Penati ya Simba SC leo dhidi ya Polisi Tanzania kwa 100% haikuwa halali na Simba SC tumebebwa kweupe, ninawashangaa wanaofurahia Ushindi

Bichwa la Morison ni kubwa so lazima tuone ni penalty
 
Endelea kubwabwaja mbwabwajo uchwara.
Taarifa ikufikie kuwa Jumapili Zimba anaenda kuongoza ligi maana jumamosi Azam anambomoa uto
 
Endelea kubwabwaja mbwabwajo uchwara.
Taarifa ikufikie kuwa Jumapili Zimba anaenda kuongoza ligi maana jumamosi Azam anambomoa uto
Azam inashinda Jmosi . Itaondoka na point 3 muhimu dhidi ya Yanga .
 
Hatujawahi kuwa na shabiki shoga aaiyejua mpira kwa kiwango hicho..
 
Huna Akili na acha Kunipotezea muda wangu tafadhali sawa? Kama ilikuwa Penati halali kwanini Mshika Kibendera hakunyoosha wakati alikuwa karibu na Tukio badala yake Mwamuzi aliyekuwa kwa nyuma ndiyo alipuliza Filimbi?
Hoja ya kiboya sana.Kwamba mwamuzi aliekaribu hasipoamua iwe faulo basi inakuwa sio faulo halali? Wazungu ndio maana wameanzisha VAR, kwa maana matukio yasioonwa vizuri na waamuzi wa ndani pengine kutokana na uzembe au kupunguza umakini yanasaidiwa kuonwa vizuri kwa msaada wa VAR, lakini sio kusema eti kwa vile aliekaribu hajasema ni faulo basi inakuwa sio faulo halali.Kweli wewe ni utopolo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…