Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Ok nothing I understandMrange wa kabange.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok nothing I understandMrange wa kabange.
Mimi ndiye mchezaji aliyetamba miaka ya nyuma aitwaye mrage wa kabange.Ok nothing I understand
Ulicheza timu ganiMimi ndiye mchezaji aliyetamba miaka ya nyuma aitwaye mrage wa kabange.
ngara23 msaidie mkuu hapa apate kunijua vyema.
Mkuu nakupa assignment alafu unataka nikujibu mwenyewe?Ulicheza timu gani
SawaMkuu nakupa assignment alafu unataka nikujibu mwenyewe?
ngara23 anakuja, subiri kidogo.Ulicheza timu gani
Eeh alichezewaje nielezeeUlicheza au ulichezewa
Okngara23 anakuja, subiri kidogo.
Alimtembelea pdidy kwenye jumba lake la kifahariEeh alichezewaje nielezee
Ooh! Ndo akawa maarufu?Alimtembelea pdidy kwenye jumba lake la kifahari
Ndo maana yakeOoh! Ndo akawa maarufu?
Hakika mkuuOoh! Ndo akawa maarufu?
Kumbe ni mtu mkubwa kwa hisani ya puff daddyHakika mkuu
We siunamuona alivo ⭐ kama Burna boy na diamond platnimuz
Yes lile jumba la pdidy ameishi mle si chini ya miezi 3Kumbe ni mtu mkubwa kwa hisani ya puff daddy
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!Yes lile jumba la pdidy ameishi mle si chini ya miezi 3
Hakika mkuu
We siunamuona alivo ⭐ kama Burna boy na diamond platnimuz
Wakati Mimi nasakata kabumbu nyinyi bado mbegu ndiyo maana mnashangaa mnapolisikia jina langu😂🤣Kumbe ni mtu mkubwa kwa hisani ya puff daddy
Usitilie shaka umaarufu wakeDuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!
We sema wazi kuwa ulisakatwa kapumbuWakati Mimi nasakata kabumbu nyinyi bado mbegu ndiyo maana mnashangaa mnapolisikia jina langu😂🤣