jonii Mayala
12. Zakarida Babasu
13. Freddy Nelson
Huyu mwamba Eric Mandala ameimbwa sana kwenye ngoma za Congo pamoja na hao wajuba wengine ndo mapedeshee wa Congo wa enzi hizo hadi sasa bado wanasumbua
Nilitaka nimtaje huyu pamoja na Teodoro Nguema Obiang raisi wa GabonUsimsahau Hemedi Bakayoko. Ingawa sasa ni marehemu. Alikua waziri mkuu wa Ivory Coast.
Tshilamwina umemsahau1. Tchatcho Mbala
2. Kiki Toure
3. Dikembe Mutombo
4. Didi Kunuani
5. Kongolu Mobutu (SADAM HUSSEIN)
6. Jose Kongolo
7. Kayembe ChezNtemba
8. Shebedee Tabu Fatu
9. Erick Mandala
10. Adam Bombole
11. Jonii Mayala
12. Zakarida Babasu
13. Freddy Nelson
Huyu mwamba Eric Mandala ameimbwa sana kwenye ngoma za Congo pamoja na hao wajuba wengine ndo mapedeshee wa Congo wa enzi hizo hadi sasa bado wanasumbua
Mbele ya wapi, Drug Lords wapo kama wote ila hawaendi front kama alivyojichanganya huyo Mcongo.Ingekuwa Africa sawa, sio mbele
Anaweza kupingwa minne akakaa mwaka au miwili, remission + parole sometimes hata mwaka unaweza usifike. 'Wasafiri' wananielewa.Kwa Spain ninayoijua mimi hiyo kesi ni hotcake tu. Sana sana unakula mvua 4 ukitoka maisha yanaendelea.
Ulitaka kilo 200 awaachie watu tena spain ili apigwe afu hao wa ecuador wamle kichwa, hapo kilichotokea ni usaliti tuu au kuna mwezio kaamua kumtoa sokoni maana police wanasema walipata intelMbele ya wapi, Drug Lords wapo kama wote ila hawaendi front kama alivyojichanganya huyo Mcongo.
Naskia mwamba yuko mtaani anakula maisha km kawaida.Kama wewe ni mfuatiliaji wa muziki wa Rhumba hasa kutoka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, bila shaka utakuwa umewahi kumsikia sana ‘pedeshee’ Eric Mandala.
Lakini je, unamjua huyo Mandala ni nani na ana ushawishi kiasi gani mpaka aimbwe na mastaa wa rhumba na dansi ndani na nje ya DRC?
Pedeshee huyo ambaye jina lake kamili ni Eric Mandala Kinzenga, ni mfanyabiashara mkubwa mwenye asili ya DRC ambaye anamiliki mkwanja wa ‘kufa mtu’.
Sasa habari mpya ni kwamba mwamba amekamatwa akiwa na dawa za kulevya, Cocaine kilo 200! Kama hesabu zinakupiga chenga, kilo 200 ni sawa na uzito wa mifuko minne ya cement.
Ilikuwaje? Unaambiwa jamaa alikuwa anasafirisha mzigo huo kutoka Ecuador ambako mzigo ulipakiwa kwenye meli mpaka Bandari ya Algeciras nchini Hispania akiwa na lengo la kuuvusha mpaka Morocco lakini kumbe ‘wazee’ wakawa wameshatonywa.
Mamlaka ya kuzuia dawa za kulevya nchini Hispania (DEA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Kuzuia Uhalifu Hispania (Udyco) wakamuwekea mtego uliofanikisha kumnasa akiwa ameubeba mzigo huo kwenye gari.
Pamoja naye, amekamatwa mwanamke mmoja wa Colombia waliyekuwa pamoja na walipopekuliwa, walikutwa na Cocaine kilo 200 pamoja na fedha taslimu dola 50,000 za Marekani ambazo ni sawa na shilingi milioni 127 za Kibongo.
Chanzo: Global Publishers
kiki toure na Mobutu, Hawa pia ni moto wa kupotea mbaliPesa za dhuluma zinatia laana kizazi chako