Pele kuzikwa ghorofani

Pele kuzikwa ghorofani

Dah ni mbunge gani huyo naona hiyo habari sikuipata

Nadhani ni tofauti za lifestyle kati ya sisi na wenzetu kuhusu ufugaji wa domestic animals

Huko Nje kuna mpaka hospitali za wanyama na madaktari wenye skills za kutosha na wanapiga hela ndefu tu


Africa sijawahi kuona hospitali ya wanyama zaidi ya madaktari tu wanaozunguka kutibu wanyama
Nursery School kama sikosei
 
Siyo tunaenda wapi. Ukishakufa habari yako ndiyo imeisha hivyo na hauna tena faida kwenye hii dunia na unakuwa uchafu.
Thamani ya mtu akiwa hai tu. Miji inabadilika, kabla ya dar kuwa jiji utakuta kariakoo kuna makaburi. Sasa wayaache kisa wafu wamelala? Ndiyo maana sehemu nyingine wanachoma moto
Swadakta
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Duh mbona hatari hiyo,watu wanafuga kabisa hao ndege kibiashara

Na hao eti watalalamika biashara ngumu watu wakiwa hawafi [emoji28][emoji28]
Ni sawa na wauza sanda, watengezaji/wauza majeneza na watoa huduma za mazishi(burial services).
 
Back
Top Bottom