Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
The same applies on your side.....Nothing lasts longer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The same applies on your side.....Nothing lasts longer
Mkuu unatumia soda gani aseeKipindi kile alipoenda Mwendazake kupiga rangi viatu kwenye vijiwe, utasikia anajidai huyo.
Ila kwa Mbowe, ndivyo walivyofanya wapigania uhuru.
Utadhani Tanzania bado haijajitawala.
Duuh!.
Kama imekuuma chomoaKipindi kile alipoenda Mwendazake kupiga rangi viatu kwenye vijiwe, utasikia anajidai huyo.
Ila kwa Mbowe, ndivyo walivyofanya wapigania uhuru.
Utadhani Tanzania bado haijajitawala.
Duuh!.
Neno hilo moja linaweza kuharibu maana nzima ya kile kizuri ulichokusudia kukisemaAs long wewe unafahamu maana yake basi utakuwa umenielewa despite ya wewe kuchagua kunyambua neno moja tu kwenye comment nzima.
Mbowe itakupendeza ufike MakunduchiSiyo kila anachosema mwenyekiti wa ccm tutakubali
Tunakuja hukoKabla ya march angekamatwa anakunywa supu ya pweza nje wakati sio jimbo lake"Mchochezi"
Mbowe itakupendeza ufike Makunduchi
tuna darubini si ya kawaidaHii kulakula hovyo haito mfikisha popote asijidanganye abadani
unaua watu uende tena vijiweni kutafta huruma,mbowe hatafti hurumaKipindi kile alipoenda Mwendazake kupiga rangi viatu kwenye vijiwe, utasikia anajidai huyo.
Ila kwa Mbowe, ndivyo walivyofanya wapigania uhuru.
Utadhani Tanzania bado haijajitawala.
Duuh!.