PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan

PEMBA: Achapwa Mikwaju Kula Mchana Mwezi mtukufu wa Ramadhan

Yohana1 anzia mstari wakwanza nakuendelea.

Hapo mwanzo, kabla ya kuwapo kitu kingine cho chote, aliku wapo Neno. Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye alikuwa Mungu. 2 Tangu mwanzo Neno amekuwa na Mungu. 3 Vitu vyote viliumbwa na yeye, wala hakuna cho chote kilichoumbwa ambacho hakukiumba.

Nioneshe hapo ni wapi neno 'Yesu' limetajwa
 
Mimi sio msilamu na tena shika adabu yako wewe mwenye laana,usikashifu imani za watu,unatuletea balaa kwenye jukwaa full stop.
Wapi nimekashfu mtu? Nimesema Allah sio Mungu... Sasa kashfa ikowapi hapo?
 
Hilo la waarabu kuja kula bata UK inakuuma nini, waanzilishi wa imani yao wala hawana mihemko kama mlionao wapokea imani, ndiyo maana wakiona wamebanwa wanajitanua kidogo kuja kula bata kuliko kushinda njaa
Wewe muuza Nazi gengeni tandale hiyo UK umeenda lini? Au unafikiri hujulikani humu?
 
Aya jaman mjadara ufungwe maana tunakoendea si pazuri
 
mamlaka wanapewa na Mungu,

dini,sijui imani zinalazimishwa sana tu,hata katika bible Mungu alikuwa mkali sana kwa waliokiuka amri zake,na mpaka alikuwa anawafyeka kwa malaki.


Kwa kigezo gani? Mungu /Allah anampa mamlaka binadamu mwenye dhambi kumhukumu binadamu mwingine mwenye dhambi kama yeye?
 
Hii picha huko Zanzibar imenisikitisha sana kwa kweli, huyo kijana anaadhibiwa kwa kuwa tu amekutwa akila wakati wa mfungo wa ramadhani!
Sasa kwa nini mnafanya hivi? Nilifikiri Allah wenu ni mkubwa na anaona kila kitu na kila mtu, na kwamba kila mtu atapewa hukumu yake kulingana na anavyoishi sasa ni kwa nini mnalazimisha watu waamini dini zenu?

Kama mimi sitaki kufunga au labda naumwa ni kwa nini ni tatizo lako? Acheni hizo bhana, mmeniboa sana kwa kweli!
Kijana wa watu akipigwa Zanzibar kisa alikula wakati wa Mfungo!
ZENJI.jpg
Nani kakulazimisha kuamini imani, Kwani umeambiwa usilimu..?hatutaki kula hadharani ukikaidi bakora tu
 
Kwa kigezo gani? Mungu /Allah anampa mamlaka binadamu mwenye dhambi kumhukumu binadamu mwingine mwenye dhambi kama yeye?
unakumbuka nabii eliya alivyowaua wafuasi na makasisi wa Baal?.
Kosa lao ilikuwa ni kuabudu mungu tofauti na aliyoabudu Eliya.
Mungu wa Eliya akampa mamlaka Elia akawaua wote
 
unakumbuka nabii eliya alivyowaua wafuasi na makasisi wa Baal?.
Kosa lao ilikuwa ni kuabudu mungu tofauti na aliyoabudu Eliya.
Mungu wa Eliya akampa mamlaka Elia akawaua wote


Kwa hiyo hao wavuta bangi wanaochapa watu viboko ndiyo Manabii kama Eliya? Mungu/Allah amewapa Mamlaka ya kuhukumu?
 
Kwa hiyo hao wavuta bangi wanaochapa watu viboko ndiyo Manabii kama Eliya? Mungu/Allah amewapa Mamlaka ya kuhukumu?
tutajuaje sasa inawezekana,maana hatuna ushahidi kama Eliya pia hakuwa mvuta bangi,maana mtu timamu kuua mamia ya watu ngumu sana
 
Back
Top Bottom