Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati Mimi nasakata kabumbu nyinyi o mbegu ndiyo
Sasa wachezaji wa zamani ni wengi tu na wanajulikana lakini huyo hajulikaniWakati Mimi nasakata kabumbu nyinyi bado mbegu ndiyo maana mnashangaa mnapolisikia jina langu😂🤣
Kwenye soka nilikuwa sishikiki, siyo kama vichezaji vyenu vya siku hizi mnavisifia hadi vichwa vinajaa maji.We sema wazi kuwa ulisakatwa kapumbu
Hapana wala sitilii shakaUsitilie shaka umaarufu wake
Hebu taja wale maarufu tuone kama jina langu halitatokea.Sasa wachezaji wa zamani ni wengi tu na wanajulikana lakini huyo hajulikani
Sawa legend kutoka ukoloniKwenye soka nilikuwa sishikiki, siyo kama vichezaji vyenu vya siku hizi mnavisifia hadi vichwa vinajaa maji.
Alipata mafanikio ganiJamaa alikuwa WA Moto Sana uwanjani
Pele Maradona Romario Ronaldinho Zico Zidane De Lima....Hebu taja wale maarufu tuone kama jina langu halitatokea.
Usitumie vipien isiyo na nguvu weka bando ujionee jinsi CV yangu ilivyotapakaa mitandaoniAlipata mafanikio gani
Wa hapa TZ.Pele Maradona Romario Ronaldinho Zico Zidane De Lima....
Nothing but boastingUsitumie vipien isiyo na nguvu weka bando ujionee jinsi CV yangu ilivyotapakaa mitandaoni
HahahaNothing but boasting
Lunyamila pawasa mwameja jembe ulaya manaras mogella ngassa nsajigwaWa hapa TZ.
HeheheHahaha
SaaaaaaaanaKutoka Pele Hadi Burna Boy ama kweli soka linaenda kasi saaana.
Mrage Niko wapiLunyamila pawasa mwameja jembe ulaya manaras mogella ngassa nsajigw
SikufahamuMrage Niko wapi
Basi hamna noma mkuu, najua binadamu hawataki mafanikio ya wenzao.Sikufahamu
Sasa unalazimisha wakati hata hilo jina sijawahi kulisikia 😃😀😄Basi hamna noma mkuu, najua binadamu hawataki mafanikio ya wenzao.
Nabii hasifiki kwao.
Mkuu we unakijua kizazi Cha Cha akina Musa Hasan mgosi kuja hukuSasa unalazimisha wakati hata hilo jina sijawahi kulisikia 😃😀😄