nifa,nataka kuoaAsiyekubali Ronaldo ni zaidi ya Messi...
1.Haujui mpira
2.Mahaba/mihemuko inamuongoza.Huyu hawezi kusema tofauti na kilichomo ndani yake (mahaba)
ronaldo anajua mipira yote,wa timu na binfsi,messi ni team player tu,mfumo ukimtenga humuoni,ndomana alinuna ibrahimovic alipopewa jukumu la kumaliza,akatishia kuondoka,ikabidi shifo ibrahimovic aondoke barcaHUYO PELLE KILAZA, HADI LEO HAJUI KUWA MESSI NDO MCHEZAJI BORA
Mtu aneitwa Edson Arantes Dos Nascimento Almaarufu Pele Yupo kwenye Paranoia Kubwa Mno kwa Sababu ya Lionel Messi Hofu yake kubwa ni kwamba Messi Amechukua kiti Alichokikalia kwa Muda Mrefu yaani Soka Kwahio anajaribu kutaka kum crash ili aendelee kukalia kiti Hicho!
Shame on you.....umezeeka Vibya!
Shetani ana watu wengi wanaomu admire kuliko wanavyo muadmire MUNGU.All Soccer Legends admired him...[HASHTAG]#NoEffect[/HASHTAG] if you rejected him.
View attachment 527282
Lakini ukumbuke anasema Messi is Extraordinary...Refer Physics kaka Einstein was Genius but Newton was Extraordinary....kama Hujui Extraordinary is More than Genius ma Geniuos wapo wengi sana!Wewe Jamaa mbona mbishi sana...maana nachokiona unaforce watu wakubali unachokiamini kitu ambacho ni kigumu maana tunatofautiana mawazo, ebu ona hadi ALBA anamwita Genius RONALDO Over MESSI.
View attachment 527522
Fact afu Mzee anazeeka Vibayaa yaani Hasa kwa Huu Msimu Messi amekuwa Bora sana Kuliko Ronaldo Ukiachana Na Trophies walizoshindaa!Teh
pele kafanya makubwa alipo kua anasakata kabumbu.
Hata hivyo haimaanishi opinion yake ndio final.
Opinions are assholes,everyone has one.
Mawazo ya kiafrika hayo ....wivu wivu wa namna hiyo kule hamna ....jenga hoja iliyokamilikaMtu aneitwa Edson Arantes Dos Nascimento Almaarufu Pele Yupo kwenye Paranoia Kubwa Mno kwa Sababu ya Lionel Messi Hofu yake kubwa ni kwamba Messi Amechukua kiti Alichokikalia kwa Muda Mrefu yaani Soka Kwahio anajaribu kutaka kum crash ili aendelee kukalia kiti Hicho!
Shame on you.....umezeeka Vibya!
Kaka kweli una akili timamu??? Messi amzidi PELE???? PELE KASHINDA MAKOMBE MATATU YA KOMBE LA DUNIA.. MESSI HATA COPA AMERICA HANA.. YAAN WEWE NI BOYA NA HUFAI HATA KUSHABIKIA MPIRA MPUUZI WEWE..Mtu aneitwa Edson Arantes Dos Nascimento Almaarufu Pele Yupo kwenye Paranoia Kubwa Mno kwa Sababu ya Lionel Messi Hofu yake kubwa ni kwamba Messi Amechukua kiti Alichokikalia kwa Muda Mrefu yaani Soka Kwahio anajaribu kutaka kum crash ili aendelee kukalia kiti Hicho!
Shame on you.....umezeeka Vibya!