Pemba is in Kenya if we are to follow Somalia's claim on boundary

Pemba is in Kenya if we are to follow Somalia's claim on boundary

Ukitaka kujua kwamba huwezi kuwa na mazungumzo yeyote ya maana hapa JF na Bongolalas kuhusu Kenya, fuata hii thread.
Jambo la kusikitisha ni kuwa hawaoni hiyo ICJ ruling itakavyokuwa na effects kwenye "the African East Coast marine boundaries."

Wao tu ni kujipiga kifua wakiomba Kenya ipoteze kwenye kesi hiyo... mtego wa panya huingia waliomo na wasiomo
Mkipata mkipoteza its non of our bizinesi unafkiri kuna panya yoyote anaeweza kuja kuvunja mpaka wetu, nyinyi mmekalia sehemu isiyo yenu.
 
Kawaida ya failed states ni kugombea mipaka naakjirani. Somalia wamevuruga nchi yao halafu wanaanza choko choko na majirani zao. Kenya is right and they have the right to defend their national boundary. Yaani Somalia wamesikia kuna mafuta eneo lile halafu wanadhani watalichukua . Kenya itembee kifua mbele eneo ni lao. Ila sasa mabeberu wamegawanyika wapo wenye mikataba ya kutafuta mafuta na somalia hao wanasupport somalia na wale wenye mikataba na Kenya wanaisupport Kenya. Hao ndio mabeberu, maslahi mbele haki ikae nyuma kila wakati.
 
Ukitaka kujua kwamba huwezi kuwa na mazungumzo yeyote ya maana hapa JF na Bongolalas kuhusu Kenya, fuata hii thread.
Jambo la kusikitisha ni kuwa hawaoni hiyo ICJ ruling itakavyokuwa na effects kwenye "the African East Coast marine boundaries."

Wao tu ni kujipiga kifua wakiomba Kenya ipoteze kwenye kesi hiyo... mtego wa panya huingia waliomo na wasiomo
Hawa watu hushabikia nchi tu bila kufanya analysis ya mambo yanavyokwenda.
 
Acheni Kenyans wajifariji kwe hakuna..
hata Somalia wakishinda kunya'ass will never demand mpaka mpya
sio pemba tuu hata eneo la bahari la United republic of Tanzania hawata lisogelea iwe kwa mahakama au ki nguvu
hata wakifungua kesi wakashinda hukumu haitawasaidia kitu.

Sisi ndo Tanzania. We own Great Lakes, muulizeni Malawi na mahakama alizoenda zimemsaidia nini?
 
Nimesema automatically Kwa mujibu wa Sheria hicho kisiwa kitakua Kenya lakini Tanzania pia itapinga na Nina uhakika hio kesi ikianza Tanzania itajoin kama amicus curiae kuelezea mahakama jinsi itathirika na uamuzi wao pia itaelezea mahakama kua haipo tayari kuruhusu eneo lake kuchukuliwa na Kenya na Kenya pia watainsist kwamba mpaka wa kasikazini ukibadilika mahakama iiamuru Tanzania kisiwa kuchukuliwa na hio ni strategy Tu kuweka pressure Kwa mahakama kurule in kenyas favour.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Hiyo case wala haihusu Tanzania, na kama unataka Tanzania ihusike kwa style hiyo ulioielezea hapo basi sio Tanzania tu bali ni nchi zote zinazopakana na bahari na huenda sio Africa tu bali dunia nzima, so Tanzania wala haipati homa kuhusu hilo.
 
Ukitaka kujua kwamba huwezi kuwa na mazungumzo yeyote ya maana hapa JF na Bongolalas kuhusu Kenya, fuata hii thread.
Jambo la kusikitisha ni kuwa hawaoni hiyo ICJ ruling itakavyokuwa na effects kwenye "the African East Coast marine boundaries."

Wao tu ni kujipiga kifua wakiomba Kenya ipoteze kwenye kesi hiyo... mtego wa panya huingia waliomo na wasiomo

Mingingo imewatoa kamasi ndo mtaiweza pemba???..
 
Mingingo imewatoa kamasi ndo mtaiweza pemba???..
Hakuna Sheria ya kimataifa ambayo inatoa muongozo Kwa mipaka ya maziwa lakini zipo Sheria ambazo zinatoa muongozo Kwa mipaka ya bahari ,ndio nikawambia kama hamuelewi mambo na hamna hoja msidakiedakie tu vitu kisa mjulikane tu kama mpo.
 
Hata kama Somalia ikifanikiwa hiyo adhma yake ambayo najua hawatofanikiwa anyway, serikali yenu haina guts za kuichukua sehemu ya Tanzania hilo viongozi wenu wanalijua fika.
They will be forced to take it due to the issue of Territorial waters endangering important ports of Lamu and Mombasa. Invading Tanzania is child's play to Kenya Ni kitu ya a few hours with Naval and Airforce assault.
 
Mingingo imewatoa kamasi ndo mtaiweza pemba???..
am vindicated, why can't you engage in an intellectual debate on such matters??
even if we have to fight over islands and borders, do you think you will win them on JF??
 
Ahahaha kumbuka pemba sio kakipande ka maji ya bahar kijana, ni kipande cha land ya Tz na inawatu wake, ina serikali ake ina zanzibar na ina big boy Tz. Hata mkikunja vp mipaka pemba ni Tz, haipo ndani ya Tz peke ake bali ni Tz yenyew, ni ardhi yetu. Kuna kale kainch kako ndani ya S.A unajua kwann SA ilishindwa kukachukua? Coz ile ni ardhi ya watu na ina watu na serkal ake. Maritine borders ni tofaut na kipande cha ardhi cha nchi fulani. You and your shit country hamtothubutu kuclaim pemba ni yenu. Pemba inaezasacceed ikisema yenyew ni nchi huru coz tunaona hiyo inatokea sehem mbali mbali duniani kama china na hongkong japo pia kufanikiwa ni ngumu sana, ila eti sio linchi la mbali kama kenya lije ndani ya nchi fulani lianze kusema ardhi ya Tz ni yake, bruh tutawachapa vibaya mno. Uganda and malawi waliisoma namba. You and your politicians knows that. Thank you
They will be forced to take it due to the issue of Territorial waters endangering important ports of Lamu and Mombasa. Invading Tanzania is child's play to Kenya Ni kitu ya a few hours with Naval and Airforce assault.
 
mkipata mkipoteza its non of our bizinesi unafkiri kuna panya yoyote anaeweza kuja kuvunja mpaka wetu, nyinyi mmekalia sehemu isiyo yenu
Are you able to follow the case with your brain? ama ni kupayuka tu????
 
Kenya has higher average IQ and higher percentage of literate people than TZ,
so if there is anyone with akili fupi ni nyinyi...
Yes ni kweli mko na IQ kubwa ya tribalism, kulamba wazungu miguu.
 
Back
Top Bottom