Penati ya wazi waliyonyimwa Kagera Sugar dhidi ya Yanga

Penati ya wazi waliyonyimwa Kagera Sugar dhidi ya Yanga

Screenshot_20200920-063513_Chrome.jpg
 
Tangu muanze kukaa na shosti wenu Barbara vibarazani mmekuwa na wivu wa kike pamoja na gubu
 
Tangia Simba waanze kuongozwa na Bar ya Bara (Bar-Bara) wameiga mifumo ya jinsia ingine ikiwemo kufuatilia kila siku maisha ya jirani yake!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpira ulikowa unanyemelea mkono na kuna site za ubavu.
Pia mchezaji alijitahidi kuzuia kabisa, Ila siku nyingine uende wewe ukawe refa, maana unajua sana sheria hadi za ndoa

Aiseee huo mpira kaushika kabisa haina ubishi

Ukiangalia vizuri mikono ilikuwa mbali mgongo mpira umekuja kaitoa kaugusa mpira halafu kaurudisha nyuma
 
Aiseee huo mpira kaushika kabisa haina ubishi

Ukiangalia vizuri mikono ilikuwa mbali mgongo mpira umekuja kaitoa kaugusa mpira halafu kaurudisha nyuma
Kwani kupewa penalty ndo kupata goli..?
Basi tufanye 1- 1 ili wenye nongwa wafurahi
 
Siku hizi sibishani na washabiki wa utopolo maana huwa na argument za kijingakijinga tu. Sipotezi nao time kabisa. Wafanye yao na sie tunafanya yetu kwa akili.
 
Nafurahi sana kuiona mishabiki ya mikia haizijui sheria Za mpira,
 
Ingekua Penati ile imetokea kwa Simba ungesikia Kandambili FC wanavyolalamika
 
Back
Top Bottom