Penati nane za Rais Samia katika maslahi ya watumishi

Penati nane za Rais Samia katika maslahi ya watumishi

Hahaha 200,000 ulivyo kichwa maji unadhani utafanyia chechote ongezeko la gharama za maisha hulifikirii! Na mikopo mnayochukuaga mnafanyia mambo yasiyo na kichwa wala miguu!
Mkuu Unaumia Mimi kuchukua mkopo? Si Bora Mimi nakopesheka kwenye mabenki kuliko wewe usiyeaminika hata kwa barozi wa Nyumba kumi, na huenda hata hujui kuwa marekani pamoja na kuwa super power naye huwa anakopa, Sasa Mimi mwalimu wa Mpigamiti Ni Nani Hadi nisikope? ,Kama Unaumia Mimi kukopa,Basi subiri kwenye tarehe 6-9 mwezi wa nane napanga kuchukua mkopo wa M8 ,Mla chake tajiri.

Mikumi Tena kwa mama samia,
 
Komenti tu hpa uondoe sintofaham maaana WaTu wanafikiria kisichokuwepo
 
Shs ngapi imeongezeka
Kutokana na habari za ndani kutoka realiable source hakuna cha 23 percent wala ni nyongoza kwa watumishi mfano walimu ni kuanzia elfu 30 kwa wenye mishahara mikubwa yaani milion 1.2 to 1.6 na elfu 45 to 65 kwa wenye tgts za chini msije mkasema sikuwaambia and keep my words [emoji23]
 
Back
Top Bottom