PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan

PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan

Out of context! Issue hapa ni picha isiyo na ushahidi wowote nI ya nini lakini watu mnaanza kashifa na shouting zisizo na kichwa wala miguu! By the way, let's assume mnachosema ndicho kilichotokea; una uhakika gani ikiwa huyo anaepigwa ni Mkristo?!! By the way, huko makanisani nyie huwa hamuwatengagi watu nyinyi? Hivi kuna adhabu kubwa ya kiimani kama kumzuia mtu kufanya ibada? Where do you get that authority ya kumuona huyu ametenda na hana ruhusa ya kufanya ibada hapa:
View attachment 355622
Halafu unadai eti wakati upo Oman mlikuwa mnafungiwa cjui wapi cjui! Ikiwa Wakristo wengine wanaruhusiwa kwanini iwe nyinyi? Inafahamika ni kawaida sana madhehebu ya hovyo hovyo kuibuka na kujiita Wakristo na hao hata Tanzania hawaruhusiwi! With TRUE Christians; prove otherwise or else below is a known FACTS:
View attachment 355665
View attachment 355666
Oman Churches in Oman

Open the link to find more churches in Oman...

But you know what: Ningekushauri kuwa smart at least uweze kutofautisha kati ya matendo yanayofanywana Mwislam au Waislam na Uislamu! Ni aibu iliyopitiliza mtu kudiriki kusema eti ukitangaza Ukristo Zanzibar unauawa... unafkia kuitaja hadi Somalia nchi isiyo na serikali ili mradi tu kuwakilisha agenda yako!!

Na kama unadhani hao Wakristo wanaruhusu tu Uislamu; hebu pitia hapa chini;
View attachment 355668
View attachment 355669

So, stop pretending kwamba eti Wakristo ndo wanavumilia wengine! The problem reference yenu ni Ulaya na Marekani ambako majority kama sio zote ni secular states na ndio hata hayo maisha yao yenyewe ni total contradiction with Christianity!
Aksante kwa maneno yako na uelewa wako na watu kama wewe wenye uelewa mlitakiwa muiongoze hii hiyo jamii yenu. Si hawa wanaojichukulia sheria mikononi (nobody is perfect sir)

AKSANTE MJADALA MZURI
 
Habari wanabodi.

Huyu ndg amenusurika kifo baada ya kukutwa akila chakula mchana wakati ndg zetu katika Imani Waislam wakiwa katika mfungo.

Walitokea wasamaria wema wakaweza kumnusuru maana huenda angeweza kupoteza Maisha.

Hii imetokea hapa Pemba.

My take : Ndugu zetu Waislam tujaribu kuwa wavumilivu katika wakati huu wa mfungo, sidhani kama inaruhusiwa kutoa HUKUMU kwa jambo lolote.

Nawatakia swaumu njema.

uploadfromtaptalk1465626641584.jpg
 
Du hapa naona anayeabudiwa ni mungu njaa binadamu tunavyohukumiana je Mungu angekuwa na yeye anatuhukumu kimwendokasi kama waliofanya hawa duniani tusingebaki
 
Hii ni mbaya sana. Kama wewe umefunga, mtu mwingine kula kunazuiaje swaumu yako? Si ndio kipimo kizuri kuwa japo waona chakula, lakini imani yako inashinda tamaa? Kuna dini/imani kweli hapo penye mtu kupigwa na walio ktk mfungo kwa 'kosa' la kula? Tunajua kwa nini huyo mtu kala chakula hadharani mwezi wa mfungo? Je kama amekula sababu ya ugonjwa(vidonge,vidonda vya tumbo), lililofanyika ni sahihi?

Kuna taarifa pia ya makahaba kupigwa bakora na maustaadh. Hapa pia pana kasoro. Unatoka vp nyumbani kwako na swaumu yako hadi kinondoni au sinza makaburini kwenda kuwapiga wanaojiuza? Ni haki mtu apigwe kwa kuwa tu anajiuza? Je ni kweli kuwa kila anayefunga hatendi dhambi siku nzima?

Watu maskini tunasumbuka sana na dini. Haya mambo huwezi kuyasikia wala kuona katika jamii za kisomi na zilizoendelea. Dini ni umaskini tu. Maskini mpe dini imfariji.
 
Hii picha huko Zanzibar imenisikitisha sana kwa kweli, huyo kijana anaadhibiwa kwa kuwa tu amekutwa akila wakati wa mfungo wa ramadhani!
Sasa kwa nini mnafanya hivi? Nilifikiri Allah wenuni mkubwa na anaona kila kitu na kila mtu, na kwamba kila mtu atapewa hukumu yake kulingana na anavyoishi sasa ni kwa nini mnalazimisha watu waamini dini zenu?

Kama mimi sitaki kufunga au labda naumwa ni kwa nini ni tatizo lako? Acheni hizo bhana, mmeniboa sana kwa kweli!
Kijana wa watu akipigwa Zanzibar kisa alikula wakati wa Mfungo!
ZENJI.jpg

seriously???????
 
Aksante kwa maneno yako na uelewa wako na watu kama wewe wenye uelewa mlitakiwa muiongoze hii hiyo jamii yenu. Si hawa wanaojichukulia sheria mikononi (nobody is perfect sir)

AKSANTE MJADALA MZURI
Na wewe kawahubirie hao wenzio wanachoma moto vibaka na watoto kwa ajili ya wizi wa mifukoni. WAMEPATA WAPI HAKI YA KUCHUKUA SHERIA MKONONI
 
Dini inapochangamana na wahuni huzaliwa kitu hatari sana ambacho ni ushetani wenye jina la dini
 
Back
Top Bottom