Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Binamu mjiandae jaman na sare uko waambie mtaa wa pili kibao kata kinakuja nami ntakuwepo kama mpiga pichaa, kigodor mpaka hasubuh no kulala na mimi nitahairisha safar ya USA kwa ajili ya kigodor
Hahaha binamu kwa za uso tu sikuwezi, eti na wewe huendi kwenye red carpet kisa kibao kata. Hapa nishaanza mazoezi ya kulainisha nyonga binamu. Yani siku ya kibao kata ntazungushajee hadi mtahisi me ndo kanga moko mnipe na risasi ya K kabisaa kwikwikwi
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums