PELE: No doubt, Best Player in the World is Cristiano Ronaldo

PELE: No doubt, Best Player in the World is Cristiano Ronaldo

Mtu aneitwa Edson Arantes Dos Nascimento Almaarufu Pele Yupo kwenye Paranoia Kubwa Mno kwa Sababu ya Lionel Messi Hofu yake kubwa ni kwamba Messi Amechukua kiti Alichokikalia kwa Muda Mrefu yaani Soka Kwahio anajaribu kutaka kum crash ili aendelee kukalia kiti Hicho!
Shame on you.....umezeeka Vibya!
 
0698ee7357aa0d5af528d6754be2616f.png
2c0f6f64539f48b211eaab0cecb35511.jpg
4ae8af49154be81f21efe47583cf302d.jpg
ff03134bc3c8b27fab9b5b79632bfe0a.jpg
256d11c1b66d2f62b9f03fc1049c42b1.jpg
 
HUYO PELLE KILAZA, HADI LEO HAJUI KUWA MESSI NDO MCHEZAJI BORA
ronaldo anajua mipira yote,wa timu na binfsi,messi ni team player tu,mfumo ukimtenga humuoni,ndomana alinuna ibrahimovic alipopewa jukumu la kumaliza,akatishia kuondoka,ikabidi shifo ibrahimovic aondoke barca
 
Mtu aneitwa Edson Arantes Dos Nascimento Almaarufu Pele Yupo kwenye Paranoia Kubwa Mno kwa Sababu ya Lionel Messi Hofu yake kubwa ni kwamba Messi Amechukua kiti Alichokikalia kwa Muda Mrefu yaani Soka Kwahio anajaribu kutaka kum crash ili aendelee kukalia kiti Hicho!
Shame on you.....umezeeka Vibya!


Wewe Jamaa mbona mbishi sana...maana nachokiona unaforce watu wakubali unachokiamini kitu ambacho ni kigumu maana tunatofautiana mawazo, ebu ona hadi ALBA anamwita Genius RONALDO Over MESSI.

IMG_201706171_115907.jpg
 
Wewe Jamaa mbona mbishi sana...maana nachokiona unaforce watu wakubali unachokiamini kitu ambacho ni kigumu maana tunatofautiana mawazo, ebu ona hadi ALBA anamwita Genius RONALDO Over MESSI.

View attachment 527522
Lakini ukumbuke anasema Messi is Extraordinary...Refer Physics kaka Einstein was Genius but Newton was Extraordinary....kama Hujui Extraordinary is More than Genius ma Geniuos wapo wengi sana!
 
Teh
pele kafanya makubwa alipo kua anasakata kabumbu.
Hata hivyo haimaanishi opinion yake ndio final.
Opinions are assholes,everyone has one.
 
Yes Ronaldo ni mzuri kuliko Messi ndio maana hata Morocco wanampenda. Lakini kwenye soka, Lionel 'Leo' Messi a.k.a Messiah ndio mchezaji bora. Kama unabisha, muulize Renata kitu wamefanywa na Messi Bernabeu mbele ya mashabiki wao.
 
Teh
pele kafanya makubwa alipo kua anasakata kabumbu.
Hata hivyo haimaanishi opinion yake ndio final.
Opinions are assholes,everyone has one.
Fact afu Mzee anazeeka Vibayaa yaani Hasa kwa Huu Msimu Messi amekuwa Bora sana Kuliko Ronaldo Ukiachana Na Trophies walizoshindaa!
 
Mtu aneitwa Edson Arantes Dos Nascimento Almaarufu Pele Yupo kwenye Paranoia Kubwa Mno kwa Sababu ya Lionel Messi Hofu yake kubwa ni kwamba Messi Amechukua kiti Alichokikalia kwa Muda Mrefu yaani Soka Kwahio anajaribu kutaka kum crash ili aendelee kukalia kiti Hicho!
Shame on you.....umezeeka Vibya!
Mawazo ya kiafrika hayo ....wivu wivu wa namna hiyo kule hamna ....jenga hoja iliyokamilika

NB; I'm leo fan
 
Mtu aneitwa Edson Arantes Dos Nascimento Almaarufu Pele Yupo kwenye Paranoia Kubwa Mno kwa Sababu ya Lionel Messi Hofu yake kubwa ni kwamba Messi Amechukua kiti Alichokikalia kwa Muda Mrefu yaani Soka Kwahio anajaribu kutaka kum crash ili aendelee kukalia kiti Hicho!
Shame on you.....umezeeka Vibya!
Kaka kweli una akili timamu??? Messi amzidi PELE???? PELE KASHINDA MAKOMBE MATATU YA KOMBE LA DUNIA.. MESSI HATA COPA AMERICA HANA.. YAAN WEWE NI BOYA NA HUFAI HATA KUSHABIKIA MPIRA MPUUZI WEWE..
 
Back
Top Bottom