PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan

PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan

Hii picha huko Zanzibar imenisikitisha sana kwa kweli, huyo kijana anaadhibiwa kwa kuwa tu amekutwa akila wakati wa mfungo wa ramadhani!
Sasa kwa nini mnafanya hivi? Nilifikiri Allah wenu ni mkubwa na anaona kila kitu na kila mtu, na kwamba kila mtu atapewa hukumu yake kulingana na anavyoishi sasa ni kwa nini mnalazimisha watu waamini dini zenu?

Kama mimi sitaki kufunga au labda naumwa ni kwa nini ni tatizo lako? Acheni hizo bhana, mmeniboa sana kwa kweli!
Kijana wa watu akipigwa Zanzibar kisa alikula wakati wa Mfungo!
ZENJI.jpg
Kwa pande Barborsa tunatembea pamoja. Lakini pande ya Lumumba hapana. Hawa jamaa wakikaa miongoni mwenu watataka wawe huru kueneza imani yao!!! Lakini kinyume chake wao hawako tayari kuvumilia imani tofauti kuenezwa miongoni mwao.

Mtu aachwe na imani yake hii ya lazima inatupeleka wapi jamani ?????!!!!

Nikitenda kinyume na mapenzi ya Mungu ni nafsi yangu inayoangamia siku ya kiama sasa hawa jamaa wanaomsaidia Mungu kufanya hukumu wao wa haki gani zaidi ya wanaemuadhibu ????!!

TUWE NA UHURU WA KUAMINI N.A. KUABUDU
Kama nyie mnafunga na hamuweki mipaka ni nyie, sisi tunaweka mipaka yetu ukikengeuka unakula bakora tu hatutaki mchezo sie!!
 
Kwa pande Barborsa tunatembea pamoja. Lakini pande ya Lumumba hapana. Hawa jamaa wakikaa miongoni mwenu watataka wawe huru kueneza imani yao!!! Lakini kinyume chake wao hawako tayari kuvumilia imani tofauti kuenezwa miongoni mwao.

Mtu aachwe na imani yake hii ya lazima inatupeleka wapi jamani ?????!!!!

Nikitenda kinyume na mapenzi ya Mungu ni nafsi yangu inayoangamia siku ya kiama sasa hawa jamaa wanaomsaidia Mungu kufanya hukumu wao wa haki gani zaidi ya wanaemuadhibu ????!!

TUWE NA UHURU WA KUAMINI N.A. KUABUDU
Kwahiyo yote hayo ni kwa ajili ya hiyo picha hapo juu au ulikuwa na dukuduku tangu zamani na huwa una-force kulitoa popote pale!
 
Kwa pande Barborsa tunatembea pamoja. Lakini pande ya Lumumba hapana. Hawa jamaa wakikaa miongoni mwenu watataka wawe huru kueneza imani yao!!! Lakini kinyume chake wao hawako tayari kuvumilia imani tofauti kuenezwa miongoni mwao.

Mtu aachwe na imani yake hii ya lazima inatupeleka wapi jamani ?????!!!!

Nikitenda kinyume na mapenzi ya Mungu ni nafsi yangu inayoangamia siku ya kiama sasa hawa jamaa wanaomsaidia Mungu kufanya hukumu wao wa haki gani zaidi ya wanaemuadhibu ????!!

TUWE NA UHURU WA KUAMINI N.A. KUABUDU
Sasa nyinyi hili mbona hamkumuachia Mungu[emoji117] Mwizi wa kutumia pikipiki achomwa moto
 
Hii picha huko Zanzibar imenisikitisha sana kwa kweli, huyo kijana anaadhibiwa kwa kuwa tu amekutwa akila wakati wa mfungo wa ramadhani!
Sasa kwa nini mnafanya hivi? Nilifikiri Allah wenu ni mkubwa na anaona kila kitu na kila mtu, na kwamba kila mtu atapewa hukumu yake kulingana na anavyoishi sasa ni kwa nini mnalazimisha watu waamini dini zenu?

