Hujui saumu inaanza saa ngapi ndo maana unaongea HEWA, saumu huna ujuzi nayoMtu anakula ugali na nyamaa saa kumi asubuhi na mazaga kibaoo. Halafu saa nne asubuhi anasema saumu Kali.
Una uhakika unacho Kinena?Hujui saumu inaanza saa ngapi ndo maana unaongea HEWA, saumu huna ujuzi nayo
Sana tu.. Ungekuwa unajua usingestaajabu kula daku saa kumi, sisi tuna taratibu zetu usituchanganyie imani yako ya kufunga siku 40 ambayo imekushinda hapa..!Una uhakika unacho Kinena?
hii dini sio ya kimungu kabisa, huu ni ushetani. nawaasa watu wote waikimbie hii dini wasijejiunga nayo kabisa.