Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Binamu mjiandae jaman na sare uko waambie mtaa wa pili kibao kata kinakuja nami ntakuwepo kama mpiga pichaa, kigodor mpaka hasubuh no kulala na mimi nitahairisha safar ya USA kwa ajili ya kigodor
Watu wamekuwa mahayawani kuzidi hayawani wenyewe.
Hahaha binamu kwa za uso tu sikuwezi, eti na wewe huendi kwenye red carpet kisa kibao kata. Hapa nishaanza mazoezi ya kulainisha nyonga binamu. Yani siku ya kibao kata ntazungushajee hadi mtahisi me ndo kanga moko mnipe na risasi ya K kabisaa kwikwikwi
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Uwiiii anza kabisa mazoezi binamu ya kulainisha kiuno, yani nataka siku hiyo msiniangushe binamu si unajua iko kibao kata kitakuwa cha funga mwaka? Maana na mimi siendi USA mchezo? Usalama upo hakuna wa kuwapiga risasi, kwanza tutawachukua akina matumbo na Matola lazima wakae ulinzi tunao wa kutosha binamu.
yaani wanazidiwa na wanyama kwenye utashi
Mmh jaman binamu umuonei huruma mwenzio na ndoa za siku izi zilivyokuwa ngumu?
Hahaha binamu kwa za uso tu sikuwezi, eti na wewe huendi kwenye red carpet kisa kibao kata. Hapa nishaanza mazoezi ya kulainisha nyonga binamu. Yani siku ya kibao kata ntazungushajee hadi mtahisi me ndo kanga moko mnipe na risasi ya K kabisaa kwikwikwi
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Uwiiii anza kabisa mazoezi binamu ya kulainisha kiuno, yani nataka siku hiyo msiniangushe binamu si unajua iko kibao kata kitakuwa cha funga mwaka? Maana na mimi siendi USA mchezo? Usalama upo hakuna wa kuwapiga risasi, kwanza tutawachukua akina matumbo na Matola lazima wakae ulinzi tunao wa kutosha binamu.
nimeona picha yake moja ya zamani kijana alikua maji ya kunde
sa hivi nae ni cheupe dawa............................
Kilainishe mwenzangu maana siku hizi wanaume wanatushinda kwa kukata nyonga mpaka mtu unabaki mdomo wazi
Hivi kweli ni akili gani ya kubadili matumizi ya viungo namna hii?
mungu nusuru vizazi vyetu yani sijui hata wanawaza nini!
Kilainishe mwenzangu maana siku hizi wanaume wanatushinda kwa kukata nyonga mpaka mtu unabaki mdomo wazi
Hayo hayakuhusu binamu, team jamii forum tunaenda kikazi tu mengine tunawaachie wenyewe mabalaa yao, yani nataka binamu ufanye mazoezi ya kufa mtu ubinuke na kumanua kama aunty ezekiel