Kama mimi sitaki kufunga au labda naumwa ni kwa nini ni tatizo lako? Acheni hizo bhana, mmeniboa sana kwa kweli!
Kijana wa watu akipigwa Zanzibar kisa alikula wakati wa Mfungo!
ZENJI.jpg
Aneth John achomwa moto viganja kwa tuhuma za kuiba Msimbazi.
Hii picha huko Zanzibar imenisikitisha sana kwa kweli, huyo kijana anaadhibiwa kwa kuwa tu amekutwa akila wakati wa mfungo wa ramadhani!
Sasa kwa nini mnafanya hivi? Nilifikiri Allah wenu ni mkubwa na anaona kila kitu na kila mtu, na kwamba kila mtu atapewa hukumu yake kulingana na anavyoishi sasa ni kwa nini mnalazimisha watu waamini dini zenu?

Kama mimi sitaki kufunga au labda naumwa ni kwa nini ni tatizo lako? Acheni hizo bhana, mmeniboa sana kwa kweli!
Kijana wa watu akipigwa Zanzibar kisa alikula wakati wa Mfungo!
ZENJI.jpg
KAPINGAZ: SAMAHANI PICHA INATISHA: MWIZI ACHOMWA MOTO LIVEEE MCHANA HUU HUKO KAGONGWA KAHAMA

83eabdd72989fee4d3fedfe9bbcaf75f.jpg


http://www.habarileo.co.tz/index.ph...6-achomwa-moto-baada-ya-kutoa-siri-ya-kubakwa

Na kesi nyingi za kuchomana moto kisa ni wizi tena ni vibaka tu sio Majambazi .

Ziko nyengine mtoto mdogo amebakwa akachomwa motp kwanini katoa siri.
 
Swali lako halijibiki
Kwahiyo inaonesha wazi ulikuwa na yako moyoni kama hayo eti Waislam wakiwa kwa wenzao wanataka wawe huru lakini wao hawataki kuvumilia imani za wenzao wakati huna hata inside out story ya hiyo picha!! Lakini pamoja na kufoc dukuduku lako pia unafahamu 99% ya Wazanzibari ni Waislam ni Waislam but still wale 1% wana makanisa na hawazuiwi kufanya ibada!!
 
Hii dini ni jipu nalo, napata mashaka kama Allah mnaemuabudu ndio kawaagiza au ndio dini imewakolea kuliko hana waarabu wenyewe......shame on you killers
 
Hizi ni porojo za waponda Uislam za kila mwaka.

Mwizi huyo kushikwa anakula kichapo tena ana bahati kama hajachomwa na matairi.

Pemba tusione hata baraghashia wala kanzu? Mnakisia?
 
Kwahiyo inaonesha wazi ulikuwa na yako moyoni kama hayo eti Waislam wakiwa kwa wenzao wanataka wawe huru lakini wao hawataki kuvumilia imani za wenzao wakati huna hata inside out story ya hiyo picha!! Lakini pamoja na kufoc dukuduku lako pia unafahamu 99% ya Wazanzibari ni Waislam ni Waislam but still wale 1% wana makanisa na hawazuiwi kufanya ibada!!
Hayo uliyoandika ktk paragraph ya kwanza ndivyo mlivyo. Mnafanya matendo kwa niaba ya Mungu lakini wenzenu waamini Mungu ni muweza.
1. Hebu fikiri bila ushabiki huyu mtu anaye adhibu (piga, ua, tesa etc) eti kwa niaba ya Mungu yeye binafsi ana usafi (utakatifu) gani mpaka afanye kazi ya kimungu ya kuadhibu?!.
- Unaweza kunipiga kwa kushindwa kufunga tu wakati wewe mpigaji pengine ni mzinzi, mchoyo, dhulumati, mnafiki, mshirikina etc.
-Anayejua dhambi zetu ni Mungu pekee na ni muweza haitaji kusaidiwa kutoa adhabu.

Na kuhusu uhuru wa kueneza neno la Mungu (dini). -upande huo hakuna hiyari bali shurti. Nimewahi kukaa Oman kwa miezi na tukawa tunaruhusiwa kusali ndani ya ngome madhehebu yote yasio ya kiislaamu siku ya Ijumaa na ni kwa muda wanaposwali waislaam na hamruhusiwi kupiga kengele wala kuimba kwa sauti.
- Jaribu leo uchukuwe biblia na vitabu vingine uingie penye community kubwa ya kiislaam eg Somalia, Uarabuni in general , Zanzibar etc ujaribu kuueneza ukristo kama hutakutana na mahakimu wa Allah na kushuhudia kifo chako. Wakati ni kinyume chake upande wa pili penye jamii kubwa ya kikristo.
 
