Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
TeuziKwani kaka una ugomvi na Samia ,naona toka Magufuli aende zake umekuwa hueleweki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TeuziKwani kaka una ugomvi na Samia ,naona toka Magufuli aende zake umekuwa hueleweki.
Vita havina machoSawa Ila tusitukanane aisee vijana wanakosa busara ukitoa ushauri wanatupa matusi as if kila mtu ni CCM tu
But keep your head up usiende blindlyVita havina macho
Mwamba yuko visiwani Leo? Kaenda kupumzika au anaendelea na Harakati?Kiongozi wa watu huchangamana na watu mitaani , hivi ndivyo walivyofanya wapigania Uhuru Maarufu wa Enzi zile
View attachment 1842711
Adui wako wa Jana anaweza kuwa rafiki akakufaa leo, and the vice versa is true. Sisi tulioenda majeshini enzi hizo tunajua kwamba haupaswi kutuma vikosi vyote kwenye uwanja wa Vita.Vita havina macho
Kiki za kisiasa tu.....Kiongozi wa watu huchangamana na watu mitaani , hivi ndivyo walivyofanya wapigania Uhuru Maarufu wa Enzi zile
View attachment 1842711
Yeye na Salum Mwalimu wanapoteza muda tu.....Mwamba akipata supu ya PwezaView attachment 1842723
😆😆😆Kabla ya March angekamatwa anakunywa supu ya pweza nje wakati sio jimbo lake"Mchochezi"
Ni operesheni haki PembaMwamba yuko visiwani Leo? Kaenda kupumzika au anaendelea na Harakati?
Operesheni ya Katiba Mpya?!!Ni operesheni haki Pemba
Uko nyuma sana !Yeye na Salum Mwalimu wanapoteza muda tu.....
Zanzibar ni ya CCM...na kidogooo ACT WAZALENDO......
Siyo kila anachosema mwenyekiti wa ccm tutakubaliOperesheni ya Katiba Mpya?!!
Hakumsikia mh.Rais akisema apewe muda?!!!
Aka mzee wa angaMwamba akipata supu ya PwezaView attachment 1842723
Amesema Rais wa nchi....Siyo kila anachosema mwenyekiti wa ccm tutakubali
Never and Never AgainAmesema Rais wa nchi....
La rais wa nchi za kiafrika si lazima mkubali eee?!!!
🤣🤣Never and Never Again
Nothing lasts longer🤣🤣
Jifariji mkuu wangu.....
Moto ukiendelezwa....huyo Mbowe wako ataufyata tu.....🤣🤣