Itungwe sheria kabisa wanaokula wafungwe au faini na sio kupigwa!

Dini zingine pia wakifunga na watu wakikutwa wanakula waadhibiwe pia ama? Kuna dini unakuta watu wanafunga zaidi ya msimu mmoja au miwili. Je, kila mtu atakuwa tayari?

Hii nchi siyo ya kidini na swala la kufunga ni imani binafsi na siyo imani ya serikali. Acha serikali iangaike kuweka sheria zenye maendeleo na tija kwa nchi.
 
Hayo uliyoandika ktk paragraph ya kwanza ndivyo mlivyo. Mnafanya matendo kwa niaba ya Mungu lakini wenzenu waamini Mungu ni muweza.
1. Hebu fikiri bila ushabiki huyu mtu anaye adhibu (piga, ua, tesa etc) eti kwa niaba ya Mungu yeye binafsi ana usafi (utakatifu) gani mpaka afanye kazi ya kimungu ya kuadhibu?!.
- Unaweza kunipiga kwa kushindwa kufunga tu wakati wewe mpigaji pengine ni mzinzi, mchoyo, dhulumati, mnafiki, mshirikina etc.
-Anayejua dhambi zetu ni Mungu pekee na ni muweza haitaji kusaidiwa kutoa adhabu.

Na kuhusu uhuru wa kueneza neno la Mungu (dini). -upande huo hakuna hiyari bali shurti. Nimewahi kukaa Oman kwa miezi na tukawa tunaruhusiwa kusali ndani ya ngome madhehebu yote yasio ya kiislaamu siku ya Ijumaa na ni kwa muda wanaposwali waislaam na hamruhusiwi kupiga kengele wala kuimba kwa sauti.
- Jaribu leo uchukuwe biblia na vitabu vingine uingie penye community kubwa ya kiislaam eg Somalia, Uarabuni in general , Zanzibar etc ujaribu kuueneza ukristo kama hutakutana na mahakimu wa Allah na kushuhudia kifo chako. Wakati ni kinyume chake upande wa pili penye jamii kubwa ya kikristo.
Out of context! Issue hapa ni picha isiyo na ushahidi wowote nI ya nini lakini watu mnaanza kashifa na shouting zisizo na kichwa wala miguu! By the way, let's assume mnachosema ndicho kilichotokea; una uhakika gani ikiwa huyo anaepigwa ni Mkristo?!! By the way, huko makanisani nyie huwa hamuwatengagi watu nyinyi? Hivi kuna adhabu kubwa ya kiimani kama kumzuia mtu kufanya ibada? Where do you get that authority ya kumuona huyu ametenda na hana ruhusa ya kufanya ibada hapa:
Screenshot_2016-06-11-07-44-47.png

Halafu unadai eti wakati upo Oman mlikuwa mnafungiwa cjui wapi cjui! Ikiwa Wakristo wengine wanaruhusiwa kwanini iwe nyinyi? Inafahamika ni kawaida sana madhehebu ya hovyo hovyo kuibuka na kujiita Wakristo na hao hata Tanzania hawaruhusiwi! With TRUE Christians; prove otherwise or else below is a known FACTS:
Screenshot_2016-06-11-08-17-44.png

Screenshot_2016-06-11-08-31-28.png

Oman Churches in Oman

Open the link to find more churches in Oman...

But you know what: Ningekushauri kuwa smart at least uweze kutofautisha kati ya matendo yanayofanywana Mwislam au Waislam na Uislamu! Ni aibu iliyopitiliza mtu kudiriki kusema eti ukitangaza Ukristo Zanzibar unauawa... unafkia kuitaja hadi Somalia nchi isiyo na serikali ili mradi tu kuwakilisha agenda yako!!

Na kama unadhani hao Wakristo wanaruhusu tu Uislamu; hebu pitia hapa chini;
Screenshot_2016-06-11-08-53-58.png

Screenshot_2016-06-11-08-59-44.png


So, stop pretending kwamba eti Wakristo ndo wanavumilia wengine! The problem reference yenu ni Ulaya na Marekani ambako majority kama sio zote ni secular states na ndio hata hayo maisha yao yenyewe ni total contradiction with Christianity!
 
Back
Top Bottom